WAHALIFU WA KULUNA WALIOPIGWA RISASI HADI KUFA CONGO DRC, MWANDISHI ASIMULIA MWANZO MWISHO SIO KWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 289

  • @mariachuri7123
    @mariachuri7123 10 วันที่ผ่านมา +18

    Honestly hii habari nilikua nasubiri Ayo atoe habari juu ya hili, asante Ayo🎉

    • @elimukwadada
      @elimukwadada 10 วันที่ผ่านมา +1

      African nzima iwe na adhabu kama hii. Magenge siku hizi wamezidi

  • @SwaumuMande-c8d
    @SwaumuMande-c8d 7 วันที่ผ่านมา +1

    Nawapenda sana ayo I love u sanaa kwelii tuwe makini kwenye kupokea taarifaa jaman tufatilie kwa umakini😢😢Respect kaka

  • @ramadhanmanyota3727
    @ramadhanmanyota3727 10 วันที่ผ่านมา +33

    Safi saaaaana .......
    Ayotv mnatoa na kuthibitisha habari za "ukweli usiopingika"

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki 10 วันที่ผ่านมา +6

    Tunakupata vizuri sana ndugu mwanaharakati kwa habari za ulimwengu mungu akubariki sanna maoni yangu nikwamba wale vijana nikweli niwauaji na kupora mali za watu maana hata wacongo waliopo kenya wanadai kufanya sherehe wakidai kuwa ndugu zao wengi wamruawa na hayo magenge ya kuluna hivyo basi wakaamua kufanya sherehe kwa kuunga mkono serikali kwa kufanya tendo hilo baya la kuwaua genge hilo lakuluna ni ajabu sana

  • @MaulidAlly-rj5wc
    @MaulidAlly-rj5wc 8 วันที่ผ่านมา +1

    Miladard Ayo. Ww hua haukurupuki kwenye tarifa zako nakukubali sana jeshiii 🎉

  • @MohamediHassani-z5v
    @MohamediHassani-z5v 10 วันที่ผ่านมา +19

    yuko sahii tz vituo vingi vya haba upenda kutoa taarifa zisizo za kweli big up Millard ayo

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan7108 10 วันที่ผ่านมา +21

    Jamaa yupo sahihi sana zile video wanaopigwa risasi ni magaidi wa Al shabab Somalia na sio wakongo Kuluna wavae misuli wameanzisha utamaduni huo lini Congo

    • @MerryRenatus-ck4lz
      @MerryRenatus-ck4lz 10 วันที่ผ่านมา +2

      Ndio nashangaa milad naye saivi anazingua

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 9 วันที่ผ่านมา

      Na wengi walisema ni sumaria miladi ayo ndio mwisho wa uzushi

    • @nasrimchopa678
      @nasrimchopa678 8 วันที่ผ่านมา

      Mwenyewe nilishangaa hakuna uhusiano

  • @StevenKapugi-m4b
    @StevenKapugi-m4b 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ayo tv mungu akupe maisha mema na marefu we love u bro🎉🎉🎉🎉

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 10 วันที่ผ่านมา +15

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @NdesaBoy-i2w
      @NdesaBoy-i2w 9 วันที่ผ่านมา +1

      Amen

    • @Asha-s9u8p
      @Asha-s9u8p 9 วันที่ผ่านมา +1

      🙏🙏🙏

    • @wazirihamisi6484
      @wazirihamisi6484 5 วันที่ผ่านมา

      وَإِذْ قَالَ اللَّهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنْتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَٰهَيْنِ مِنْ دُونِ اللَّهِ ۖ قَالَ سُبْحَانَكَ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِي بِحَقٍّ ۚ إِنْ كُنْتُ قُلْتُهُ فَقَدْ عَلِمْتَهُ ۚ تَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِي وَلَا أَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِكَ ۚ إِنَّكَ أَنْتَ عَلَّامُ الْغُيُوبِ
      Na pale Mwenyezi Mungu atakapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu? (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu. Ikiwa nilisema basi bila ya shaka umekwisha yajua. Wewe unayajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyo katika nafsi yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyo fichikana.
      مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلَّا مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُوا اللَّهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ ۚ وَكُنْتُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا مَا دُمْتُ فِيهِمْ ۖ فَلَمَّا تَوَفَّيْتَنِي كُنْتَ أَنْتَ الرَّقِيبَ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنْتَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ
      Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipo kuwa nao. Na ulipo nifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe ni shahidi juu ya kila kitu.

  • @shukranmsukwa
    @shukranmsukwa 9 วันที่ผ่านมา +3

    Hakuna huruma kama wameua kwanin wao waishi,wamekatisha maisha ya watu walio tegemewa na family zao wao wakaua hapo no comment

  • @MaulidAlly-rj5wc
    @MaulidAlly-rj5wc 8 วันที่ผ่านมา

    Miladard Ayo. Ww hua haukurupuki kwenye tariff zako nakukubali sana jeshiii 🎉

  • @Fatmah-t7c
    @Fatmah-t7c 10 วันที่ผ่านมา +19

    MUNGU ni mwema YESU KRISTO awe awasamehe awabadilishe wamrudie wamtambue kwa roho na kweli waokokewaishi Maisha matakatifu ya kumpendesa MWENYEZI MUNGU kila la kheri kazi njema barikiwa sana shalom

    • @user-to6up4hg2w
      @user-to6up4hg2w 10 วันที่ผ่านมา +5

      Fatmah who told you yesu he's not God you must be fool

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 10 วันที่ผ่านมา +1

      Mbwa wew

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 10 วันที่ผ่านมา

      Dini ni uchafu kweli

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 10 วันที่ผ่านมา +2

      Amina mana Mungu wetu hana upande

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-to6up4hg2w😏😏😏👎👎👎

  • @jackisonikaduli
    @jackisonikaduli 5 วันที่ผ่านมา

    Kwaiyo kumbe sio kweli

  • @MulababazOG
    @MulababazOG 10 วันที่ผ่านมา +2

    Millard Ayo Respect 🙏 kwa Habari sahihi unayo tuletea

  • @ProJays
    @ProJays 10 วันที่ผ่านมา +14

    Nawao sai wanalia ila wakati wanadhulimu mama zetu dda zetu walkua na raha sana

    • @SheilaOmar2007
      @SheilaOmar2007 10 วันที่ผ่านมา +1

      Weeeee acha tu bora wangewaibia tu kuliko kuua

  • @BonfaceOgwe-wq9ny
    @BonfaceOgwe-wq9ny 10 วันที่ผ่านมา

    Good news ❤❤❤ thanks

  • @kobylwaho3191
    @kobylwaho3191 10 วันที่ผ่านมา +4

    TANZANIA UONGO NA UMBEA NA KUKUZA MAMBO NDO WAANDISH WANAWEZA ,tanzaumbea😂😂😂😂

    • @Tatty-u8p
      @Tatty-u8p 10 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅mbona tanzaumbea

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md วันที่ผ่านมา

    Kongo m 24 inawatia jambajamba mnahangaika na watoto wenu wadogo mnaoweza kuwaludi kwa fimbo zsasa subilini kipigo kwa mungu mtamwagana damua hao viongozi wenu wanwa damu na huyo wazili wenu mshetani mutamba atakufa vibaya mungu atawalipa mnajikosha hiyo damu mtailipa mmewauwa vijana wadogo kwa kuwachinja hiyo damu itawaghalimu mtaogelea kwenye madimbwi ya damu mpaka mtakapotubia hiyo laana

  • @RaysonMunga-f6f
    @RaysonMunga-f6f 10 วันที่ผ่านมา +1

    God we pray that you may bring peace in the world

  • @Atb300
    @Atb300 8 วันที่ผ่านมา +1

    Big up Ayo tv👍👍👍👍

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid 9 วันที่ผ่านมา +1

    Yaan vijana wadogo mno, Mungu awabadilishe tabia zao

  • @yustamshana-sx8dy
    @yustamshana-sx8dy 10 วันที่ผ่านมา +2

    Good job Millard Ayo👏

  • @PRUDENCEPAUL-m7u
    @PRUDENCEPAUL-m7u 9 วันที่ผ่านมา +2

    Ndo wanayoyafanya ata Kwa watumishi wa Mungu wanaongea sana uhongo hawa

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 10 วันที่ผ่านมา +3

    Yesu uwahurumie

  • @OscarMogella-e3q
    @OscarMogella-e3q 7 วันที่ผ่านมา

    Kwa maana jinsi hii Mungu ali upenda ulimwengu hivi hata akamtoa mwanawe pekee ili kila amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milee 16 maana Mungu haku mtuma mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu bali uokolewe katika yeye 17 asiye mwamini AMEKUSHA KUHUKUMIWA . Kama unakataa kumwamini YESU jua kabisa wewe ukifa unaenda motoni milele na milele

  • @josephmillumallugu2133
    @josephmillumallugu2133 10 วันที่ผ่านมา +4

    Ama kweli watu Kwa kuiba bando ni hatali sana

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 10 วันที่ผ่านมา +4

    Millad Ayo. N kiboko👑👑👑🇹🇿

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 10 วันที่ผ่านมา +11

    HAO MBWA WAMEPATA ADHABU NDOGO MNO WAMETUTESA SANA MADEREVA HASA WATANZANIA

    • @KyissmaMoreen
      @KyissmaMoreen 10 วันที่ผ่านมา

      Unaambiwa huko waliko ni asilimia 98 au 99 kufa...sasa adhabu ndogo iko wapi hapo ndugu yangu

    • @amisafaraji5796
      @amisafaraji5796 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@KyissmaMoreenalitak wasulibiwe Kam yesu

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr 10 วันที่ผ่านมา +2

      Sasa ulitaka wafanywe nn wakiuliwa upewe uwale nyama ndio ulizike

  • @christinapeter6850
    @christinapeter6850 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mi mbona sielewi unamaana kweli hawapigwa risasi maana tunaowaona kwenye nguzo wamefungwa

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 10 วันที่ผ่านมา +5

    Subuhanallah. Kumbe waandishi wa habari. Tz. Waongo sana. Chungeni iposiku mtaingia kwenye 18. Zao punguzeni

  • @charlesmaige
    @charlesmaige 8 วันที่ผ่านมา

    Vizurii sana hao ndo waasi wenyewe wafe muuwaji na ye pia afee unalilea jambazi jela linakula buree uwaaaa

  • @CyprianBoniphace
    @CyprianBoniphace 6 วันที่ผ่านมา

    Kifo ni kifo tu,kuchomwa sindano,kutupwa mtoni,kupigwa risasi yote ni sawa tu hayo mambo kwamba mtu anayeua kwa risasi ndiye anayepaswa kupigwa risasi ni upuuzi mtupu.

  • @martinisimioni1734
    @martinisimioni1734 7 วันที่ผ่านมา

    @mirad ayo apewe maua yake

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 9 วันที่ผ่านมา +1

    CONGO INMELAANIWA NA MUNGU

    • @NamonoJackline-q7f
      @NamonoJackline-q7f 7 วันที่ผ่านมา

      Why u say that dear Our God never his children

    • @nurumligo4862
      @nurumligo4862 4 วันที่ผ่านมา

      Mwanao angeeua na hao wahuni , hii kauli yako usingeitoa

  • @allykagawa
    @allykagawa 8 วันที่ผ่านมา

    Rip 🙏

  • @JaneOscar-g6v
    @JaneOscar-g6v 8 วันที่ผ่านมา

    Lkn hata ukiangalia waliofungwa kwenye miti na hawa ni tofauti

  • @AbdillahiMselem-ig2dm
    @AbdillahiMselem-ig2dm 10 วันที่ผ่านมา +28

    Duuh wakrsto Hadi Leo awa mjua mungu wao ninani Kuna mtu humu kaandika mungu ni mwema yesu kirsto awa samee Sasa mbona aija kaa sawa mungu ni mwema ni yupi na yesu awa samee yesu apo nikama nani au Kuna miungu miwili daah poleni sana karibuni kwenye uislam

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 10 วันที่ผ่านมา +8

      Nani aje kwa dini ya Uongo ya Muhammad na Mungu wake wa kubuni?

    • @zepinashatibu5149
      @zepinashatibu5149 10 วันที่ผ่านมา

      😅nicheke tuu na hiyo dini ya kweli yenu

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@daudimichael7338ukristo ni upagani tena ni ukafiri tena ni dini ya mashetani kwasababu inaruhusu kufirwa ndiyo maana mimi nimetoka huko katika dini ya mashetani 😊😊😊

    • @stevenmichael9264
      @stevenmichael9264 10 วันที่ผ่านมา +4

      Siku nyngine naomba tusikaribishane kweny upuuzi

    • @WilliamJamanda
      @WilliamJamanda 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@daudimichael7338😂😂😂

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md วันที่ผ่านมา

    Wewe mwandishi ni chawa kama chawa wengine

  • @SalimsaidHussein
    @SalimsaidHussein 10 วันที่ผ่านมา +2

    Wakongo mani ni wasenzi utauwaje mwanadamu Kama mnyama umesahau hata wewe muwaji sikumoja pia utakufa.kwanini vijana wasiosikia wasipelekwe jeshi wakafundishwa kijeshi Yani wafingwe maisha lakini watumikie serikali utauwa watu wengi Kama itila kunyoga niushenzi ujuwe hata wewe muwaji sikumoja utakufa na mamachungu kwa ivyo wawache huo ushenzi hawa vijana ndio watakuja saidia nchi hiyo ya Kongo.

    • @EmanuelKabea
      @EmanuelKabea 10 วันที่ผ่านมา

      Ivi wewe ushawahi kuingia kwenye kumi na nane za Hawa vijana au unaongea tu

  • @graduationtv3072
    @graduationtv3072 8 วันที่ผ่านมา

    Wauwawe tu maana wameuwa watu wengi tena kwa kuwafanyia operations za bila ganzi na kuwakata viungo

  • @omarysalim5951
    @omarysalim5951 10 วันที่ผ่านมา

    Sawa haki za binaadam zp maneno nimengi sana namm bilikua nakataa nimepata ukwer Ayo Asante nilibishana nawatu

  • @dallerbwoyniglo8675
    @dallerbwoyniglo8675 10 วันที่ผ่านมา +6

    Ni Tanzania tu watu wa ndani ya nchi wanaweza kulazmisha uongo kua ukweli
    Nachopenda nchi zingine wanajua kutetea mambo yao utafikili wao hawana upinzani 😂😂

  • @Tariqxxtenations
    @Tariqxxtenations 10 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe😢😢asee guliumia wengi mno .asante sana

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 9 วันที่ผ่านมา

    Ahsante tumeelewa

  • @NellyMadeni
    @NellyMadeni 10 วันที่ผ่านมา +2

    Umechelewa sana kutoa habari hii mpaka tumeshangaa, chombo kikuu uko kimya,,!!!!!

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 7 วันที่ผ่านมา

    Mie nilishasema huo ni uongo! Nani anaweza kuua watu 200 kwa risasi na akanyamaziwa katika dunia ya leo hii? Mbona ungekuwa kinyume cha binadamu.

  • @FarahaAbonga
    @FarahaAbonga 10 วันที่ผ่านมา +1

    Watanzania mna mambo ya kukurupukia sana,mambo ambayo msioyajua mwanzo mwisho.
    Majambazi na vibaka si mpo nao Tanzania uko mnashindwa kuwashika.

  • @mapendoumoja800
    @mapendoumoja800 10 วันที่ผ่านมา +2

    Wauwaji wameona kawaida wamejiona werevu kuliko serikali 😢😢 kwanini inchi nyingine wananyonga wauwaji??😢😢😢

  • @peterkiburio8323
    @peterkiburio8323 10 วันที่ผ่านมา +6

    Umefanya vizuri sana, tulikua tumeshangaa sana

  • @shijakashita9915
    @shijakashita9915 9 วันที่ผ่านมา

    Wapigwe risasi hao, fanyeni hivo tafadhari...waueni, chomeni sindano za sumu hao,

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 10 วันที่ผ่านมา +2

    Wengine ni Vibandidu hawalii wala nini.Ukiwaachia leo watarudi mitaani wakaue watu kwa kasi zaidi.Ubakaji wizi ujambazi unyan,ganyi haukubaliki.Panya road watoto wa Mbwa au watoto wa ibilisi hawafai kuishi.Muuwaji lazima Auwawe.Kama mtu hajakutana na balaa lakuuwawa mtu wake wakaribu au kubakwa Anaekuhusu.Ndio utawatetea wahalifu kama hao.

  • @KoleYasini
    @KoleYasini 10 วันที่ผ่านมา +2

    Gereza la Kangenga linaasilimia 99 kunyongwa..

  • @IreneWendrin
    @IreneWendrin 10 วันที่ผ่านมา

    Duh MBAKA. Wanawake wapo 😢😢😊

  • @20topbestintheworld91
    @20topbestintheworld91 10 วันที่ผ่านมา +2

    Ayo TV ndo media ya uhakika E Africa

  • @RobertChuwa-r7p
    @RobertChuwa-r7p 8 วันที่ผ่านมา

    Kwa iyo yale majeneza yalikua feki au?

  • @mwashyombo9241
    @mwashyombo9241 9 วันที่ผ่านมา

    Unachelewa kutoa habar ya mwez unaelekea saiv

  • @PeterKajana
    @PeterKajana 9 วันที่ผ่านมา +1

    Hizo video walizitoa wapi? Na hayo majeneza yalikuwa ya kazi gan?

    • @aisharamadhan4541
      @aisharamadhan4541 7 วันที่ผ่านมา

      Hayo majeneza ni ya wale waliopata ajali ziwa kivu

  • @HamzaAbdalah-d2z
    @HamzaAbdalah-d2z 8 วันที่ผ่านมา

    Ile video zawatu wanaopigwa lisasi siyo kongo

  • @barakabarkey9374
    @barakabarkey9374 10 วันที่ผ่านมา

    Wasameh ure kijana arikuwa anaria🙏🙏

  • @BienfaitKyalondawa
    @BienfaitKyalondawa 10 วันที่ผ่านมา

    Kazi jema umeongeya ukweli

  • @MiriamKanuya
    @MiriamKanuya 9 วันที่ผ่านมา

    Mmmmm vitu vingine ujifanyage mjinga

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 10 วันที่ผ่านมา +1

    sasa tuelewe nini hapo. mara wameshauawa mara bado. na walipelekwa wapi na ndege ?

  • @UlediHassan
    @UlediHassan 9 วันที่ผ่านมา

    Na bongo ije wamezid vijana

  • @revinawilson
    @revinawilson 8 วันที่ผ่านมา

    mimi namkubali milardiayo uwa ni mkweli

  • @iddywalocation1030
    @iddywalocation1030 10 วันที่ผ่านมา +2

    Nazani Media Nyingi zakibongo Mnanafasi yakujifunza Ipocku Mtaingia kwenye Matatizo yakisheria Usitoe Habari isiyokuwa sahihi Bilakuifanyia Uchunguzi Hakinifu Jamaa kaelezea Vzr sana Nimemuelewa kabisaa Nitofauti na baadhi ya Media zetu zilivyokuwa Zinatuadaa Mpaka Hisia zetu zikaenda mbali sana

  • @laurentiprochesi1197
    @laurentiprochesi1197 9 วันที่ผ่านมา

    Uwe fundisho kwa wingine kwani na wao walipoteze maisha ya wengine

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 8 วันที่ผ่านมา

    Hata wao waliua shule nzima ya watoto so acha wafe
    Imagine asubuh unapeleka watoto shule afu jion unaenda kuchukua maiti kuwa kuna watu wamewaua

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 10 วันที่ผ่านมา +2

    Ayo mngemuuliza baada ya sekeseke hilo la kukamatwa hao jamaa na kuambiwa watanyongwa je mitaani uhalifu umepungua?

    • @omaryadam6884
      @omaryadam6884 10 วันที่ผ่านมา

      Maeneo ambayo waziri hajafika ,bado shida ipo palepale, eneo la Katanga ( Lubumbashi bado amani hakuna)

  • @coneliuskimutai4766
    @coneliuskimutai4766 8 วันที่ผ่านมา

    Huongo Yako

  • @KamangaAbdallah
    @KamangaAbdallah 10 วันที่ผ่านมา

    Tanzania ni uhuru wa kusema unachotaka kwahiyo hatushangai wameshasema rosey mhando bernad Morison nawengine wengi tu wamefariki uhuru wa kuongea hii ndio tz bwana

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 10 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂Då, basi tumeuzwa balaa.

    • @floraflora5717
      @floraflora5717 10 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

    • @GracePeter-gm5pi
      @GracePeter-gm5pi 10 วันที่ผ่านมา

      Bando langu Mimi 😂😂😂😂

    • @jayjay4313
      @jayjay4313 9 วันที่ผ่านมา

      @@GracePeter-gm5pi Yaani ilikuwa bandits bandua kwa kwenda mbele.

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine 10 วันที่ผ่านมา

    Eti siyo kweliiiii

  • @anithamaganga
    @anithamaganga 10 วันที่ผ่านมา

    Kama habari haijathibitishwa na MillardAyo hiyo sisghuliki nayo, Millard kudos sana

  • @kilelolekoko8322
    @kilelolekoko8322 9 วันที่ผ่านมา

    Iyo ni funzo ya watu wenye tabia kama izo!

  • @AnnaInness-nr4ln
    @AnnaInness-nr4ln 9 วันที่ผ่านมา +1

    Wongo mutupu peuple congolais akuna aliye uwawa

  • @FredrickRichard-o2e
    @FredrickRichard-o2e 9 วันที่ผ่านมา

    Ah atakuja mwengine atasema hajakamatwa mtu kabisa mizinguo tu

  • @mnyorishow5050
    @mnyorishow5050 9 วันที่ผ่านมา

    Millard dayo mlikua wap

  • @DerickDuma
    @DerickDuma 10 วันที่ผ่านมา +1

    👍👍👍

  • @EshaKoshi
    @EshaKoshi 10 วันที่ผ่านมา

    Wafungwe milele

  • @CharlesMisungwi-f8t
    @CharlesMisungwi-f8t 9 วันที่ผ่านมา

    Wakongo mulilaaniwa baada ya kumusaliti babuyenu Patrice Lumumba aliyetakakuwaokoa kutoka kwenye makucha ya wanyonyaji wamalizenu hamuoni sababu yakuheshimu uhai au utu wa. binadamu ambaopia niwananchiwenu musichochrwe nawakoloni.we u ndani ya nchi yenu huku nyie mukiwuana wao wanatolosha uchumi wenu.

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 9 วันที่ผ่านมา

    Hawa vibaka wanasumbua sana hata mjini ukikutana naye ni ama zako amazake byobe malenga wa bbc swahili leo nimemuona live.

  • @laidahmaris.26
    @laidahmaris.26 8 วันที่ผ่านมา

    yauliwe tu hayo mashetani

  • @DeboraBenjamini
    @DeboraBenjamini 10 วันที่ผ่านมา

    Hiyo nchi ya congo wapi

  • @josebambo1419
    @josebambo1419 10 วันที่ผ่านมา

    Hao viongozi wao wapumbavu waua nguvu Kazi ya taifa ,wangepelekwa Katika mashamba makubwa wakazalishe Mali na siyo huo upumbavu wao.
    Hao viongozi wa hiyo nchi hawana hekima ninacho mie wametengeneza chanzo cha vita ya wenyewe Kwa wenyewe,wa Tanzania na viongozi wetu tusije kupiga huo upumbavu hukumuni Kwa sheria

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mmchelewa saana khaaa kuweni makini habari inaweek mbili sasa tunawategemea msichelewe habari

  • @JosephAlakonya
    @JosephAlakonya 10 วันที่ผ่านมา

    Niko nafuraha malipo ya Dunia ni hapa hapa, walikwa wanauwa pia nakubaka, alafu tatizo ni Moja watajuaje mwenye makosa

  • @waziriomari9124
    @waziriomari9124 10 วันที่ผ่านมา +4

    Kuwauwa sio sahihi wafungwe maisha tu wateseke Maisha Yao yote

    • @JOSEPHNJULAI
      @JOSEPHNJULAI 10 วันที่ผ่านมา +2

      Kumfunga mfungwa gerezan kuna gharama zake coz atahtaj basic needs such malaz , chakula n k kiping yupo gerezan serikal ndo inabdi iangaike na hayo mambo sasa shida inakuja kwann serikal iingie gharama wakat mtu ameshahukumiwa kufa????

    • @majalaworldwide
      @majalaworldwide 10 วันที่ผ่านมา

      Afungwe harafu umlishe tena 😂😂 Ni kisu tu

    • @Zanga93
      @Zanga93 10 วันที่ผ่านมา

      ​@@JOSEPHNJULAImfungwa halishwi anajilisha mwenyewe kama hauamini tenda kosa uende gerezani uone kama utakula bure😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NamonoJackline-q7f
      @NamonoJackline-q7f 7 วันที่ผ่านมา

      True

  • @DerickDuma
    @DerickDuma 10 วันที่ผ่านมา +1

    Very good

  • @dicksonoyundi4475
    @dicksonoyundi4475 9 วันที่ผ่านมา

    Mtu akiua nayeye auwawe

  • @musapaul3598
    @musapaul3598 10 วันที่ผ่านมา

    wamekufa hao sema tu zile video so zakweli

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 10 วันที่ผ่านมา

    Na Yale masanduku ya likuwa haya a kitu ndani

  • @RehemaMwinyimvua-r9w
    @RehemaMwinyimvua-r9w 10 วันที่ผ่านมา

    Huyo akimu aje
    Tanzania. Tutamshukuru

  • @ibrahimLwitakubi7
    @ibrahimLwitakubi7 9 วันที่ผ่านมา

    Nisawa

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 10 วันที่ผ่านมา

    Mmmh watu hatari sana hao

  • @Gevidotvonline
    @Gevidotvonline 10 วันที่ผ่านมา +1

    NILIJUA TU

  • @AlexDandu-gj7ij
    @AlexDandu-gj7ij 10 วันที่ผ่านมา

    This is not acceptable in modern African countries 😭

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 10 วันที่ผ่านมา +2

    😢😢

  • @FarahaAbonga
    @FarahaAbonga 10 วันที่ผ่านมา

    Akuna mtu yoyote alieuliwa,acheni uongo.

  • @propKibali
    @propKibali 10 วันที่ผ่านมา

    Hawa walianza na makundi madogo madogo yajulikanayo kama wasiojulikana. Baada ya makundi hayo kuona ni halali, hakuna anayeyabughudhi huanza kupanuka. Ndipo huja kujitokeza na kusababisha adha kubwa. Tanzania nasi, dalili hizo zipo pia, basi tujiangalie!

  • @ZahorSalum-h9q
    @ZahorSalum-h9q 10 วันที่ผ่านมา

    Afadhi sana maana ilituuma sn sn.