Hakuna vita iliyo njema, Mungu simamisha mapigano tupe Amani, mnafurahia vita hao Wanajeshi wanakufa pia walizaliwa na Wanawake, wanastahili kuishi kama watu wengine walio huru.
Safi sana Putin ameonyesha yeye ni mwanaumme kweli na jeshi lake sio mburu kenge wamarekani kazi kuonea waafrica tu na kuwatengenezea case za ugaidi ili waibe vizuri ila Putin kawanyoosha nguruwe weupe 🤨
Putin anajinyoosha mwenyewe hakuna rai wauingereza anaeteseka hakuna raia wamarekani wala ufaransa wala ujerumani wanaoteseka Ukraine ni waukrain nawarusi kama hujui zile zote zilikua nchi moja tu Soviet union kwaio wanamahusiano yadamu nakindugu kabisa Urusi na Ukraine putin anajua hilo lakini ww mihemko inakusumbua upo upo tu kama bendera unafata upepo..🤣🤣🤣🤣
@@kassimmussa8015 muongezee kaka tena afuatilie kwa makini Ukraine 🇺🇦ilitaka kujitenga tokea awali kabla ya raisi huyu inamaana ulikuwa ni mpango wa serikali ya Ukraine 🇺🇦 raisi huyu nikama mtekelezaji sio jambo alilo lianzisha ni mikakati ya serikali ya 🇺🇦
@@bybytata7456 Kwan watajitenga marangapi si wajitenga na wew wala abari huzifatiliyi vizuri,tatizo ni kutaka kujiunga na NATO wakati NATO nimushirika mukubwa wa marekani na lengo la marekani ni kuiangamiza urusi ili abaki mutawala wa dunia peke yake jambo linalo mukera murusi kuona jirani yake ukraine mtoto wababa moja kumukaribisha adui yake tena kwenye mulango wake ili amuangamize wew kama wew ungelifanyaje?
@@patrickmulamboruhurumba4639 mm sio msomi sana ila soviet Union iliisha 1991 kila mtu ana maamuz yake....na kama Russia wanaogopa mmarekan kukatibishwa na Ukraine kwenye mipaka yake kwann Russia asigombane na mmarekani anampiga Ukraine...kuna vtu havimake sense..
Haya we unga tu mkono mambo usiyoyajua ingekuwa ni hapa sijuii ninani angekuunga mkono, embu jitambuee acha ongea vitu vya ajabuu bhana we unaona watuu wanakufa alafu etii una unga mkonoo,,, Daaahhh
@@manilabonalumanula1014 wazugu wametununuwa Kama kukusokoni watutesa kila Aina yamateso utumwan nahad leo lasilimali zetu wanabeba bila huluma watutegenezea magonjwa kilakukicha Sasa wakiumizana wao leo sisi kipi kinatuuma
Ww mathias lulengo nn kujipendekeza na wazungu? Ukraine akipigwa ww unaumia nn? Na hao wamarekani unaowategemea na wao wana mwisho wao hivyo hivyo maana hii dunia c yao peke yao kwamba kila cku wapige wao tu
Good but elewa kitu kimoja,hao Ukraine unaowaombea,rafiki yao mkubwa ni marekani,na nafikiri unajua jinsi marekani alivyodhulumu nafsi za watu ktk mataifa ya kiarabu na afrika tena bila kupewa vikwazo vyovyote,Leo Putin anapewa vikwazo,tafakari kwa makini...
@@ahmadbadawi9664 haswaa... marekani wameua mamilioni ya watu afganistan Iraq Syria Somalia wao ndio waasisi wa ISIS, Taliban, Alshabaab na makundi mengine mengi. yoote haya wayafanya kuzua vurugu ili biashara ya mafuta duniani iwe mikononi mwao.
🔥🌸🌺😍 Mishono ya vitenge na vitambaa vyepesi 👇👇👇👇 th-cam.com/channels/e2Tu3D-Ckp0SIvvzB_-aSw.html Sun: "Hotter"🌺 Sugar: "Sweeter"🌻 Joonie:"Cooler"🌸 Yoongi: "Butter"😍 Son unos de los meiores conciertos 🌸🌺😍❤️
Ni kweli hawa wote ni ndugu lakini tafauti yao taifa dogo la ukraine lina msimamo tafauti na halitaki kushiksmana na urusi imekuwa NONGWA ..WANAUWANA KAMA HAWAJAZALIANA HAPO ZAMANI ILIKUWA NCHI MOJA ..HUMU KATIKA MITANDAO KUNA WATU KAZI YAO KUTOWA MATUSI TU WANASHABIKIA MRUSI WALA HAWAJUWI KAMA HAYO MATAIFA YALIKUWA NCHI MOJA WEWE UKITOWA MAONI YAKO WANAKUTUKANA .
Marekani ndo nani kwanza?. Bado kitambo kidogo sana dunia itajua ufuksa unaofanywa na marekani na mataifa ya magharibi. Ktk hili nakuachia utizame hii video vzuri ndo utajuwa Marekani na mataifa ya magharibi wanapenda double standard. th-cam.com/video/mu2uI0gZD-c/w-d-xo.html
@@yussufpandu1852 Kama walikua taifa moja kwa nini mmoja atake kuwa kibaraka wa adui yenu!! Kumbe mrus Yuko sawa kwa ili wacha awagongeshe2 kumbe ukrane wanataka susaliti kambi!!
Ww mathias lulengo nn kujipendekeza na wazungu? Ukraine akipigwa ww unaumia nn? Na hao wamarekani unaowategemea na wao wana mwisho wao hivyo hivyo maana hii dunia c yao peke yao hii kwamba kila cku wapige wao tu
The first time in media 👍
Safi sana.
Itafika hatua dunia itajua udhalimu wa USA na washirika wake
Safi sana
Alafu naipenda urusi mimi
If you Support Russia with their president Putin put like 👍👊
Russia fight Ukrainian neo naZi alone again. All prayers for Russia 🇷🇺. Well done Serbia 🇷🇸….well done!!!!!!🥰
👊
Nipo na nyinyi urusi
Hakuna vita iliyo njema, Mungu simamisha mapigano tupe Amani, mnafurahia vita hao Wanajeshi wanakufa pia walizaliwa na Wanawake, wanastahili kuishi kama watu wengine walio huru.
Hata Mimi naunga mkono
Yes you did it 👍🙏🙏👏🙏
#standwithrussia 🇷🇺 + 🇹🇿 ✊🏾
Na mm naunga mkono
Am from Tanzania I pray for victory for Russia without any blood being shed
I pray for orthodox people thats what The Quran tells me salaam from Tanzania.
Putin piga kazi
Safi
🇷🇺🇷🇺🇷🇺❤️
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
Mungu ibarik Urusi Amen 🙏
👀👍
Haki Kwa Putin..Piga Kazi mwanamke hachezewi matako
I pray for the victory of Russia
Shallow mind!
Nina furaha sana kuiona Ukraine ikipigwa cjui kwann!
Si wanataka msaliti mzazi wao kibabee acha waoneshwe ubabee
Putin piga wabaguzi wakubwa hao Ukraine
Viva 🇷🇺 viva,viva Putin
😍
Putin kazi Hiendelee
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
P🙏🏻
Kumbe wamo japo hawavumi
Na
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania tunamuombea Putin aliishi bagamoyo yule ndugu yetu kabisaa,... kashakula ugali wa muhogo na dagaa kule bwaga moyo 😂😂😂🤣
Hii ndio vitayatatu yadunia tujiandae maana kunampasuko mkubwa sana unakuja tumwombe Mungu afrika isijihusishe Kwenye hiivita
Safi sana Putin ameonyesha yeye ni mwanaumme kweli na jeshi lake sio mburu kenge wamarekani kazi kuonea waafrica tu na kuwatengenezea case za ugaidi ili waibe vizuri ila Putin kawanyoosha nguruwe weupe 🤨
Putin anajinyoosha mwenyewe hakuna rai wauingereza anaeteseka hakuna raia wamarekani wala ufaransa wala ujerumani wanaoteseka Ukraine ni waukrain nawarusi kama hujui zile zote zilikua nchi moja tu Soviet union kwaio wanamahusiano yadamu nakindugu kabisa Urusi na Ukraine putin anajua hilo lakini ww mihemko inakusumbua upo upo tu kama bendera unafata upepo..🤣🤣🤣🤣
@@kassimmussa8015 muongezee kaka tena afuatilie kwa makini Ukraine 🇺🇦ilitaka kujitenga tokea awali kabla ya raisi huyu inamaana ulikuwa ni mpango wa serikali ya Ukraine 🇺🇦 raisi huyu nikama mtekelezaji sio jambo alilo lianzisha ni mikakati ya serikali ya 🇺🇦
@@bybytata7456 Kwan watajitenga marangapi si wajitenga na wew wala abari huzifatiliyi vizuri,tatizo ni kutaka kujiunga na NATO wakati NATO nimushirika mukubwa wa marekani na lengo la marekani ni kuiangamiza urusi ili abaki mutawala wa dunia peke yake jambo linalo mukera murusi kuona jirani yake ukraine mtoto wababa moja kumukaribisha adui yake tena kwenye mulango wake ili amuangamize wew kama wew ungelifanyaje?
@@patrickmulamboruhurumba4639 nam kabisaa kaka apo umenena ukweli
@@patrickmulamboruhurumba4639 mm sio msomi sana ila soviet Union iliisha 1991 kila mtu ana maamuz yake....na kama Russia wanaogopa mmarekan kukatibishwa na Ukraine kwenye mipaka yake kwann Russia asigombane na mmarekani anampiga Ukraine...kuna vtu havimake sense..
Viva viva poutine viva viva africa
Hao wanaotaka ushoga wamemsahau mungu waache wapingwe Ili wakumbuke waliopo kosea Kwa bwana
Hao washoga wametoka wapi? Kwangu mm najua ni wamarekani ndio moja wa mashoga wakubwa na wanaoikontrol ni wao pia
WOTE HAWA MUNGU AWASAMEHE MAANA HAWAJUI WAFANYAYO MUNGU AWASAMEHE.
Wewe ndio unajua Acha kujifanya mdini sana
Atamungu aliruhusu vita kupigana na maadui zake nawatu maelfu walikufa kwaiyo vita nilazima iwepo tuu
🤝🤝🤝🤲🤲🤲👊👊👊💪💪💪
Hata Mie namuunga mkono Urusi
Haya we unga tu mkono mambo usiyoyajua ingekuwa ni hapa sijuii ninani angekuunga mkono, embu jitambuee acha ongea vitu vya ajabuu bhana we unaona watuu wanakufa alafu etii una unga mkonoo,,, Daaahhh
Weka namba yako tukutumie nauli na uje nikuazime gobole ukamuunge mkono kwa vitendo
@@manilabonalumanula1014 wazugu wametununuwa Kama kukusokoni watutesa kila Aina yamateso utumwan nahad leo lasilimali zetu wanabeba bila huluma watutegenezea magonjwa kilakukicha Sasa wakiumizana wao leo sisi kipi kinatuuma
@@manilabonalumanula1014 hata Mm na muunga mikono tena yote miwili
@@deusrobart8181 hahahahahaa gobole lipo moja lkn usijali nitakupa manati ukatungue ndege za wabaya wako
❤❤молодец путин дай бог тебе здоровья
Putin muumba wa viote akulinde
Ww mathias lulengo nn kujipendekeza na wazungu? Ukraine akipigwa ww unaumia nn? Na hao wamarekani unaowategemea na wao wana mwisho wao hivyo hivyo maana hii dunia c yao peke yao kwamba kila cku wapige wao tu
Putin tupgie wahuni wa Dunia
WW3 imeanza
Haki dunia kwisha eti odhodox wanaunga mkono vita ewe Mungu shuka
We don't support war we support good which is Russia
💛💙💛💙Ukraine 🇺🇦never 💪💪💪💞💞💞💞much love Allah bless 🙌Ukraine 🇺🇦امین امین یارب العالمین 🤲🤲🤲😘😘😘💖💖💖💖💖💖💖💖💖💙💛💙💛💙💙💙💙💙💙💙💛💛💙💛💙💛
Good but elewa kitu kimoja,hao Ukraine unaowaombea,rafiki yao mkubwa ni marekani,na nafikiri unajua jinsi marekani alivyodhulumu nafsi za watu ktk mataifa ya kiarabu na afrika tena bila kupewa vikwazo vyovyote,Leo Putin anapewa vikwazo,tafakari kwa makini...
@@ahmadbadawi9664 haswaa... marekani wameua mamilioni ya watu
afganistan
Iraq
Syria
Somalia
wao ndio waasisi wa ISIS, Taliban, Alshabaab na makundi mengine mengi. yoote haya wayafanya kuzua vurugu ili biashara ya mafuta duniani iwe mikononi mwao.
Only Russia is fighting terorismus and neonazismus
🔥🌸🌺😍 Mishono ya vitenge na vitambaa vyepesi 👇👇👇👇
th-cam.com/channels/e2Tu3D-Ckp0SIvvzB_-aSw.html
Sun: "Hotter"🌺
Sugar: "Sweeter"🌻
Joonie:"Cooler"🌸
Yoongi: "Butter"😍
Son unos de los meiores conciertos 🌸🌺😍❤️
Putin respect to you forever piga kazi mpaka kieleweke
Huyu puttn anakuja kuwawa vibaya xna leten tu nyege zenu mtamjua marekani kwa nin duniani kote inatumia hela yake mrusi Hana ubavu Ni mbwembwe tu
Ni kweli hawa wote ni ndugu lakini tafauti yao taifa dogo la ukraine lina msimamo tafauti na halitaki kushiksmana na urusi imekuwa NONGWA ..WANAUWANA KAMA HAWAJAZALIANA HAPO ZAMANI ILIKUWA NCHI MOJA ..HUMU KATIKA MITANDAO KUNA WATU KAZI YAO KUTOWA MATUSI TU WANASHABIKIA MRUSI WALA HAWAJUWI KAMA HAYO MATAIFA YALIKUWA NCHI MOJA WEWE UKITOWA MAONI YAKO WANAKUTUKANA .
Kwa ni wewe bujui mmarekani wako anatumia ubavu wa bibi yako nyoko
@@hmmarjabi4283 jiheshimu sawa tumia vzuli mitandao ya kijamii sawa pole Sana
Marekani ndo nani kwanza?. Bado kitambo kidogo sana dunia itajua ufuksa unaofanywa na marekani na mataifa ya magharibi. Ktk hili nakuachia utizame hii video vzuri ndo utajuwa Marekani na mataifa ya magharibi wanapenda double standard. th-cam.com/video/mu2uI0gZD-c/w-d-xo.html
@@yussufpandu1852 Kama walikua taifa moja kwa nini mmoja atake kuwa kibaraka wa adui yenu!! Kumbe mrus Yuko sawa kwa ili wacha awagongeshe2 kumbe ukrane wanataka susaliti kambi!!
Pumbavu
God bless Russia God bless Africa
Putin forever
well, Serbians said " Goodbye Europe, welcome poverty !"...."proud" nation with empty pockets
Thanks, we don't want to be a part of that peace of sh1t
Safi
Ww mathias lulengo nn kujipendekeza na wazungu? Ukraine akipigwa ww unaumia nn? Na hao wamarekani unaowategemea na wao wana mwisho wao hivyo hivyo maana hii dunia c yao peke yao hii kwamba kila cku wapige wao tu
Urusi piga Ukraine na baadae uchukue nchi hiyo