OFA MAGAUNI MAZURI YA HARUSI KWA 150,000/= PIGA 0654865760
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Ofa kabambe ya miezi 3, Pemba Classic Design tumekuja kuondoa usumbufu mtaani. Usiteseke tena kukodi magauni mazuri ya harusi kwa bei kubwa. Sasa unaweza kukodi gauni zuri la harusi kwa 150,000/= tu. Ofa hii imetolewa na Pemba Classic Design. Usichelewe fanya booking mapema Tunapatikana Dar es salaam - Buguruni - Mtaa wa Ghana. kwa msaada Zaidi tupigie kwenye 0654865760 / 0689626519 hakika utafurahia huduma zetu. Enjoy to watch Super News TV subscribe our Channel for more videos.
Bei ya kununua ni ngapi,na nitapataje,mko wapi
Kama umeangalia hii Video lazima utakuwa umeona namba za simu namba zimewekwa hapo ili mwenye uhitaji apige simu 0654865760
Je mbona tunasikia kua nguo zipo nabei ni raisi tu sasa jee watu takriban kumi wameuliza sanataka kununua na hata mmoja haja pata jibu na mm mmojawapo naitaji bei nakuyapata naweza kuyapataje nikitaka kama tofauti rangi na muundo ikiwa nibei yakuridhisha ata sita nisawa tunawezakuwasiliana
Kama umeangalia hii Video lazima utakuwa umeona namba za simu namba zimewekwa hapo ili mwenye uhitaji apige simu 0654865760
Niwapi mm Niko mwanza napataje lokeshn
Mko na branch kenya labda naitajigauni
Mim naitaji kwaajiri ya kukodisha napataje
@@ZulekhaMohamed-st2vu karibu tupigie kwenye 0654865760
Niko musoma nilitaka shera napataje?
Unatumiwa
nataka kununua ni bei gan?
Karibu 0654865760
Mnaweza kutoa huduma sehem yoyot
Ndio inawezekana
Bei tofauti au moja zote
Zote zimeandikwa bei
Gaun kununua bei gan
Ukiuza bei gan
Laki sita
Napata ngu za sedofu
mko wapiii
Dar es salaam - Buguruni Gana
Bei ya kuuza
Kama umeangalia hii Video lazima utakuwa umeona namba za simu namba zimewekwa hapo ili mwenye uhitaji apige simu 0654865760
Mko wp
Buguruni Rozana Dar es salaam
Nataka kununua
Tupigie kwenye 0654865760