Nice story be blessed my wetu kipenzi Lucas Lumbasi mungu akubariki kwa kweli kazi zako ni nzuri sana pamoja na sauti tamu sana tumeinjoy sana congratulations ❤❤❤🎉🎉🎉
Mmmh eti kuvushwa kwa tope! wengine unakuta mwenzio amevuka mapema kisha unasikia Oya bd hujavuka mm ninaharaka kama vipi huwezi kuvuka mm natangulia walio bahatika na hayo ya kupata hata mda wa kushikwa mkono jmn washukuru shukran Lucas simulizi nzuri na yenye mafunzo tele ❤🎉🎉
Hongera san kaka Kapella kwa hatua uliyochua ya kumnunulia mam mkwe wako kiti mwendo,kweli nimejisikia vizur kana kwamba ni halisi,tujifunze kuchukua somo la kuwasaidia wahitaji na sio tu kwa watu tunaowajua,tunaweka akiba na kumkopesha Mungu
Jaman bro unatupeleka 🔥🔥 😅Hata hatujapua jaman jaman...!!❤❤❤ Mwalimu wa kiswahili ulisema hatufik hapa n wap hapa n wap😂😂 kaka Lucas Lumbasi katufikisha huku yaan hajapoa hata kidgo...😂
Hii familia ya akina Kapela wana maadili ya kiwango cha juu,sababu si jambo la kawaida kwa watu wa kipato kikubwa kuwa na ubinadamu kama hivi,wengi sana huwa ni wenye dharau tena hawana imani kama maskini nao ni binadamu hata huruma hakuna kabisa
Kweli hii simuliz ni fundisho la maisha ,hongera kwa kazi nzur rafiki yetu Lukas Lumbas
Nice story be blessed my wetu kipenzi Lucas Lumbasi mungu akubariki kwa kweli kazi zako ni nzuri sana pamoja na sauti tamu sana tumeinjoy sana congratulations ❤❤❤🎉🎉🎉
Mmmh eti kuvushwa kwa tope! wengine unakuta mwenzio amevuka mapema kisha unasikia Oya bd hujavuka mm ninaharaka kama vipi huwezi kuvuka mm natangulia walio bahatika na hayo ya kupata hata mda wa kushikwa mkono jmn washukuru shukran Lucas simulizi nzuri na yenye mafunzo tele ❤🎉🎉
Asanti sana Lucas simulizi mzuri sana ya Binti kiziwi natumai tutapata sehemu ya 5 ❤❤❤ asanti sana
Mashabiki WA Lucas mko wapi tuwendelee kusikia binti kiziwi Leo nimewahi wakwanza naomba like zenu❤❤
Ucjal tuko pamoja ila changa moto hazikoc aswaaa mma mkwee
Tupo hapa tayari my dear
Simulizi nzuri napenda sana I've uwalisia anyone Lukas lumbasi unatupea burdening sana endelea na kazi yako nzyri na God bless you and protect you
❤❤ jameni watatu hivi kutoka Uganda 🎉🎉
Much ❤❤ kaka lucas congrats🎉🎉 kwa simulizi tamu 🇰🇪
🎉🎉🎉
Hongera san kaka Kapella kwa hatua uliyochua ya kumnunulia mam mkwe wako kiti mwendo,kweli nimejisikia vizur kana kwamba ni halisi,tujifunze kuchukua somo la kuwasaidia wahitaji na sio tu kwa watu tunaowajua,tunaweka akiba na kumkopesha Mungu
Kaka Lucas unanawez mpak unaweza tena❤❤❤
Asante sanaa Lucas kwa simulizi hii tamu kweli kweli jamani duuh ♥️ ♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao 😂😂😂😂
Jaman bro unatupeleka 🔥🔥 😅Hata hatujapua jaman jaman...!!❤❤❤ Mwalimu wa kiswahili ulisema hatufik hapa n wap hapa n wap😂😂 kaka Lucas Lumbasi katufikisha huku yaan hajapoa hata kidgo...😂
Nimewahi asante sana kaka Lucas Lumbas tunakupenda sana ❤❤❤
❤❤❤
Kazi ya mungu hahina makosa asente Sana Lucas lumbasi
Eti mnawahigi sa ngap I mbon me kila siku wamwisho wenu okay mliowahi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kila siku saa tisa kamili watu wapo youtube❤
Kumtambulisha mtu umpendae siyo haramu dini inaruhusu Lucas biger up
Hongera kaka Lucas 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳 kazi nzuri 😊
Mwenyeezi Mungu awajalie penzi lenu lidumu milele Amen 🙏
Nimefika wa kwanza kabisa,,,,nimsikie Kapela na Batuli wanavyoendelea na penzi lao jipya
Ndio inazid kunoga,ongeza muda kama inawezekana tafadhali,angalao saa 3 au ikishuka sana saa 2 na nusu,kazi nzur ina mafunzo mazur sana ya kimaisha
MashaaAllah shukran kaka Lucas Lumbasi kwa mwendelezo ❤❤❤
Hongera Lukas jameni ❤❤
❤🎉luca una maneno fulan hv yn nikikusikiaga nacheka tu km mwehu 😂😂😂
kapela ana enjoy penzi zitto❤
Jamani sio kwaku tuimbia eti upo single apana nisha mupata wangu ehe jmn😂😂😂😂 aya hata sie tuna enjoy hapa😂👍🏾
Kaka Lucas unatupa amani sana unatutoa uchovu sana kaka unaweza sana ❤❤❤
Duuuh Tena moto unawaka🔥🔥❤️❤️❤️
🎉🎉 nimechelewa ila nipo sambamba na Luka❤❤
Wewe nikisema mauwa upewe basi upewe kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Yaaani natamani tu isije tokea changamoto yoyote
Nimewai wapi like 👍 🎉🎉🎉🎉🎉
Lukas dear tutumie bas kipande Cha sitaa tutulize moyo😎
❤🎉🎉 nilikuwa nimeingoja kwa bidii sana simulizi tamu sana
🙏🙏🙏🙏🫶🙏🫶🙏🫶🫶🫶🫶💚💛💚💛💚💛💐🎁Lucas ujue unanifanya nicheke pee nimeipenda sana haraf kubwa zaidi ni msimuriaji anavyo weka vionjo fulani 👌👌👌👌👊👊👊💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🫶🫶🫶
Kofi la moto😂😂😂😂😂
Hata kwenyetope nilivushwa sasa niliambiwa vuka mwenyewe
Nilijua tu😂😂😂😂
Jaman Kapella muhurumie mam mkwe wako umnunulie baiskeli nyingine hiyo inamsumbua,maadam una uwezo
Nikweli
🎉🎉🎉🎉🎉Kaka lukasi maua yako❤
Simulizi nzuli sana kaka lucas ila dakika ni chache ongeza basi❤❤❤❤❤
Nimewai sana nzuri mno
I love this simulizi
Shukrani sana Mungu awatanguriye kwasimurinzi ❤
What a love story❤
Jamani Anko Lucasi Kwan kupenda nidhambi❤❤❤😊😊🇴🇲
Pokea mauwa🎉🎉🎉🎉Kwa story dzuri
Huyu faith anakutakia nn halafu mamayako hajui kama huyo nichawote mana angejua asikuandama hivyoo jamani
Unapochelewa kusema hisia zako mwezako ako anamtamani wee kaazamoyo dea kp
Very stor so much ❤❤
mashAllah kaka lucas 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Ila Lucas mkorofii eti tunashikwa mikono tukivushwa kwenye matopee 😅😅😅😅😅😅😅
Jamani kaka Lucas tupe utamu wa sehemu ya tano basi
Lucasi unajua mpaka kuhadithia huku ukichekesha flan hivi😂😂😂
Wa kwanza leo 😂😂😂
Unasimulia very jmn lucas
Ishallah tuombe mungu wakesho
Hadidhi ni nzuri ila kunamaneno yanamisi kupata Radha kamili
Nimkosoe Kapela,ile no ya faith hakupaswa kuwa nayo maana tayar alishaazimia kutoendelea naye kimahusiano
Mbona nalia kitoto jameni, kwa kweli kuna mapenzi ya kweli😭😭😭😭
Wapili mm jmn😂 😂🎉
Huyu faith yupo wap tukamchape makofi mengine
That is wright block is solutions
Asate kwamafunz mazuri
Wa kwanz🎉🎉
Mpaka sasa watu 3 ni wa kwanza
My sweet person's hamjambo
Ahahahahahahah Kwan haramu
❤❤
Wow nice 🎉🎉🎉🎉
Wee kweli kutosikiliza sehemu ya 4 ni haramu 😊
Much love kaka Lucas❤❤❤
Wa 8 jomon ❤❤
ᴺⁱᵖᵒ ⁿᵈᵃⁿⁱ🎉🎉🎉
Hii familia ya akina Kapela wana maadili ya kiwango cha juu,sababu si jambo la kawaida kwa watu wa kipato kikubwa kuwa na ubinadamu kama hivi,wengi sana huwa ni wenye dharau tena hawana imani kama maskini nao ni binadamu hata huruma hakuna kabisa
Up vizr
Mpenzi ww❤❤❤❤❤❤❤
Lukasi unaahadi za kweli 9kamili mzigo mezani😊
🔥🔥🔥
Asante Lucas 🎉🎉🎉
😍😍😝💯💯
❤❤❤🎉jamani
🤣🤣jamn wangapi wakisikia kizungu wanapata njaa ka devi🤪🤪
Tupo wengi aisee😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nimechelewa ila nipo❤❤❤❤
Nime wai balaaa😊
🎉🎉
Nilihisi tu kuwa Faith hatakubali kushindwa,kitumbua kitaingia mchanga wajameni,kijana awe wazi tu na mschana amwelewe
Tuwekee basi sehemu ya tano jomoni
Hapan ❤❤❤❤
Nimewai na mapema like 👍🇰🇪
Sio haramu kaka 😊
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimefika kwa wakati husika kam nawahi shuleni😉
Jamani hiisimulizi sitaki iishe haraka inabamba sana
🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Sio harum hata dini inskubali
Changamoto zitakuwepo yule bidada na mama Ake kapela lazima wataleta changamoto
Namhofia batuli jamn
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Lucas kaka twataka muendelezo wa 5
Waooo ❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Jamani sijapata muamala leo
Pole
Kaka lucas lumbasi iv uyu devi yupo sayar gan tuwekee no yakee tupo single wengine 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Tujitetee mwenzangu devi yupo single kama mm 😋