ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
WAMWIDUKA BAND - Live Session for "MIDEM AFRICAN FORUM" - Spotlight on East Africa.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2020
- WAMWIDUKA BAND - Live Session recorded for "MIDEM AFRICAN FORUM" - Spotlight on East Africa" presented by Midem & Nyegen Nyege.
Special thanks to NAFASI ART SPACE , Kuzilive ENT, Stonetown Record & Midem & Nyegenyege.
Daah hawa jamaa wanaitendea haki talanta Yao! No good words to express my admiration to this music
Talented panguso song ndio imenifikisha apa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu awabarik mfikie malengo wamwiduka...hvi Rayvanny huwaoni ndugu zko wa mbaya jpo utoe support
Jamani mtoe nyimbo mpya mana mnajua kuimba mpaka mnajua yanii
Nawapata saafi sana hapa Nairobi Kenya. Hongereni sana kaka zangu. Kama tunavyosema huku, mnachachisha ile mbaya mbovu. Huyo mheshimiwa wa kucheza maraka ananiuwa!
Isheeeee,,mulipamwanyaaa ,,umulungu awatule
Nasyukwa pakhaya!!!! Mko juu wadogo zangu!!!
Wamwiduka,wajipange waende kushirika saut za busara Zanzibar,watafanikiwa sana
Kula wayaaaaa
Safi,nimewapenda sana nyie watu mnaimba mno
Wamwiduka mnafanya poa sana Mungu awabariki ktk kazizenu💕💕💕
This band should perform in Kenya
Moyo acha tamaaaa
Authentic music
My people doing Afrika justice
Music is our spirituality.
When this guys sing they invoke the spirits of their ancestors directly.
Jamaa wanajua wanachokifanya! Hii ndo maana halisi ya muziki
Wanakubali sana wamwiduka
Nawakubali sana wamwidu
Enayoo
asante
Hatari SANA huu wimbo huu unaniliza sana
Ni wamwiduka hao kula waya
Haina matusi niujumbe mzuri
Hongera sana kazi nzuri
This is what we need to be hearing in Africa....cool things ....good job WAMWIDUKA BAND👏👏👏👏
Hapo mumetoboa mimi najua muliko anzia, kaza buti vijana bahaya
Nimerudia tena 2024
Mbeya home boy nakubal ma blo zangu
Tz kuna vipaji sana💌🇹🇿
Mpo vizuri vijana nilitafuta jina leo nimefurahi sanaa,msife moyo,kazi nzuri!
Nawakubali sana Wamwiduka
Mwagona sana Nazi nzuri
So natural and touching. From Burundi, nimewapenda sana hawa jamaa
Show show show! Tasafwa safi sana vijana wangu!
Yoli mwene twasafwa tumogaje
Nawakubali wasafwa katika ubora wao
Now this is authentic african music with tales and message 🎶
Natamani vijana wa Tanzania wangekuwa na uelewa na kujielewa kama hawa vijana. Jumbe zao zinaonesha makuzi yao pia yalikuwa mema. Kutoka kilugha chao mpaka Kiswahili - wanakuza Utanzania kwa wote na kuukuza utamaduni wao. Naamini hiking ni kizazi kingine cha kuungwa mkono sana na kuigwa [Saida Karoli?]
Tushow luv kwa kusurbscribe wadau, Hawa jamaa wko vizur sna.
Tauna tauna tauna nziki mwarongo mweee
Nawapenda Sana wamwiduka love from Finland 🇫🇮🇫🇮🇫🇮🤝🤝
Cx
Kazi nzuri sana 👊👊
Napenda ngoma za asili pambana usiniangushe shabiki wako. Mozambiq nangade sede kwa wajanja.❤❤
Nimeangalia nikaludia tena Natena nakubali ododo ❤️❤️❤️❤️
Wamwidunda wsko vzr
What an organic music🙌🙌🙌🙌
Tanzania mbeya region
you mustn't watch go out
Ajali ya Mbeya. 😭
Hii wimbo ni story yangu kabisa
Udada washee, nawakubari sana , huo wimbo wa soko la mwanjelwa umenigusa nikiupata
Wapo shinza sana
VIJANA WAKALI SANA MUSIC WAO TOFAUTI NA MZURI SANA SAFARI ❤❤❤❤❤❤❤
Mpo vizuri sana hongera sana. Yamwiduka band.keep up
Pamoja sana wamwiduka band i lovu your work big up sanaaaaaaaaaaaaaaaa
Wa Mwiduka mko vizuri nyimbo zenu tamu sana lkn siku hizi sizion nyimbo zenu mpya online.
extratalented guys.... waaaaaaaaaaaaaaaaah
2022…..daaah😥😥😥😥
Kwako kasha shaa
Mko vizur wanangu ❤
Sema yule jamaa kipofu mloanza nae alikua anapiga Gita yukowp
Aisee mnatisha sana kazi nzuri sana hongereni
Mnapiga shows wapi weekends?
Raha ya African music huwez iona Kama ujakutana navitu Kama iv 31_03_22
Jah awatanguliye Wamwiduka band. Maana kipaji hiki sio cha mchezo kabisa.
Mwamba huyoo
You are story tellers guys
Naipenda sn ihingoma jamani mungu azidi kujaza palipopungua
Nawaelewa sana hawa jamaa. Kitu chao kienDacho kwa jina mooyo. Utaniweka matatani mooyo
Twinzile mwiduka
Inaingiya mpaka kwa mifupa .from🇧🇮
Big up sana wasafwa wenyeji halisi wa Mbeya
Kwani connection ya kwenda American got talent inafanywa aje jaman hawa jamaaa waende wakamsimamishe simon jaman
Jamaa wanajua kinyama 🙏
hawa jamaa wananikumbusha nyumbani ( mbeya)
Muhwemba shinza sana bhana kwetu , naomba remix ya narudi nyumbani Mbeya aliyoimba Wamwiduka sio ile ya Mwanjalila wa ndaga
Kazi nzur sana
Nawapenda bule
Nawakubari saaana wasafwa mko juuu pi mwanyaaa ngani
Kazi nzuri wamwiduka tasafwa pamwanya nkani daaah mmetisha sana
watu wegine wapishe Hawa Huu ndio muziki ama.sio zile tunasikianga
AMERICAN GOT TALENT INAWAHUSU SANA ME NAWAELEWA SANA AGT MUHIMU SANA
🔥🔥🔥
oyaaa ni motoo🎤📡 full energy ni mwendo kula wayaa
Nkubli xn tn haxa hyo nymbo ya sokni
Soko la Mwanjelwa😭😭😭
💜💜💜💜💜wow such nice music🌹🌹🌹🧡🧡🧡
Sasa huu ndo muziki halisi wa kiafrika
huo wimbo unao anza ukisema nimulanda unaitwaje
that great music
Jamaa wanapaswa kufika mbali sana
tuko nyuma sana~keep going guyz
I find my Lucky Dube in you people
Nimeangalia nikaangalia Tena natena🔥🔥🔥🔥
Keep it uppp
Mnanipaga Raha sana
@@kamilusmgaya4806 qqqqqqqqqqqqqq
The real tuff gongz.
Ndio band niipendayo ..... big up sana
Sijawahi kocomment! nimekuwa nikiwafuata tangu mtaani kwetu Tandale long before. nimesubscribe kwa mara ya kwanza kwenu ili mkitoa mpya nipate immediately. hadi leo niko South Africa naendelea kuwafuata. Kiukweli napenda mziki kwa ujumla! ila nyi jamaa mpo special sana!! Mungu awabariki sana!!
WOLOWOLO MWIDUKA..KUSHIYE..TUJENDE...!!!
Nawapenda sana
Mnajua mpaka mnakera, watanzania tuko wapi kusapoti hawa watu jamani
Hata mm sana tu Wanaimba ualisia
Wanajua sana🙌
Nyimbo ya pili na ya tatu mbona hazina audio kweny platforms wakuu???
Yani mzimi mzuri 👌👌😘
Nawapenda Sanaa
Tunaomba sehemu ambazo wanafanya show weekend ....
Noma sana jama wanajua
Jamani moyo moyo💃💃💃💃💃
Mko vizuri sana
Good