#MZEE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za TH-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.

ความคิดเห็น • 23

  • @alanalexanderntuule6262
    @alanalexanderntuule6262 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Bwana

  • @RobertMawe
    @RobertMawe 3 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe baba maubri yako na nyimbo zako zinanifungua san

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 3 ปีที่แล้ว +4

    Daaa moyo wangu upata nguvu zaidi nisikilizapo nyimbo zako

  • @RobertMawe
    @RobertMawe 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mno mtumishi WA bwana

  • @annamapessa8237
    @annamapessa8237 3 ปีที่แล้ว +3

    Amen mwaka wa Kasi mpyaaass 2022 mwendo wa Eagle

  • @happinessoko3421
    @happinessoko3421 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwimbo huu nikisiliza Nabarikiwa sanaa

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj ปีที่แล้ว

    Huu wimbo mtakatifu saaana kwetu pia waimbaji na wasikilizaji, barikiwa...

  • @RobertMawe
    @RobertMawe 4 หลายเดือนก่อน

    Baba ubarikiwe mno mno

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 2 ปีที่แล้ว +1

    Wimbo unanibariki saana yaani unatamani usiishe sayuni uendelee tu

  • @ahimidiwegetson6781
    @ahimidiwegetson6781 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu mwema wimbo mzuri

  • @estermtambala4181
    @estermtambala4181 ปีที่แล้ว

    Ameeen kubwa mtumish

  • @noelpaul640
    @noelpaul640 2 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo huu unaimarisha Moyo wangu

  • @edwardgoodluck4484
    @edwardgoodluck4484 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU

  • @christophermwashala469
    @christophermwashala469 5 ปีที่แล้ว +3

    Haleluya

  • @kalovaedward1017
    @kalovaedward1017 4 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo mzuri sanaa. Haleluyaaaaaa

  • @mosesshaban6463
    @mosesshaban6463 3 ปีที่แล้ว +1

    Good song

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @emmanuelngoda2536
    @emmanuelngoda2536 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin7090 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice song

  • @RobertMawe
    @RobertMawe 2 หลายเดือนก่อน

    Baba umenitokeya kwenye ndoto umeniambiya ninunuye mitungi ya gesi iyo kuwa na gesi iwemingi arafu utanierekeza chakufanya

  • @eddahmwampagama2618
    @eddahmwampagama2618 4 ปีที่แล้ว +1

    Sayuni sayuni

  • @paultirigo6238
    @paultirigo6238 2 ปีที่แล้ว +1

    Why now father but najuwa unapitishwa ni mda sasa wa mwana kondoo wa mungu kujaribiwa naam nami nalijuwa but najuwa utashinda na utasimama kama mungu ndio aliyekupa najuwa bado anakupenda naumia sana why why moyo wangu ukisikia SAYUNI nakumbuka uliniombea nikapona mungu yupo

  • @silajohn559
    @silajohn559 4 ปีที่แล้ว +1

    Saf san