Kijana aliyemiminiwa risasi 14 ahangaika mjini Nakuru

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • Mvulana wa miaka 14 aliyepigwa risasi kumi na moja za mpira na maafisa wa usalama kwenye maandamano ya kupinga mswada wa fedha jijini Nakuru, ameendelea kuhangika na maumivu. Licha ya kuondolewa hospitalini siku tano zilizopita, kijana huyu amesalia na risasi tano mwilini. Na kama Maryanne Nyambura anavyoarifu, familia ya mwanafunzi huyu wa kidato cha kwanza imewachwa na mzigo wa kumtibu kijana huyu baada ya madaktari kuelekezea hatari ya kutoa risasi zilizosalia

ความคิดเห็น • 110

  • @shhhhh.
    @shhhhh. หลายเดือนก่อน +17

    Quick recovery, Ruto must go

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 หลายเดือนก่อน +16

    😢😢😢😢😢😢mungu mungu huruma na upendo ulienda wapi asikari mwenye alifanya hayo akose amani kwa familia yake na kwa vizazi vyake nne mungu turehemu 😢😢

    • @DorcaDaniel-pd3yx
      @DorcaDaniel-pd3yx หลายเดือนก่อน

      Usilaani usije ukalaaniwa, nena mema nawe utanenewa mema❤

  • @humphrey.m3638
    @humphrey.m3638 หลายเดือนก่อน +15

    11 how? That guy should be in prison.
    WIsh him quick recovery 🙏🙏

  • @Ericmwangii
    @Ericmwangii หลายเดือนก่อน +15

    Ruto must go.

  • @molotovcocktail4207
    @molotovcocktail4207 หลายเดือนก่อน +18

    Kindly we need his parent's number.

    • @saidmambo2721
      @saidmambo2721 หลายเดือนก่อน +2

      Exactly let the mum drop her number we support her

    • @norah9345
      @norah9345 หลายเดือนก่อน

      👏

  • @saidmambo2721
    @saidmambo2721 หลายเดือนก่อน +7

    Lete namba mamaa tukusaidieeee😭😭😭😭

    • @norah9345
      @norah9345 หลายเดือนก่อน

      👏

  • @aaliamasachi9510
    @aaliamasachi9510 หลายเดือนก่อน +4

    Allah ampe shifaa na waliomdhulumu huyu mtoto Allah atawalipa so sad watu wamekua wanyama kana kwamba hawana watoto subhanaAllah yote Kwa sababu ya dunia .kama ni ruto dunia utaiacha pesa hizi huzikwi nazo kila mwanadamu ataenda bila Mali ila ataenda na matendo yake jiulize matendo yako ni yapi subhanaAllah

  • @mauriceshilabula4574
    @mauriceshilabula4574 หลายเดือนก่อน +5

    this is why ruto has to go

  • @nyamwangierick2820
    @nyamwangierick2820 หลายเดือนก่อน +7

    Unda pay bill pls ata ka nikamia katasaidia

  • @user-ih4ps5po9o
    @user-ih4ps5po9o หลายเดือนก่อน +5

    14 mtu mmoja hata kama huyo police ni shetani 😢😢

  • @user-ox6dm2fx5e
    @user-ox6dm2fx5e หลายเดือนก่อน +7

    It will never go unpaid 😢

  • @user-ih4ps5po9o
    @user-ih4ps5po9o หลายเดือนก่อน +4

    Hata yule mtoto wa 12 yrs alikua ameweka mkono mmoja kwani nia ya hawa police ilikua nini😢😢😢😢

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t หลายเดือนก่อน +9

    Wana roho mbaya hawa police aki ata roho yaliuma😢💔

  • @user-ip9ni9yd9w
    @user-ip9ni9yd9w หลายเดือนก่อน +3

    Woi woi may God come and minister him .Give him alot of oranges for vitamin c. I dedicate psalm 109 for the poor boy.

  • @StephenWekesa-ul8il
    @StephenWekesa-ul8il หลายเดือนก่อน +5

    Nilikuwa natetea Ruto but acha tu aende

    • @sheilagg1503
      @sheilagg1503 หลายเดือนก่อน +2

      Hio ni shetani walai

    • @StephenWekesa-ul8il
      @StephenWekesa-ul8il หลายเดือนก่อน +1

      @@sheilagg1503 this is too much now hata Kama tuko kwa serikali

  • @janeochengo143
    @janeochengo143 หลายเดือนก่อน +7

    Pole kijana tuma number

  • @joyceowoko3287
    @joyceowoko3287 หลายเดือนก่อน +2

    The government should do something this boy is in pain ooh God I can imagne how he sleeps with pain 😢😢😢

  • @mohamedgathu2676
    @mohamedgathu2676 หลายเดือนก่อน +3

    Very sad... justice 😢 justice 😢 justice

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 หลายเดือนก่อน +5

    Dah sasa zote hizo jaman??? Yan inamaana alikuwa tu amelala chini.. Huu ni ikatili mkubwa sana uliopitiliza. Mm ni mtanzania ila hii kitu imeniuma sana

  • @JanetKimathi-bw9rv
    @JanetKimathi-bw9rv หลายเดือนก่อน

    Ak pole kabro,mungu ako nawe,naomba qr from God,huyo alikutendea ayo mungu ananamjua na atafanya revenge

  • @glado6550
    @glado6550 หลายเดือนก่อน +5

    Where is kome

  • @SalomePeninah
    @SalomePeninah หลายเดือนก่อน +3

    Pole kijana

  • @victormuthui8937
    @victormuthui8937 หลายเดือนก่อน +8

    Tumeni number

    • @norah9345
      @norah9345 หลายเดือนก่อน

      👏

  • @FatumaBasho
    @FatumaBasho หลายเดือนก่อน +2

    Allah ampe shifaa ya haraka 🤲🤲

  • @sylviawambui748
    @sylviawambui748 หลายเดือนก่อน

    Zakayo na Jezebel wako hop mnafurahiya sasa😢 huyu mama aingie Tiktok tumchangie

  • @jameskeremi7066
    @jameskeremi7066 หลายเดือนก่อน +2

    Awa polisi nimatasa waezi saa watoto na mungu wasiwapee watoto😭😭😭

  • @alextwiri
    @alextwiri หลายเดือนก่อน +7

    ndio maana nachukia polisi malaya hao😢lakini najua watalipia haiti😢

  • @user-rf7wx7og6t
    @user-rf7wx7og6t หลายเดือนก่อน +9

    Hawa police hawana watoto 😢😢😢

    • @evansouma4333
      @evansouma4333 หลายเดือนก่อน

      Mtoto alienda maandamano kufanya nini? Huyu alienda statehouse kujaribu kuingia

    • @skyhaker4742
      @skyhaker4742 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@evansouma4333 protest is a right of every kenyan.... Reason kama mtu mkubwa and read the constitution.

    • @skyhaker4742
      @skyhaker4742 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@evansouma4333secondly it is clear that you didnt hear or understand the story coz.... He was shot in town not at statehouse.

    • @japhetizrael5559
      @japhetizrael5559 หลายเดือนก่อน

      ​@@evansouma4333Ingekuwa kwako ama ndugu yako ungekuwa waeza ongea hivyo kweli

    • @mayaspanic221
      @mayaspanic221 หลายเดือนก่อน

      @@evansouma4333 if this was your son, you wouldn't be talking like a deranged demon

  • @sabbathfaith879
    @sabbathfaith879 หลายเดือนก่อน +2

    Paybill or anything we will help

  • @Nicholas-yr2sq
    @Nicholas-yr2sq หลายเดือนก่อน

    I hope zakayo is watching keenly, this week lasima atuuwe wote atumalise🔥😣

  • @CoxConcept
    @CoxConcept หลายเดือนก่อน +5

    Ati mlikua mmeficha uso, mkasahau uko mwisho...

    • @cryptoth4n0s77
      @cryptoth4n0s77 หลายเดือนก่อน +1

      With Kenyan media houses, anonymity is never there. You are likely to get killed by them doing expose because this is not the first time they have failed to blur out completely. They usually fail at the thumbnail shot, or at the first of the film and the tail end.

  • @lucymwangi655
    @lucymwangi655 หลายเดือนก่อน +1

    Pay bill plizz

  • @jameskeremi7066
    @jameskeremi7066 หลายเดือนก่อน +1

    Very sad 😭😭😭

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred หลายเดือนก่อน +2

    Waaah police haki

  • @valerineval3233
    @valerineval3233 หลายเดือนก่อน

    May God intervene this is so painful

  • @iwork7257
    @iwork7257 หลายเดือนก่อน

    Ruto, Kindike, Bungei, and Koome should not just resign, but must be prosecuted for the deaths and injuries of INNOCENT CHILDREN

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 หลายเดือนก่อน

    MIKE SONKO kindly help!

  • @ngari117
    @ngari117 หลายเดือนก่อน +2

    remember half the deaths in 2007 pev were by police

  • @tonynjugunanjogu3090
    @tonynjugunanjogu3090 หลายเดือนก่อน

    kenyans we need to be there for each other this our brother we aint suppose to get tired we should stand for his well being pay bill itabe.we should not beg govt to help we don need anything to do with ruthless n chestthumping politicians.

  • @AhmedMohamed-wm5zk
    @AhmedMohamed-wm5zk หลายเดือนก่อน

    14, how comes😢 ?kwani huyo polisi alikua wazimu?we feel sorry for him,pole quick recovery

  • @user-wl1gn9gq3s
    @user-wl1gn9gq3s หลายเดือนก่อน

    What the hell...huyu polisi anayefanya hivi Ako na mtoto kweli

  • @danielekakoro5265
    @danielekakoro5265 หลายเดือนก่อน

    Ruto God is watching you

  • @user-to4xx3rj1m
    @user-to4xx3rj1m หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢😮

  • @peterkariuki9073
    @peterkariuki9073 หลายเดือนก่อน

    Churches cursed this country for deceiving masses of people that Ruto was their God given choice. Kumbe jamaa ni nyoka!

  • @lucymwangi655
    @lucymwangi655 หลายเดือนก่อน

    Woi gervment Gz saidia pliz

  • @user-vz7ey7ey9i
    @user-vz7ey7ey9i หลายเดือนก่อน

    Please wazazi next time mkisikia kuna maandamano don't allow your kids to go outside especially wanafunzi

  • @martinkaindi4988
    @martinkaindi4988 หลายเดือนก่อน

    Now I curse the police who did this

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @suzanwang7654
    @suzanwang7654 หลายเดือนก่อน

    NA Raila anasema dialogue

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 หลายเดือนก่อน

    The police who did this will never find peace in is ethere life 🙏🙏🙏🙏

  • @erickonsongo8377
    @erickonsongo8377 หลายเดือนก่อน +1

    Tuma paybill

  • @user-ih4ps5po9o
    @user-ih4ps5po9o หลายเดือนก่อน

    Mtu amelala chini si moja tu ilikua enough 😢😢

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191 หลายเดือนก่อน

    Umaskini Kenya ni shida tu😢

  • @w32vash74
    @w32vash74 หลายเดือนก่อน

    😭😭😭

  • @seneu.2128
    @seneu.2128 หลายเดือนก่อน

    Hanifa amekalia pesa anasema atatoa pesa kwa familia za watu wamekufa na wale wa live bullets, Sasa kama huyu kijana hafai kusaidiwa? Pesa za wakenya zinaenda kumtajirisha Binti wa kisomali

    • @peterkariuki9073
      @peterkariuki9073 หลายเดือนก่อน

      Ruto thrives on blood and lies.

  • @vivianchemayek5359
    @vivianchemayek5359 หลายเดือนก่อน

    Huyo askari ni mnyama aje hata hakuwa na huruma surely 😢

  • @tumaabby2172
    @tumaabby2172 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢😢😢

  • @lillshad.spotter
    @lillshad.spotter หลายเดือนก่อน

    Our police are idiots😢

  • @jobungure7195
    @jobungure7195 หลายเดือนก่อน

    When ruto is on the throne what do you expect

  • @NelsonWakeronya
    @NelsonWakeronya หลายเดือนก่อน

    Bahati mbaya Tu, lakini usiende maandamano tena

  • @SadikiMwaipopo
    @SadikiMwaipopo หลายเดือนก่อน

    Mungu awalaani police walio shoot uyo kijana

  • @brighton1168
    @brighton1168 หลายเดือนก่อน

    Tupe namba ya mpesa tutamchangia

  • @effiekamau1748
    @effiekamau1748 หลายเดือนก่อน

    So they just spray bullets blindly?

  • @MahatechahaleEvans
    @MahatechahaleEvans หลายเดือนก่อน

    Uyo polisi afariki kabula sikuzake kufika

  • @SusanKaranja-tt8lq
    @SusanKaranja-tt8lq หลายเดือนก่อน

    Whaaaaaaaaat??????

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

      Shida iko wapi polisi akifinya mkikuyu na mkalee?😂.. Wacha wafinywe coz they celebrate when other tribes from opposition go through the same.Karma nae sio mchezo yani hii ni lesson wakenya wamepata this this time

  • @user-jk4od9vv3c
    @user-jk4od9vv3c หลายเดือนก่อน

    Tumeni namba tutoe chenye mtu ako nacho kindogo atibiwe

  • @gladyskamau9289
    @gladyskamau9289 หลายเดือนก่อน

    Hawa for mtoto kama huyu nikumchapa viboko mbili , instead ya bullets 😢😢😢

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

      Shida iko wapi polisi akifinya mkikuyu na mkalee?😂.. Wacha wafinywe coz they celebrate when other tribes from opposition go through the same.Karma nae sio mchezo yani hii ni lesson wakenya wamepata this this time

  • @alexisonthebeatproducer
    @alexisonthebeatproducer หลายเดือนก่อน

    Paybill banaaa

  • @user-hq5tq9dj2v
    @user-hq5tq9dj2v หลายเดือนก่อน

    Alieda kutafuta nini

  • @MARKNZIOKI-yy2ff
    @MARKNZIOKI-yy2ff หลายเดือนก่อน

    Akwende devil,Hana huruma kabisa

  • @dominicmusesya6428
    @dominicmusesya6428 หลายเดือนก่อน

    Kino polisi mwiandu ndia muno

  • @brendakraido1015
    @brendakraido1015 หลายเดือนก่อน

    Tuma Paybill

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 หลายเดือนก่อน

    Why are you hiding his fece, just show for Ruto and the whole world to see.

  • @suleymanislam4015
    @suleymanislam4015 หลายเดือนก่อน

    Haki haizami

  • @antibiotic7238
    @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

    Shida iko wapi polisi akifinya mkikuyu na mkalee?😂.. Wacha wafinywe coz they celebrate when other tribes from opposition go through the same.Karma nae sio mchezo yani hii ni lesson wakenya wamepata this this time

  • @MargaretWanjiru-tj6xq
    @MargaretWanjiru-tj6xq หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

      Shida iko wapi polisi akifinya mkikuyu na mkalee?😂.. Wacha wafinywe coz they celebrate when other tribes from opposition go through the same.Karma nae sio mchezo yani hii ni lesson wakenya wamepata this this time

  • @VickyChepchirchi
    @VickyChepchirchi หลายเดือนก่อน

    Ujinga ya kujifanya hero ati liberation upusi tupu ona sasa shida ameletea familia

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

      Shida iko wapi polisi akifinya mkikuyu na mkalee?😂.. Wacha wafinywe coz they celebrate when other tribes from opposition go through the same.Karma nae sio mchezo yani hii ni lesson wakenya wamepata this this time..enda pea yeye mursik