“Hata kama upo Katika kingo za mwisho”UJUMBE MZITO SANA HUU😢😢😢 Mimi na wewe hatuna tofauti na Yule mwizi pale msalabani , aliiona fursa na akaitumia vyema , haijalishi ni dakika ngapi umepata, TUSEME NA YESU KWA DHATI, na kwamwe hatotuacha Kama tulivyo. Asante sana SALASALA CHOIR 🙏🏿🙏🏿🇹🇿
Mungu akubariki nawe pia Jackie na mungu hakuonekanie uingie katika nyumba yake ya ukweli kwa maana anasema ikumbuke siku ya sabato uitakase exodus 20:8
Naitwa Paul Malyosi , Nyie watu Mungu aendelee kuwatunza tu maana mnabariki walio wengi na tukumbuke tukipata nafasi tuongee na Mungu maana ni nyakati za mwisho sasa
MWALIMU HAKIKA ROHO MTAKATIFU ANAKUTUMIA SAWA SAWA ,,HATUNA CHA KUSEMA ZAIDI ...UNAJUA ...WIMBO MZURI SANA KASAHUNGA TUMEONA,,WAIMBAJI NAO NI HODARI ,,BWANA AWABARIKI SANA .
Mnanibariki sana. Hiyo dada mwenye mwanya awe anasimama mbele siku zote. Mungu awabariki
Naam, hii ni fursa tuinue sauti ya toba #Praise #Bwanaunikumbuke
Amina
Mnanibariki sana.amen
Aminaaaaa
Safi sana my good people
Barikiwa
Amen ame happy happy Sabbath lovely be blessed
Pure bliss 😊
“Hata kama upo Katika kingo za mwisho”UJUMBE MZITO
SANA HUU😢😢😢
Mimi na wewe hatuna tofauti na Yule mwizi pale msalabani , aliiona fursa na akaitumia vyema , haijalishi ni dakika ngapi umepata, TUSEME NA YESU KWA DHATI, na kwamwe hatotuacha Kama tulivyo.
Asante sana SALASALA CHOIR 🙏🏿🙏🏿🇹🇿
Barikiwa
Am an Anglican but I love you songs.always throughly blessed by your songs guys.Mungu awabariki
Barikiwa
You are welcome
Wow amen be blessed guys wonderful song ❤❤
Mungu akubariki nawe pia Jackie na mungu hakuonekanie uingie katika nyumba yake ya ukweli kwa maana anasema ikumbuke siku ya sabato uitakase exodus 20:8
karibu
This is a wonderful sermon.
Salasala Mungu awabariki sana.
Amen. Be blessed
Mimi ni mkatoliki lakni nawakubali sana Salasala mnajua sana Mungu azidi kuwainua mumtukuze ktk viwango vya juu zaidi
Barikiwa
Amina.Ukipata nafasi ongea na Yesu hakika hautabaki kama ulivyokua
Barikiweni kwa hiyo confidence, ujumbe ktk wimbo, mpangilio wa sauti na mavazi vyote vinamtukuza Mungu wetu!
AMEN
Kuna ujumbe mtamu sana kwenye huu wimbo,
Barikiweni sana kwa kutupa nyimbo tamu na zenye ujumbe mzuri.
Mbali kiwe sana ndugu zetu, love from Burundi
Jamani msiache kuimba hizo nyimbo zinatubariki Mungu awabariki kwa kutumia karama zenu vizuri
Naitwa Paul Malyosi , Nyie watu Mungu aendelee kuwatunza tu maana mnabariki walio wengi na tukumbuke tukipata nafasi tuongee na Mungu maana ni nyakati za mwisho sasa
Barikiwa
Amini nakwambia leo utakua nami peponi🔥🔥
Best song is out now🔥🔥🎧
Salasala 🔥🔥🔥
Kwekweli ujumbe umefika mahali pake
Mbarikiwe Aminaaaa❤🎉🎉🎉🎉
Nawapenda mpaka nawapenda tenahhhh!!!!! Bwana awabariki na kuwatunza salasalaaa
May God bless you for the wonderful message ❤️❤️❤️
Amin
❤❤Amen.
Any time I listen to SALASALA Choir, I get inspired as SDA member in Ghana
Be blessed❤️
Mungu aendelee kuwabariki team❤
Mwizi mwizi mwizi
Amen
Amen! Great song,with words of hope
praise the the Lord
Amen, MUNGU awatunze
Amen nawe pia
🔥🔥🔥🔥 mkumbuke kujiandaa na kambia Nyamongo central Sda Tunawasubilia ohooooo😂😂😂
Wow!! Nice piece. Your sign language interpreter is such a blessed one, doing it passionately. Mungu awabariki🙏
Amen!🙏 A new favourite❤. God bless your ministry.
God bless this choir I love the message in this song
Amen Amen
Great work of ours
TUNAISUBILIA😊
The programming for me❤
Watching from USA great work ❤❤
Amen be blessed
Bwana awabariki sana watoto wa Mungu! Hakika nyinyi ni viombo vinanyosikika
Amina barikiwa
Favourite choir in Town
Natoka kazi mapema ju ya huu wimbo
Huu nao umeweza ujumbe umefika barikiwa saana,
Amen
Amen.. Salasala to the world
Enjoying just right now
👏👏
Salasala waooiii
Nabarikiwa sana ninaposikiliza nyimbo zenu.🙏🙏
Kazi nzuri 🔥🔥
Amina msonge mbele nyuma mwiko,Mungu awe wakwanza kwenu.
Kazi nzuri kweli ndugu sosteni na kikundi kizima❤
Barikiwa na Bwana
Amen, wimbo wa kuinua mioyo. Mungu Azidi kuwabariki
Amen barikiwa sana
Waiting man
Amina Mungu awainue
God bless you salasala choir for the good work
Amen
Amina amina Bwana apewe sifa ujumbe mzuri sana
Kwaya yangu ya siku zote
Barikiweni sana kwa kazi nzuri sana
Wewe ni mdau,,, ubarikiwe
@@salasalasdachurchchoir4346 amen
Kuna kijana kaonekana mara moja tu akapotea😂
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah be blessed sala sala
Waaaaaoooooo wimbo n mzri sana nawapenda sana salasala kwaya yangu pendwa
Barikiwa
Ninavyo penda huu wimbo Mungu tu ndio ajuaye..🥰🥰. asanteni sana Wana salasala Mwenyezi Mungu awabariki Kwa kazi safi🙏🙏
Amen. Barikiwa pia
Mnaimba vyema sana napenda utunzi,ujumbe na muziki wenu Mungu awabariki sana tusonge mbele zaidi
Peponi ni wapi jameni...
Nitakuja niwaone live...mimi nikiwa na stress nikisikiliza tu nyimbo zenu nabarikiwa😊
MWALIMU HAKIKA ROHO MTAKATIFU ANAKUTUMIA SAWA SAWA ,,HATUNA CHA KUSEMA ZAIDI ...UNAJUA ...WIMBO MZURI SANA KASAHUNGA TUMEONA,,WAIMBAJI NAO NI HODARI ,,BWANA AWABARIKI SANA .
May the Lord be with you always
Kwa kweli napenda sana nyimbo zenu zina nibarki hasa nikimuona dada rinah mbarikiwe
Amen 🙏 glory be to God,indeed have been nourished through your music, it blesses me alot. 🙏
No case is hopeless
Ameen
Amen Amen....Salasala, nabarikiwa sana.
Mungu azidi kuwabarik Sana wapendwa
Aminaa
Amen, God gives you guys strength to praise God ❤❤❤
Ameeeen mbarikiwe salasala 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Barikiweni sana watu wa MUNGU
Amazing song with incredible message ❤
You are always my favourite ❤. God bless you
The song is ablessing to me and my family 🎉🎉🎉
Amina nikumbuke krsto
Mbarikiwe sana wana mfalme
Sauti zimepangiliwa vyema barikiweni.
Amina. barikiwa pia
Asante sana salasala
Mungu awabariki sana
Wimbo wa maana sana dah!
Amina nimebarikiwa
Sauti ya tatu🎉🎉🎉
Amin asante sana
You always bless me . Mungu awabariki saana
Amina. ubarikiwe pia
I love you salasala Clinton from Kenya Kenya-re sda kisumu
We love you too. Be blessed
amen glory be to our almighty
Amina
Amen wanasalasala Kwa ujumbe huu wa kweli
Amen ubarikiwe
❤kweli nabarikiwa na nyimbozenu🎉🎉Mungu atukuzwe
Keep it up brethren
❤❤🎉 sooo blessing😊
❤❤❤❤❤