It's Monday morning, 1st January 2024, it's raining as I listen to this song after suffering the lose of my sister whom I grew up with listening these songs. Rest in peace Liz. 😢
Mungu na awabariki wazazi wangu , ambao walinibariki na hizi nyimbo nikiwa bado mdogo. Misingi yao ilinijenga katika imani. Ahimidiwe Mungu kwa vipaji mbalimbali.
Exactly I can remember the day as if it was yesterday,when my parents first received me into their hands, the first song that just hit my ears was this it was playing on the radio cassette of my father,It has some salvation message on it
Nani tuko pamoja nawe hapa 2024 Amina 🙏
Mimi Niko hapaaa❤
Mimi hapa
pia❤
Niko apa
I'm here with you,may God bless you 🙏
Kama upo hapa na nyimbo imekuingia 2024 piga like❤❤❤❤🎉
Nipooo
Nipoo
Nipoooo❤
Nani anawatch hii 2024 😢
Tanzanian songs are so good, can't get enough of them all day, I pray kenyan artist could learn and emulate from them, but we are all one.
Best song..with message to the generation..still playing in 2024 and forever
nana Yuko hapa 2023 jameni🤷hizi ndizo zilikua nyimbo.
Kweli
Niko nawe kabisa...na nko doha najienjoy tuh
Nipo....
@@miningfelix1472leta connection ya doha please nikitoka Saudi nije tu hustle pamoja 🙏
Sio hakina embarababa
It's Monday morning, 1st January 2024, it's raining as I listen to this song after suffering the lose of my sister whom I grew up with listening these songs. Rest in peace Liz. 😢
Ooh sorry take heart am here January 8 2024
Mungu nikikumbuke Mimi na Moyo wangu
These are the songs which natured us. They never grow old❤
Cha zamani dhahabu nyimbo za zamani nd nyimbo si za sasa hivi ni kutokea apa oman.elizabeth
Kuna wimbo waliimba unaitwa bwana atarudi siupati kabisa mwenye nao anijulishe tafadhal
The world wasn't even that bad during the time they sang this song as it is now
It's so saddening
May God help us especially the youth
Prophesy
A'm hear crying uncontrollably😢😢😢 when listening this song
Wow this song reminds me of the year 2002 when it was still fresh
This is the massage directly from heaven full of holy spirit,Mungu awabariki sana
sure
Wiimmbo nzuri saana kabisa nafarijika,mubarikiwe
Niko hapa bwana Yesu Asante kwa maisha ,Niko hapa kusikiza huu wimbo nikiwa na 31 years again.
These are the gospel songs I grew up listening to and even now their messages speak so strongly to our generation,, glory to God
Mungu na awabariki wazazi wangu , ambao walinibariki na hizi nyimbo nikiwa bado mdogo. Misingi yao ilinijenga katika imani. Ahimidiwe Mungu kwa vipaji mbalimbali.
Huu wimbo umenokumbusha mamangu. Aliupenda sana huu wimbo. Pole kwa wote mliopoteza mama. Mungu awape nguvu.
I was raised up listening on radiocasate....woow...very far we've come
Ndashima Imana kubwa korari makongoro iyibutsa byinshi mubuto bwanje Imana ishimwe kubwabo
Nani tupo naye sambamba 2/09/2024
Wangapi munaona Nyimbo hiii 2024❤❤❤
Am reminded of these morning cox of the case of LGBTQ.wish hii Wimbo ichezwe kwa media kila siku wapate ujumbe wa kutumbu
Christianity is so good.and thats why i left islam
Welcome to life brother
You're blessed
Nimebarikiwa sana kupitia wimbo huu, mbarikiwe sana waimbaji pamoja mtungaji 🙏🙏🙏
Hadi ninaokoka,mungu anipunguzie mwaka studio nyuma na 7
For the love of music it's better izi za kale kuliko hizi za hivi wajuzi🎉 kwaza kwaya siku izi zimeaaguka....
2023 am still here Kilimanjaro choir God bless your choir🙏💕
Wimbo wenye ujumbe mzuri sana Mungu awabariki
Mungu aendelee kuibariki Tanzania,
2021 our young life without stress life my dad n mom made me b a true christian
Bila madoido kufunza na kutukuza mungu na kueneza injili barikiweni
On top 2024❤❤❤
Wakati wetu hatutasahau nyimba nzuri.
Utukufu kwa Yesu, Barikiweni sana Wanakristo Wenzangu. Nyimbo nzuri sana❤🙏
So everything in this song was real. Beginning from message down to dressing.
tumtangulize mungu katika shida zetu kama tupo pamoja. sema amina
Ukweli after 30yrs.. now inaobekana dunia imeribikq sana
Ufutaji madawa ya kulevya.hiyo imezidii vijanaa❤❤❤❤
The song reminds me of my step mom. She's a very genuine soul and plays the song almost daily. Long live mamaa.
Huu wimbo naipenda sana sababu ya elimu yake wenye busara na madhili mema katika jamii
Exactly I can remember the day as if it was yesterday,when my parents first received me into their hands, the first song that just hit my ears was this it was playing on the radio cassette of my father,It has some salvation message on it
Asante sana barikiwa
Utukufu wa Mungu wetu unashuka
hi ndugu na dadangu nabarikiwa sana na nyimbo hizi kwa ujumbe mwafaka
Old is gold i used to.listen to this choir when i was 5years now over 15 years.. Glory to God
Hizi ni Nyimbo zilizo tulea hazitazeeka.
Mungu tukumbuke watu wako 😭😭😭
still listening to this song with my mum❤❤❤...i thank God for this far
Sana hata mimi zinanifaliji moyo ❤
This is the massage directly from heaven full of holy spirit,Mungu awabariki sana Best song..with message to the generation.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thanks God bless you amen..
They remind me when I was young while my mum was still alive.her favorites.so touching.feeling blessed
Kweri huo wimbo nzuri na unanikumbusha miaka kumi na saba railways
Sorry for losing your mum this songs they make me emotional thinking alot
Nyimbo zilizojawa na Utukufu.
Huu wimbo una ujumbe kweli
Mubarikiwe nyote mnaosikia wimbo huu
thanks
Amen
Mathew Sisimwo Mathew Sisimwo Ameen
Mathew Sisimwo Mathew Sisimwo mungu awfunike kwa mbawa zake nawapenda
Like the song
Nyimbo tamu mno zanituliza moyo wangu edeleeni hivyo
Best gospel song to listen I really miss.
Hii wimbo inabariki maisha yangu kila wakati Mungu awabariki sana
Mungu ni Mwema Sanaa, anatuita wote kwa Yesu ili tuokolewe, NI ujumbe mzuri Sana .
asande mungu kwa kutubariki
Starting 2024 with this😁🎉
when gospel was gospel, 2021 in style
Amen huwa najiskia furaha Sana nikisikiliza nyimbo za zamani mpangilio Wa sauti hadi rahaa Barikiwa kwa kazi ya Bwana.
Who Else is Watching in 2023 🙏🇰🇪❤️🔥
This song remind me our Panasonic radio cassette ,when I was 5 years old
Tanzania songs are like Rhumba they never get old. not like our kenyan ones
Apa Rwanda tunawapenda sana.
Hapo sawa
Amen
Dada yangu kamu miongioni yao joo kwa yesu uokolewe
End of November 2023 and the song is still ministering..🔥🔥
These two ladies have very nice voices ..God bless them
This song has been singing in my mind and finally I've found it.May be its a message.
2020 back and back again..i cant get enough of this song...Blessings
My favourite I serch hizi nazo ni siku za mwisho because I don't no which church song but I know today ❤❤❤
strong and encouraging song
I listen to this song like 26yrs ago wow still hits
Listened to this song for the first time approximately 18 years ago. It's a blessing.
When gospel was gospel
The real goespel
@@michaelmwanza3556GOD S children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏
GOD S children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏
GOD S children Inc is bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 bless to everyone and God 🙏🙏🙏🙏🙏
The pace,the tempo,the strings ..the instruments all allow you to get the message.
True evangelism:we used to flock at Railways
MY FAVOURITE ❤
Love it from Webuye Kenya.
Nyimbo za enzi zetu Hawa wakati we2 kwa sahi ni.kama Zabron Singers
nawashukuru sana choir hii kwa nyimbo zao zanibariki sana na kuniinua kiroho,Mungu awabariki
joseph mutune Amina ndugu.
Good job it's very wonderful job
Listening powerful song for repentance Nairobi, Kenya 🇸🇸
My mom's favorite one🎶😍
Nice song,l love it.Bt not coming to my u tube downloads
These songs gives me really message. Amen 🙏
REPENT MY DEAR BROTHERS AND SISTERS THE SONG IS TELL THE GOOD NEWS OF CHRIST THAT LOOK UP ON JESUS AMEN
Godly songs,loaded with messages.I love it
Genuine repentance and God will forgive you...Remember you need God in everythiing you do ...He loves the righteous who obey His Word
@@simonkyalo570 ❤❤❤🙏🙏
Current artists should listen carefully to such composition and performance
Uko sawa maana nyimbo za sasa hazina ujumbe wa kumgusa msikilizaji
Tune nzuri, wimbo mzuri, ujumbe mzuri, sauti nzuri....
It's true this is the last days 😭😭😭 kulingana na hili changa lenye likichapa dunia yote halikuchaguwa country wala rich or poor .
Hallelujah 🔥🔥
Rwanda turabakunda cyane.
🙏🙏🙏🙏🙏👌👌umegusa ndipo
Hakikaaaaa Nyimbo yenye Upako na Ujumbe wa Injili ya Kristo
Hope still strong in the Lord
Great job ❤
Wimbo mzuri sana hunibariki sana nickilizapo..... Mwenyezi Mungu awabariki popote mlipo