Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
Ukitaka kujua kuna watu wananunua viewer angaliaa wimbo kama huu umetazamwa na watu wangapi hapo ndo utajua kuna watu wanajipaisha sana kwa views ila wenye mziki mzuri wanapambana kweli❤❤❤❤
It’s 2024 and it’s still a hot banger🔥🔥👏
2024 nipe like zang
2024 kama uko live na goma kali kama hili piga like yako kibabee
Tunaongalia huu wimbo 2024 like hapa❤
Ngoma noma Sana ❤❤
2024 September still 👀 Nyota naing'ae
Mm naangalia huu ni mwaka 2016 bado sijafika 2024
.......2024 hii ngoma 🔥
Nipo hapa kuwajua wanaoangilia 2024
Nipo 2024 ngonga like
Uliye husika kuungalia huu wimbo 2020 naomba tupiaa like ako hapoo
It's 2023, april.but this song hits as if it's new.its a timeless jam.
Kwa wale tunaojua mziki huu ndy mziki ambao hauwezi kufa hata siku moja, kuanzia Melody mpaka waimbaji ni raha tupu, ila watanzania wengi hawajui muzik ila wanajua kelele za muzik that's why kuna baadhi ya wanamuzik wanaoneka wanajua kuliko hawa wenye vipaji vya mziki not only that pia mziki umeshiliwa na watu bila wao mtu huwezi kunufaika na kipaji chako,unadhani kama kweli watanzania wanajua mziki na biashara ya mziki ikawa free bila kushikiliwa na watu wachache si hv vipaji vya msechu na Amini wangekuwa milionea kuliko hv ambavyo unawaona wanapiga mziki wa kuganga na njaa, Amini and Msechu nawakubali sana kaka,msijali kuna siku ukweli utajulikana, like kama tuko pamoja kwa wale wanaojua mziki
Naikubali sana ii ngoma 2023 gonga like hapa
Bado tupo nao 2024❤❤❤
Tunao upenda huu wimbo bado 2019 achia like
The chemistry of those two guys is amizing...who's still watching this ngoma 2020..gonga like ya nguvu apa!
Am here 2020
La fredoh I'm here 🙌
I'm here 🙌
2020 watching with you 💋💋
2021 🙌🙌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
best of all time ( Nyota na ing'ae kwako we bwana amini...nakuombea bado 2024🎉😢
Amin na Msechu,kwakweli nawakubali,dah....mungu azidi kuwapaisha kwakweli,nikimfikiria Linah,cjui kwanini aliamua kutemana na Amin kwakweli
Naomba like za kutosha 2023 tunao cheki ngoma hii
Ambao bado wanangalia ngoma hii mwaka huu naomba like
Namkumbuka dj arungu aiseee whose 2024
Me bad najipenda ii nyimb
Daah amazing song❤
Hakika .ni wimbo unao ishi ,living song .gonga like kama unakubaliana
It's 2023 and still I feel blessed listening to this song🙏
Here 2024 song is stil hot 🔥
Anacho Fanya ni kucheza mechi yake
kaka ujumbe umefika kwa jamii, umewagusa wengi hasa wenye ndoa zenye matatizo, wakisikiliza ujumbe huu wanavamiwa na machozi.
PAMOJA SANA
Ukilinganisha huu mziki na mziki wa sasa unaona tu tofauti hauhitaji nguvu nyingi kutambua. hii nyimbo unaisikiliza hata na mzee wako. unajenga na wala matusi hakuna. good stuff
Nimekuja kuview na mimi mwaka 2021
2023
Hiyo vocal inayomalizia kwa mbaaali inaonyesha kweli msechu noma!
Hongera kwa kutimiza viewers million 1
2020 bado tunaitumia hii ngoma kwenye playlist zetu.
"We don't search for old songs"
"We search for gold memories"🎶🎶
2024
Everlasting masterpiece🎉❤
Wote tulio upa seport huu wimbo mpka elf 2020 tia comment hapa niambie umegundua nini mimi natamani hawa jamaa waungane kama rostam
Sijui bado mnaendelea kuvumilia mpaka leo.
Bonge la ngoma kama uwelewi utaelewa tu Bigap
Narudi rudia tu kuusikiza maana nahisi wameniimbia mm kwa yalionikuta
Tuko pamoja apa mesikiliza toka asubui na naurudia rudia kila mda
Yamenikut imenibidi nije kuichek hii 2024 iko pw sn
Hongera sana brow maana hii nyimbo ina mafundisho
Huu ndio mziki wa tanganyika huu wa sasa ni watanzania gonga like 2024
Amini Amini una sauti amaizing Sana yaan after Alikiba unaweza kuwa Ni wewe, ila unafanya mzaha na muziki huu jaribu kutoa nyimbo serious hasa usikae Sana toa nyimbo Mara kwa Mara na shirikisha watu akina mr.blue na kiba mwenyewe, Mimi mwenyewe Ni mshabiki wako mkubwa Sana naumia kuona uko kimya jaribu usikubali kuwekwa chini ng'ang'ania kwenye chati kaka
Naipenda Sana hii nyimbo. ❤❤❤❤
Kwa kwel wimbo huu umetulia, hauniish hamu kuuckiliza, kaz nzur saana
"Nyota na ing'ae msechu weeeeeeeeeeeeee", kesho usiku na mchana Amini weeeee
Nipo hapa kushuhudia 1M after six years
Moja ya wimbo wangu bora wa muda wote🔥🔥🔥
Tuliokuj baada dozen selection
Baada ya 1M nimekuja kuangalia tena 🔥🔥🔥
Ninekuongezeaaa viewers 😂😂😂 Una milioniii na moja😂🙆🏽♀️
Nyota naing'aeee kwakoeee nakuombeaaa
kazi hii ilinipoza sana moyo miaka ile ya mateso
Msechu umetisha sana kaza buti utafika mbali
Mimi siwezi kuvumilia ujinga anakuja na mshikaji wake naona lazima niwachinje chinje siwezi kabisa
brother umefanya vizuri mpaka nimekukubali xana zidi kutoa nyingine mzuri zaidi ya hz
Nimerudi kuuangalia huu wimbo na kuuskiliza
2021 but still hot
Nimeipenda sana hii Peter msechu, ni yanayonitokea sasa
pole
Duu pole
Stay blessed brother
Pole ndio mapenzi ila ushauli tafuta ela utakuwa na furaha
Xhem langu amini unaweza Tena xana gonna like
😒😒 kam nimeimbiwa mimi vile hii nyimbo
Msechu upo juu huu wimbo umetulia.
From Zimbabwe and l love this song still watching 2021 👌
Kaz nzur # Amos msechu team
Hizi ndio nyimbo zinazoishi miaka na miaka
Huuu wimbo unanikumbusha mbali san aliondoka akaniacha peke yangu
Wlikutana mafundi tupu yaan Huwa sichoki kuusikiliza huu wimbo😊
Niko hapa baada ya ngoma kuhit 1M😃 🔥 🔥 🔥🔥🔥
2024 nimekuja kusikiliza nyimbo nzuri kutoka kwa Msechu
who else in 2019???
Ameshachora mas tatooo tatooo mpenzi wake mdanganyi hahaha kazi kwelikweeli
Ujumbe umefika kwa wote si mwanaume au mwanamke. Ila🥰🥰🥰
Such an underated gem.❤🎉
Huu wimbo ndio umekuwa chakula cha masikio yangu kwa sasa
Dua zao zmejibiwa
Mr msechu usikae kimya toa njimbo kali zaidi ya hii
Nyota na ing'ae kwako weee nakuombeaa wao wao waooooo duuh bonge la ngoma...msechu na amin mmeua...yani kazi nzuri mno great music everything on point...sichoki kusikiliza yani naimba hata nikiwa bafuni...keep up the good spirit...msechu yo funny tho mwishoni pale wakati unabugia nyama sijui kuku ileee lol...
Mudy Salum kaka ongeza bidii wimbo nyota ukojuu safi sana
Ulie angaliaa huu wimbo 2021 usipite bila kutupia like
Wimbo mkali sana huu, 2024 mpaka leo unadum
Tusem ukweli hii nyimb wakat inatok wengi wap tulikuw bado tupo shule at cm atun
Naupenda hu wimbo sana sana sana😊
My fave mpaka Leo 2024
Alieangalia huu wimbo 20121 gonga like hapa
Nice songs nice vison..
2023 still listen it
Nimekuja kutazama ih nyimbo baada ya Boflo Star Seach Kigoma
Kwakweli ya Amini Ni Madogo, Tatoo Tu inamliza, ILA nimependa hapo mwisho unaona bora ule zako Tu, halafu ukampa "KWENDRAAAAAAAAAA"
Ngoma kaliiii walahaitachuja
Kama bado unasikiliza track hi 2020 gonga like hapa 🙏🏽🙏🏽
😂😂😂😂 kabla jamaa ajawa muombolezaji wa serikali😂
Zidi kusema na Mola ataitikaaa.... Aseee hii nyimboo ni yenyeweee kabisaaa
Wangap wametoka kuchek interview ya msechu na kuja huku like zenu hapa tafazar
❤❤ Noma sana nakumbuka mbali kidogo
2023 we are there view 1 milion for 8 years 😂😂😂 piter msechu
2023 Sept Kama imetoka Jana. Timeless Music 🙌🏿🙌🏿
to day 2024 may song still hitting,big up a lot broo
Ukitaka kujua kuna watu wananunua viewer angaliaa wimbo kama huu umetazamwa na watu wangapi hapo ndo utajua kuna watu wanajipaisha sana kwa views ila wenye mziki mzuri wanapambana kweli❤❤❤❤
Ngoma Kali sanaaa 👊 👊🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
huu wimbo uko bomba sana
Alooih hiki chuma wallah
From Congo Brazzaville watching now
Nyimbo hii inanikumbusa Bali xana da lafiki yangu Steven da mungu amulaze mahali pema peponi 🙏😤😤
Michael Paulo steven ndio nani??
Tunao Maliza mwaka 2020 huku bado tunaskiliza This good Music Pitisha like hapa Kizalendo
msechu nakukubali yamenikuta hayo
👊
Wimbo huu ni mzuri sana.