All the from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 Siwezi nikapitwa na darasa lako naelewa vipi unavopata tabu kutuletea haya madini na kote huko hatuyapati hapa ndio nyumbani, big up dj.sma✊🏾😎
Haina haja ya kusema wewe ni mkongo, mkongo mtanzania mkenya mganda mrwanda mburundi mmalawi na wengine wote siwezi maliza hapa wewe mimi dj sma wote ni watoto wa mama Afrika, tusijbague kwa kutaja mataifa, japo najua lengo lako ni Dj Smaa ajue ana watu wanaomsikilaza mpaka Congo si vibaya sana japo usipendelee sana kujitambulisha kama ni mkongo au mtanzania.
Unajua bro mnoo natamani ungekuwa hata kaka yangu wa damu 😥 jinsi navyopenda sana hizi analysis kutoka kwako,Much Love ❤️ endelea kutupa elimu achana wale wasiojielewa kazi kukoment pumba 😂😂
Nchi zote za Kiafrika inatakiwa ziamke km wenzao wa nchi za Guinea,Mali, Burkina Faso na Niger kupinga Unyonyaji, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Utumwa wa kifikra kutoka nchi za America na Ulaya pia kuja na njia mbadala za kujiinua Kiuchumi,Kisayansi na Teknolojia maana Afrika imebarikiwa kuwa na kila kitu kitakacho chagiza maendeleo la Bara la Afrika,Mm natokea Mbeya mjini ila kwa sasa nipo Chato, Mganza Mkoa wa Geita
kwa nini Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi wa nato,wingereza, ujerumani,marekani Ufaransa wanao kufa vitani nchini Ukraine ?. au ni magogo yanakuwa siyo watu? haki za binadamu hawaoni? haki za binadamu wanashirikiana na marekani kuficha ukweli kwasababu haki za binadamu ni mali ya marekani. ingekuwa ni Africa hawatangazi asikari wanaokufa marekani angeweza vikwazo.angetuma kikundi chake kinachojiita haki za binadamu waje kulazimishwa wanajeshi wanaokufa watangazwe lakini yeye anaficha kuogopa aibu na rawama kimataifa jinsi wanavyo kufa wanajeshi wengi.
Asante Sana mtaalamu wa current affairs, scientificallyj. Ukweli unazidi kuibuka duniani. Wazungu Ni zamu yao kulipa kwa dhulma ya mali walizotunyonya enzi za ukoloni wao
Africa tungeungana tukarumia jeshi moja na pesa tungetumia tungekuwa na umoja inaitwa ALPF yaan AFRICA LOVE PEACE AND FREEDOM vita isingekwepo africa wala tusingetawaliwa kiakili na viongozi wetu wangekuwa na umoja Africa tumelala tuamkeni tuwe na umoja
Nigeria black wenzetu wanatuangusha sana, ndio maana BRICS wamewatema!
Toka Njombe ,ahsante sana .elimu nzuri
Natoka Marekani, Indiana. Mm bado ndo nimeanza kukufatilia nimevutiwa sanana nauchambuziwako 7bu hunatowa ushaidi wauwakika. Hongera sana. Soon utapata supports zetu.
Hongera sana kwa uchambuzi makini wa makalu za kimataifa nipp tayali kutoa support ili tuweze kupata madi ya nguvu kaka
Mwenyezi mungu akujaliye baba kwakuamsha wa africa
Aise bro unatupa darasa to Sha👏👏👏
Ahsnte kwa uchambuzi mzuri bro karibu Arusha
Brother I like your content najifunza vingi sanaaaaaaa brother MUNGU akuweke inshallah
Asantee ustadh smaaaaa 🎉❤ from PEMBA upembani nawakilisha 🎉🎉
All the from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
Siwezi nikapitwa na darasa lako naelewa vipi unavopata tabu kutuletea haya madini na kote huko hatuyapati hapa ndio nyumbani, big up dj.sma✊🏾😎
uko vizuri mkuu from south Afrika
Mungu akupe afya unatupa mambo mazur sana
From Rukwa
Ahsante sana dj. Ss tunaelewa ishu nzima endelea kaka mm naitwa msuri kaita natoka mwanza wilaya nyamagana.
Dj sma naskiza madin haya nikiwa muheza tanga .namkubali Sana kazi zako
Allah bless you dj smaa
From south Africa, naomba hata kila siku huwe na tudondosheya kitu, duuh big up saana dj sma. Mimi ni mcongo
Haina haja ya kusema wewe ni mkongo, mkongo mtanzania mkenya mganda mrwanda mburundi mmalawi na wengine wote siwezi maliza hapa wewe mimi dj sma wote ni watoto wa mama Afrika, tusijbague kwa kutaja mataifa, japo najua lengo lako ni Dj Smaa ajue ana watu wanaomsikilaza mpaka Congo si vibaya sana japo usipendelee sana kujitambulisha kama ni mkongo au mtanzania.
nakukubali my brother tuwaombee sanaa naiger washinde hii vita Endapo naiger watashinda Africa tumeshinda
Nakusikiliza nikiwa America, mu africa damu, big up sana
Dj smaa machozi yamenitoka.Asante sana 🙌🙌🙌👏👏
Wewe ni mchambuzi Bora kutokea ktk kizazi hiki
Big up bro !!
Tuko pamoja sana DJ Smaa kutokea Harare,Zimbabwe
asante sana kaka nime kupata vizuri sana kutoka saudi arabia
Dj sma nakufuatilia kutoka Mozambique❤
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu
Aka bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
Nimeelewa vizuri sana
Nakusikiliza kutoka Mza kisesa, nakupata vizuri
Iko vizuri sana,Asante kwa point mbili nzito.
Nakupenda sana elimu yako kakupa mungu tutetee mungu akulinde
Big up xana kakaa
Asante sana
Big up brother nakupata kutoka Mozambique/Pemba
Ninakueliwa br pamoja sana
Masasi Mtwara, big up dj smaa, yaani ukikaa zaidi ya siku tatu hujatupa up date nakua nimechokaaa maana habari zako ni naoumaa
Nasikia from zanzbar dj sm
Dj Sma Mii nimshabiki wako kindaki ndaki👌👌👌
DJ sma unaweza bro nakupenda from 🇧🇮👊🖤
Ongela sana mungu akulinde Mohammed mgao kutoka songea
Ahsante
Unajua bro mnoo natamani ungekuwa hata kaka yangu wa damu 😥 jinsi navyopenda sana hizi analysis kutoka kwako,Much Love ❤️ endelea kutupa elimu achana wale wasiojielewa kazi kukoment pumba 😂😂
Well spoken brother
Asante kwa kutufumbua macho, from mabella muscat oman
All the way from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲 lsk
Thank you DJ for your time
From USA 🇺🇸 state Rhode Island city 🏙️ providence 🧟♂️
Kutoka, dubai upo vizuri kaka smaa
Kaka tubaenjoy sana unajua mkuu dany from mbeya
Daaa! Watupatie nchi zetu waizi sana from kigoma
Kwakweli unafanya kazi nzuri kaka, huu ni uchambuzi ilioenda shule na wakizalendo kabisa ❤❤
Listening n watching from Bahrain.
Kenya apaa bro musa mteti nachek sana
Dj smart upo vizuri unaongea facts. Nimfuasi wako kindakindaki. Kigoma
Respect sana bro
Shukrani sana kaka
DJ Sma
Ninakupata na kukufuatilia toka "PADOVA"Italy
I love you DJ Sma
Nchi zote za Kiafrika inatakiwa ziamke km wenzao wa nchi za Guinea,Mali, Burkina Faso na Niger kupinga Unyonyaji, Ukoloni Mamboleo,Ubeberu na Utumwa wa kifikra kutoka nchi za America na Ulaya pia kuja na njia mbadala za kujiinua Kiuchumi,Kisayansi na Teknolojia maana Afrika imebarikiwa kuwa na kila kitu kitakacho chagiza maendeleo la Bara la Afrika,Mm natokea Mbeya mjini ila kwa sasa nipo Chato, Mganza Mkoa wa Geita
Thanks sana brother for the knowledge ...love from saudi arabia
Big up bro.
Thanks for this
From Stockholm 🇸🇪
Asante sana mkuu tuko pamoja ❤❤❤❤❤❤
Nmechelewa kiasi from Kenya bigup
Mungu akubaliki kaka 🙏
Good job
Frm dar es salaam
Unajua Sana 🙌
big up
Umetufungua macho na masikio, Waafrika hiarini kusuka ama kunyoa, kazi tunayo, Mungu atunusuru
Dhahiri ni kwamba ukithubutu kuelezea ukweli wa Uganda utafungiwa hlafu haya madin tutayakosa tuachie wanafyuzi tufatilie wenyewe kimyakimya, shukrani bro.🤝
ibnu Jumanne nakufuatilia nikiwa S.A
Bless up from 🇺🇸
kwa nini Marekani wanaficha idadi ya wanajeshi wa nato,wingereza, ujerumani,marekani Ufaransa wanao kufa vitani nchini Ukraine ?. au ni magogo yanakuwa siyo watu? haki za binadamu hawaoni? haki za binadamu wanashirikiana na marekani kuficha ukweli kwasababu haki za binadamu ni mali ya marekani. ingekuwa ni Africa hawatangazi asikari wanaokufa marekani angeweza vikwazo.angetuma kikundi chake kinachojiita haki za binadamu waje kulazimishwa wanajeshi wanaokufa watangazwe lakini yeye anaficha kuogopa aibu na rawama kimataifa jinsi wanavyo kufa wanajeshi wengi.
Upo sahihi kabisa Dj Sma
Big up
Ahsnte sana..Nakusikiliza nakuelewa pia.
Watatu. 😂
Safi sana
Yani ni Atari kbs awani djiya ya kum kwepa kbs Mrussi 😂😂😂😂😂 DJ SMA ❤❤❤❤❤
Hapa ndio nimeelewza vzr
From 🇧🇮
Safi sana kiongozi
Ok mkuu❤
From Mombasa Kenya kusema kweli uchumi wa Western watoka Africa na sisi wa Africa hatujakuwa united hayo maoni yangu
Upo vizur sana kaka mungu akupe maisha marefu uendele kutupa madini nakufatilia sana
Nakwelewa sana ndugu
Wakwanza like zangu
🎉
From znz
Please elezea kuhusu hiyo vita ya kagera
💯 from 🇮🇩 Kazi nzuri kaka
Mwamba, inakuaje??
Naomba kuongea na wew
From ruangwa,tupe tz vs uganda war
Kutoka usa nakupata Vizuri sana..
Yaani unanifunguwa sana
One love bro . Mwanza 🇹🇿
Salute to you!!
Maoni yangu ni kwamba kwa hivi vita mrusi lazima ashinde ..naitwa simon dj sma nakuskiza kutoka kenya
Nakubaliana na yote ulisema ndiyo ukweli na niishaipata sehemu.
Mtanzania
Dj sma nakukubali mnoo naenjoy kila nikifungua TH-cam nikakuta Habari hiz
Vizuri
Asante Sana mtaalamu wa current affairs, scientificallyj. Ukweli unazidi kuibuka duniani. Wazungu Ni zamu yao kulipa kwa dhulma ya mali walizotunyonya enzi za ukoloni wao
😅😅mbn mpk ssa wanaendelea
Vita sio best option at all!But kama watu wanawavamia ktk nchi yenu
Best OPTION hapo ni kukinukisha nothin else
Huna baya Dj sma tupo nawewe ktk kuchambua Africa na dunia yetu kwa ujumla.
Hivi hawa AU wapo kweli kwanini wasiende kupambana na hawa ECOWAS
Dah we jamaaa unatisha sana
😂😂😂 marekan na ufaransa wamenaswa
Africa tungeungana tukarumia jeshi moja na pesa tungetumia tungekuwa na umoja inaitwa ALPF yaan AFRICA LOVE PEACE AND FREEDOM vita isingekwepo africa wala tusingetawaliwa kiakili na viongozi wetu wangekuwa na umoja Africa tumelala tuamkeni tuwe na umoja
Unaelezea vizur sana .moyo unauma sana Kwa unyonyaj huu wa france