Kwel umejua kutunyoosha baba. Ulisema tutakukumbuka kumbe ulijua utatuacha njian. Ungetusamehe tu kama kuna sehem tulikukosea. Tutapata wap kama ww. Daaaah! Ww magufuli jaman kwa nn lakin amka uone Afrika nzima inavyolia kwa ajil yako. Nilifikir tuko peke yetu kumbe unapendwa hiv. Watu sehem mbali mbal wanaombeleza na kukuimbia, cha ajabu raia wa nchi nyngne za afrika wanalia kama waliish na ww, kumbe ulimfikia kila mtu baba. Kila mtu aliona mkono wako. Nenda baba, nenda kipenzi chetu, nenda kapumzike, kazi yako umeimaliza, kama tusipojifunza kwako tutarud tulikotoka na kukulilia zaid. Nenda shujaa wetu,najivunia kuwa mwanao ktk nchi yako
RIP! Baba la Ma Baba hakika tutakukumbuka daima. Mungu ndio anajuwa kwanin ameyaruhusu haya yote. Pengo lako halitazibika kabisa mbele naona kiza kinene, mwenyezi mungu atusaidie. God is always right RIP Daddy.
Daaaaah geti la Ikulu lipo Ubungo Raisi unamkuta Msamvu!!! Magufuli hukuwa wa kuishi baba nenda mwanaume nenda kama hatutojifunza kupitia wewe basi sijui atatufunza nani. Wewe ni mawaidha tosha
Ukipata bahat ya kuongoza nchi ni vzur uongoze kwa nidham mzur sana ili wanachi hata ukifa waumie zaid hata ukiwa baba wa familia pia ni vzur kuongoza nyumba yako kwa nidham bora
Kila siku namsikiliza baba nikipitia maumivu makili mnooo nimepakua hotuba zake nyingi ili hata nikikosa bando nisikie Tu nimepakua nyimbo nyingi ili nikishindwa niendelee Julia kweli ninamsiba mkubwa wa BABA uyu nimeumia zaidi ya ujumbe huu ninayoandika nilimpenda nilimwelewa nilitamani hata kugusa pindo lake la vazi lake kweli nimeumia
😭😭😭💔💔🇹🇿🇹🇿RIP naba Magufuli lazima wakasorike mabeberi ikulu kama hiyo hawana huku ulaya Mashallah Mashallah umeondoka kishujaa kweli son of Arica wa Tanzania 🇹🇿 tuna lia na African nzima baba 😭😭😭💔💔pepo yako imeanzia hapa hapa dunia buruani baba yatu mpendwa mtetezi wa wanyonge nani kama Magufuli ???😭😭😭💔💔💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nawaomba Maraisi wote wa Africa na kwa jumla dunia zima huu uwe mfano kwenu na kukga tabia za Ayati Raisi mzee magufuli alivyotendea wananchi wake TZ.Kiukweli mnaona watu walivyokua wamempenda kwa matunda ambayo amewaachia,vilio vimetanda kote inchini TZ.Jee itatokea kwako hivi??????????.Sitaki jibu.jijibu wewe mwenyewe💔💔💔🌞🙏🇰🇪.
Baba yetu ni moja kwa moja PEPONI, kama a unaamini gonga like rip Dady
Duh jmn hii ikulu mashaallah RIP Daddy kazi kubwa umeifanya😭😭😭😭😭
Kwel umejua kutunyoosha baba. Ulisema tutakukumbuka kumbe ulijua utatuacha njian. Ungetusamehe tu kama kuna sehem tulikukosea. Tutapata wap kama ww. Daaaah! Ww magufuli jaman kwa nn lakin amka uone Afrika nzima inavyolia kwa ajil yako. Nilifikir tuko peke yetu kumbe unapendwa hiv. Watu sehem mbali mbal wanaombeleza na kukuimbia, cha ajabu raia wa nchi nyngne za afrika wanalia kama waliish na ww, kumbe ulimfikia kila mtu baba. Kila mtu aliona mkono wako. Nenda baba, nenda kipenzi chetu, nenda kapumzike, kazi yako umeimaliza, kama tusipojifunza kwako tutarud tulikotoka na kukulilia zaid. Nenda shujaa wetu,najivunia kuwa mwanao ktk nchi yako
R.I.P Baba mungu akupumzishe kazi kubwa umeifanya duniani
Dah baba uliondoka ukiwa mzima alfajiri leo unarudi ucku ukiwa umelala khaaaaa😭kifo kimejua kutunyoosha jamani
😭😭😭😭😭
Duuh😭😭😭😭😭😭😭
ikuru ya kwanzaa afrika. Rip jpm
Rip my favorite président 😭😭😭😭😭😭😭
RIP! Baba la Ma Baba hakika tutakukumbuka daima. Mungu ndio anajuwa kwanin ameyaruhusu haya yote. Pengo lako halitazibika kabisa mbele naona kiza kinene, mwenyezi mungu atusaidie. God is always right RIP Daddy.
Unakufuru sasa
@@hawaramadhani6954 its ok
Daaaaah geti la Ikulu lipo Ubungo Raisi unamkuta Msamvu!!! Magufuli hukuwa wa kuishi baba nenda mwanaume nenda kama hatutojifunza kupitia wewe basi sijui atatufunza nani. Wewe ni mawaidha tosha
Dah nani kaona Magufuli Annex😥😥😥
One of the best State House ever. R.I.P JPM we miss you Dady
Ikulu kubwa hadi raha pumzika kwa amani baba yetu 🙏🙏🙏😭😭😭
Pakubwa huku dahhh, pumzika kwa amani baba kazi alizofanya🙏🙏
Daaah hiii sio ndoto bhn... Ndoto gani ndefu ivi 😭😭😭😭😭😭😭
Wew acha tu kaka
Pole mpendwa hakika si ndoto ni kweli 😭😭😭😭😭
Atuamini aliye leta korgona imalize watu 😭😭😭💔💔💔
Kwa kweli yaani hatuamini bado mana kaenda mapema
@@kelvinbernard7120 mno bado tulikuwa tunamuhitaji 😭😭💔💔
Ikulu sio mchezo ni kubwa kinoma Magufuli dah😭😭😭
Duh hii ikulu cjawah ona ilivyokubwa kias hk
Ukipata bahat ya kuongoza nchi ni vzur uongoze kwa nidham mzur sana ili wanachi hata ukifa waumie zaid hata ukiwa baba wa familia pia ni vzur kuongoza nyumba yako kwa nidham bora
Ndio inavotakiwa
Kila siku namsikiliza baba nikipitia maumivu makili mnooo nimepakua hotuba zake nyingi ili hata nikikosa bando nisikie Tu nimepakua nyimbo nyingi ili nikishindwa niendelee Julia kweli ninamsiba mkubwa wa BABA uyu nimeumia zaidi ya ujumbe huu ninayoandika nilimpenda nilimwelewa nilitamani hata kugusa pindo lake la vazi lake kweli nimeumia
Kweli hukuwa na baya katik kupginia nchi yetu 😭😭😭
Pumzika salama baba machozi ayaishi hatuamini Kama umeondoka baba it's hard for us daaah
Sns asanteni kwa kutuonesha kila kitu kinachoendalea atizama nikiwa Qatar 🇶🇦 R.I.P JPM M/Mungu akulaze pema peponi amen 🙏🏾
Sijawahi ona hii ikulu jamani kubwa hadi raha
Cos ujatembea zaidi ya TZ
Hii ikulu mpya kubwa sana
😭😭😭💔💔🇹🇿🇹🇿RIP naba Magufuli lazima wakasorike mabeberi ikulu kama hiyo hawana huku ulaya Mashallah Mashallah umeondoka kishujaa kweli son of Arica wa Tanzania 🇹🇿 tuna lia na African nzima baba 😭😭😭💔💔pepo yako imeanzia hapa hapa dunia buruani baba yatu mpendwa mtetezi wa wanyonge nani kama Magufuli ???😭😭😭💔💔💔🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nawaomba Maraisi wote wa Africa na kwa jumla dunia zima huu uwe mfano kwenu na kukga tabia za Ayati Raisi mzee magufuli alivyotendea wananchi wake TZ.Kiukweli mnaona watu walivyokua wamempenda kwa matunda ambayo amewaachia,vilio vimetanda kote inchini TZ.Jee itatokea kwako hivi??????????.Sitaki jibu.jijibu wewe mwenyewe💔💔💔🌞🙏🇰🇪.
Tutakumbuka vile walikuwa na vitambi vikumbwa 💔💔💔🇰🇪🇰🇪
Kubwa kweli
R.I.P baba
Hili eneo la Ikulu ya Chamwino toka Getini hadi Magufuli annex ni safari yaTarafa Zima!Posta-Mbezi kimara.
Kweli hii ikulu ni kubwa noma
Kubwa Sana hiiii Ikulu
DAH NOMA HII IKULU
Baba kwel umefanya kazi
Kajenga bwana lakini sasa ndio tulikua hatuoni sasa ivi ndio tunakubali sasa kuwa kazi alifanya
Nikweli ni moja ya ikulu kubwa duniani,na inahadhi ya kuwa makaxi ya rais,Mungu ampe pumziko baba huyu kazi amefanya miaka mitano kama 20
Kwani dereva hapajui khaaa..Rais wetu mbeba maono..Ulale salama Magufuli😢😢
R.l.P Baba Magufuli
Ikulu kubwa kuliko ya Dar
Inaweza kuwa ndio ikulu kubwa africa ni zaidi ya km 21
Kuliko ikulu zote duniani sio ya dar tu
Inaurefu wa km 60
Daaah!!!nenda baba nenda umejua kutuumiza pumzika kwa amani
Siku zote kizur hack dumu lala jembe lala ntinga tinga
mwamba wa afric kwakweli umeumaliza mwendo
Kubwa mnoooo
Camon
Hakuna kama magufuli
💔💔💔
Why this😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭 eee mungu baba ulisemakitenda yaliyome utaona ufalume wa mbinguni tuomba upokee raisi wetu
R.i.p
Kwenye maono yangu inamaana mbaya sana wanajeshi kufanya kazi usiku huku Wana msiba yani tz Sasa unatembea gizani
Daah😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭😭😭😭 sikuwa naamini naanza kuamini kidogo kidogo dah 💔💔💔💔💔💔🇨🇭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hakika tuamini tu ndo kulichobakia..
🇹🇿🙏
😭🙏🏼
😭😭😭💔💔
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏
Chendem wamekuja disk
Kufa ni ibada
Alafu eti hii nindogo kuliko hiyo inayo jengwa
mutu waMungu
Duu io ikulu dah