Sheikh mkuu wa Dar es Salaam,Alhad Mussa apigwa kalamu na BAKWATA,Sheikh Walid achukua nafasi yake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 18

  • @rambazojournalist666
    @rambazojournalist666 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Sheikh Walid, Allah akusimamie na akuingoze katika kumtumikia yeye na waislamu kwa ujumla. Nakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 ปีที่แล้ว

    MaaaaaaashaaaaAllaaaah. Mufti wetu kichwa sn. Ana nuru kubwa. Anaona mbali sn. Allahu akbar...

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 2 ปีที่แล้ว

    Masha Allah mwenyezi mungu amuongoze kwa kila zuri na kutatulia waialamu matatizo ayo in shaallah mwenyezi mungu atamuongoza

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 2 ปีที่แล้ว +1

    ALHAMDULILLAH
    Shukrani pia kwa Sheikh Kiongozi wetu Mufti Mkuu wa Tanzania Kwa hakika tunajivunia uwepo wako Sheikh wetu
    Congratulations Sheikh Walid Alhady ALLAH Akuongoze Katika Kututumikia Waislamu na Umma wote Kwa Ujumla
    ALLAHU Akujahalie uwadilifu Uliotukuka ALLAHMMA AMIIN AMIIN AMIIN THUMA AMIIN.
    Tunakupenda Kwa Ajili ya ALLAH
    Na tunakuhakikishia Tupo pamoja Sheikh.

  • @mariamuhady6257
    @mariamuhady6257 2 ปีที่แล้ว +1

    Shk.walid ushauri wangu fanya mpango pale kichangani awepo imamu mpya badala yako!!!km umekubali ushaur wang nipe like zangu

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 ปีที่แล้ว

      Sawa ushauri ntaufanyia kazi.inshallah.

  • @abdulrahmanminjuma8649
    @abdulrahmanminjuma8649 2 ปีที่แล้ว

    Maashaallah Maashaallah Maashaallah Allah awajaze kheri nuru na hekma Masheikh zetu inshallah.
    Tena awazidishie elimu inshallah.

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 2 ปีที่แล้ว +1

    ALLAH KARIM AKUONGOZE UTENDEE MANZURI NA HAKI KWA WATU WAKO.

  • @suphiantwahiru6093
    @suphiantwahiru6093 2 ปีที่แล้ว +1

    Ee alhamdulillah, alhamdulillah, alhamdulillah,

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 ปีที่แล้ว

    Au Kama atakwenda kuyarelebisha mambo na kuwa mfano wa kuigwa kwa masheikh wengine basi ni kheir inshaallah

  • @ibrahimsaidi5068
    @ibrahimsaidi5068 2 ปีที่แล้ว

    masha allha

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 ปีที่แล้ว

    Binafsi Mimi sikupenda sheikh Walid awe katika hiyo nafasi alikua aendelee na majukumu yake sakata lao bakwata awaachie wenyewe

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 ปีที่แล้ว

    Nyie twendeni Tu Kama yote yanayo endelea ni Kwaajiri ya dini Sawa nakama yanayo endelea mnailenga dunia majibu mtayapata insha'Allah

  • @jaberalyafei274
    @jaberalyafei274 2 หลายเดือนก่อน

    Huu ni pumbavu kwanini sasa na hii tumesahau imekwisha

  • @ibrahimsaidi5068
    @ibrahimsaidi5068 2 ปีที่แล้ว +2

    sababu ya kusimamishwa ushekh wa mkoa wa dsm ni nini

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 ปีที่แล้ว +2

      Hajasimamishwa kaenguliwa yani sio sheikh mkuu wa mkoa dsm tena. Wewe kama ni muungwana sidhani kama utamfurahia yule alhad mussa.mazungumzo yake hayana busara wala hekima hakustahili kuwa pale.tena naona wamechelewa ilitakiwa aondolewe miaka kadhaa nyuma.

    • @fatmaamin3848
      @fatmaamin3848 2 ปีที่แล้ว +3

      Mumeonesha udhaifu brand ya dkt mwaka ni bora kuliko Allah yatafakarini

    • @samahabdallahmohamed1135
      @samahabdallahmohamed1135 2 ปีที่แล้ว

      Bora mmrmtoa jmn alikimua hatufai piten na mikoan mtumbue