Uchaguzi wa CHADEMA Wamuibua Askofu Mwamakula/Asema CCM Wajipange Uchaguzi mkuu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 20

  • @AndrewChilua
    @AndrewChilua 7 วันที่ผ่านมา

    Ukosahihi Bishop Mwamakula

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 9 วันที่ผ่านมา +1

    Askofu nakufatilia sana unaongea ukwer sana baba Askofu wetu

  • @JuliasMsongole-c5k
    @JuliasMsongole-c5k 9 วันที่ผ่านมา +4

    Bishop upo sahibi opinion zako za ukweli

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 9 วันที่ผ่านมา

    Matendo Makuu ya Mungu

  • @RastaMany-p8x
    @RastaMany-p8x 10 วันที่ผ่านมา +5

    Chadema tumeishinda rushwa asie amini kaona lamba asali na lisu na heche mpaka mwisho🇹🇿✌️💪💪💪💪💪💪🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🚣🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 9 วันที่ผ่านมา +1

    Naam Nilikuwa nakusubiri sana Askofu kusikia maoni yako.

  • @FrancisThomas-jc8wq
    @FrancisThomas-jc8wq 8 วันที่ผ่านมา

    Ccm hawategemei kura kushinda, wanategemea dola tu.

  • @MichaelMeshack-i2r
    @MichaelMeshack-i2r 9 วันที่ผ่านมา

    HAMNA KITU PALE LISU HANA UWEZO WA KUWAUNGANISHA

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 10 วันที่ผ่านมา +1

    Bishop CHADEMA wanaaminika kwako siyo kwa watanzania wote. Wala nakwambia hawatakaa wachukue nchi wewe ukiwa kiongizi wa kiroho mwambie Lissu aache jazba na uropokaji na kujiona mwema na mwerevu kwa kila kitu na wengine hawana lolote!

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 9 วันที่ผ่านมา +1

      #NONSENSE

    • @ulimbagakipole3971
      @ulimbagakipole3971 8 วันที่ผ่านมา

      Umejaa chuki isiyo maana. Hata Mbowe hakuamini hivyo imekuwa. Mtakuwa akina Ntobi na Yeriko Nyerere. KAA CHONJO SAA MBAYA.

  • @Ramadhanilawoga
    @Ramadhanilawoga 10 วันที่ผ่านมา +3

    Tunahitaji kuwe na uchguzi Kwa kanisa la askofu huyu

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 10 วันที่ผ่านมา +2

      Uchaguzi wa nafasi gani ?

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 10 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe chawa acha ujinga unadhani wananchi bado wajinga!

    • @kibwetere1418
      @kibwetere1418 9 วันที่ผ่านมา

      Kwani huyu mzee kanisa lake linaitwaje na lipo mtaa gani

    • @sebastiansalamba313
      @sebastiansalamba313 9 วันที่ผ่านมา

      Kuna watu Kama majibwa mnabweka tu

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps 9 วันที่ผ่านมา

    Hilo anguko kichama linakuja

    • @XYZ123-t4b
      @XYZ123-t4b 9 วันที่ผ่านมา

      Ramli

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 10 วันที่ผ่านมา +1

    HAMNA JIPYA NYIE TUSHAJUA SIRI ILIYOPO KWENU NA CHADEMA MBONA ACT WALIFANYA HIVI NA HAMKUWAPONGEZA