KUJITENGA NA MKEO ZAIDI YA MIEZI 4 ( MAFUNZO YA NDOA 7)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • KARIBU KATIKA CHANNEL YETU HII KWA VIPINDI VYA MAFUNZO YA DINI YA KIISLAMA NA DONDOO ZA AFYA
    #nyundotv#masjidmtoroonlinetv#sheikhothmanmaalimtv#mwanahalisi#darsatv#hatuatv#khidmatv#millardayotv#manaratv#zanzibar#oman#kenya#alfatahtvonline#alhudatvkenya#kishkionlinetv#ustadhshaiionlinetv#mpalaupdates#africatv2#muhammadnassorbachu#simulizizone#tanzania#rwanda#uk

ความคิดเห็น • 4

  • @thuweinmassoud9062
    @thuweinmassoud9062 3 วันที่ผ่านมา

    je kwa wale wenye sifa ya kusafiri zaidi ya miezi 6 nje ya nchì kwa ajili ya kufanya kazi je wanahukumu gani

  • @Ramadhwan7
    @Ramadhwan7 4 วันที่ผ่านมา

    Sheikh naomba kuuliza, hiyo talaka ilaa inaama ikishapita au mtu akiifanya ndo hatoweza kumrudia mkewake, akihitaj kumuowa tena au nimeskia vibaya, em naomba uniwekee wazi maneno yako

    • @LuluAquai
      @LuluAquai 3 วันที่ผ่านมา

      Amesema ni talaka isiyo rejea,kwamaana ikishapita huwezi kumrejea,sasa sijui kama unatakiwa kuanza mwanzo,imma ina eda sheikh nae katuacha njia panda kuna mambo ya muhimu hakuyazungumzia,yani mazungumzo yake hayajajitosheleza

    • @SalehMarike
      @SalehMarike  วันที่ผ่านมา

      Asante kwa suala lako,kwa faida ya wengi majibu tumewawekea ktk kipindi leo tafadhali sikiliza kwa makini