Azam Complex katika muonekano mpya, viti 5,000 vafungwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Maboresho kwenye Dimba la Azam Complex yanaendelea, viti vinafungwa kwa kasi...
Meneja wa uwanja huo, Amri Juma anasema matarajio ni kufunga viti 5,000 huku akitaja majina ya majukwaa huku mashabiki wakitoa maoni yao.
Kazi nzuri team nzuri uwekezaji wa maana kabisa
Vp kuhusu paa la juu lakuzuia jua ama mvua kwa mashabiki
Safi sana, kazi nzuri
Azam football wanazidi kuonesha maana halisi ya uwekezaji katika football 🎉🎉🎉
Sio wakina mo kazi drama t
@@hunterboytz boss wetu maneno mengi
Hapo bado kuziba juu tu kwa ajili ya JUA na MVUA
hongera azm media
Ila bosi aanze kujenga majukwaa maana ukidondosha simu huikuti. Kuna madogo huko chini ni noma
Kama ndo hivyo mbona tabu ipo pale pale
Simba na yanga munakwama wapi?
Unataka mkapaa uhalibike wakkat simba &yanga wanachangia pesa nying ni siasa tyu
Wekeni paa la kuzui jua au mvua mtakuwa mmetisha azam
VAR
Saf