HISTORIA INA MUUJIZA. Ust. Ilunga
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
- Matukio yanayopita katika maisha ya Mwanadamu hutengeneza historia na katika historia hiyo kuna mambo muhimu yakujifunza yaliyokaa kama muujiza.
Ni mambo gani hayo? Fuatilia darsa hii hadi mwisho, Innsha Allah.
• HISTORIA INA MUUJIZA. ...
Allah atakulipa Kwa kutupia video za kuchangamsha bongo
Allahuma Aamin
TUnamuomba Allah akujaalie janatul Firdaus amiyn yarabil alamin 🙏
Allahuma Aamin
Amiin InshaAllah, Awe katika pepo pamoja na Wazazi wetu walio Tangulia
allah akusamehe dhambi zako
Hakuna Khalifa miongoni mwa makhalifa wanne aliyeuwawa na swahaba mwenzie.
Allah Atusamese sote sisi na yeye.
Mnatubania sana. Weka vdeo nying sana sana Za huyu shekhe.
Tunajitahidi kuzitafuta na kuzipanga ili ziweze kuingia kwa vigezo vya TH-cam.
Hivyo, inatuchukua muda kidogo.
Tuendelee kufanya subra na kuombeana dua za kheri ili Da'awah iendelee.
@HudatzTv
Maarifa kwa Wote
Hivi shekhe ilunga hana vitabu alivyovichapisha?
ILUNGA hakuwahi kuandika wala kuchapisha Vitabu. Sheikh Mohammed said NDIYE ameandika Vitabu Vya kuzungumzia harakati za Ust. Ilunga. Vitabu vinapatikana duka la IBN HAZMI mkabala na Msikiti wa Mtoro DSM.
@@Hudatztv sawa vitabu vinavyozungumzia shekh ilunga na harakati zake vinaitwaje?