Mahakama kuu ya Embu yaondoa marufuku ya uuzaji Muguka
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Uamuzi wa mahakama kuu ya Embu wa kusitisha kwa muda marufuku ya usambazaji Muguka katika kaunti za Mombasa, Kilifi na Taita Taveta umepokelewa vyema na wanabiashara wa bidhaa hiyo katika kaunti ya Mombasa. Kwingineko Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Sharrif Nassir amehusisha uvamizi wa kituo cha radio cha Rahma kinachomilikiwa na familia ya Sharrif Nassir na msimamo wake wa kupiga vita uuzaji Muguka katika kaunti hiyo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kaa hutaki muguka jiepushe na kununua
Mbona we don't buy guns? Coz not everyone can afford. You have to look for a licence and are not readily available. Telling a 15 yr old not to buy when it is at his doorstep....at the kongowea market where he's sent tomato...cheap at 50 bob like ....can adults really think or you are just speaking?
Muguka is not illicit ,, kenya is for us all we shall sell muguka mpende msipende
Uzenmeni makwenu menu juko
uzeni mana wapwani ndio awana muelekeo wamekeuka wenzao kwaiyo ata mkapaya ulevi mwengine waleteeni mana awataki maendeleo na port wangefutwa wote wakaletwa wabara na na kote kuliko makampuni wabara wajazeni muwachie mugoka na bangi shenzi sana viongozi wa pwani bure kabisa mwanzo yule mashavu shep ya kabat Achani.mbwa mwitu
Fine kenya ni yetu sote but that doesn't mean you should forcefully sell me a product am not interested in. Go sell somebody else in need. I have minors below 18 whom I'm protecting from your greed for money at the expense of his future. Come on! Mombasa isn't a dampsite. And it doesn't mean the fact iko bangi n other drugs then everything else should be thrown at our doorstep
Muguka NI Sawa heroin na cocaine Tu. Walevi wakubwa ninyi
Pwani c kenya
Kaveve kazoze
😂😂😂Eti stori za jaba
Mbn hawa watu wanatufanya wapwani second class citizens? Hii nchi si ya raisi na si ya wa Embu. Kila mtu akae kwao na apange ya kwao.
ujinga ni wa pwani wanao unga mkono wapwani atuna umoja tutakua nyuma ya matoka kila siku mana kuna wapwani washabikia huu ujinga na kuponda viongozi walio pinga kwanza yule mpumbavu wa kwale Achani hana mana kabisa msaliti mkubwa atetei mwananchi bali yuatetea ruto na ujjnga wake yani mungu amuangamize wallah
Wewe ndie utaangamia kwanza wala sio yy
this's a very shallow mindset, kama it's that bad, what about tobacco smoking
@@giftmwasambu4442 so we should accept every thing else coming because there is tobacco smoking?
Uju Governor wa mombassa kumama zake
Wewe lete matusi hayo mombasa ground uone kama huto fanywa mke
Huku mombasa ujaribu kumtusi gavana watu wapwani wakuskie kwisha habari yako
Madawa ndio imewaharibu huko mupigane nazo si muguka miraa
Spare us from Muguka then don't add more problems to the existing ones we have. If you don't care we care.
Coast and Northern Eastern province should ban muguka and all types of miraa with a immediate effect.
MADAWA YA KULEVYA YAMEJAA MOMBASA ,MUGUKA SIO DAWA YA KULEVYA ...
Shenzi wewe
Mombasa governor abdisamet shariff nassir alipe ushuru kwa kra on radio rahma. Governor abdisamet anaagaisha watu kwa sababu ya mogoka lakini alikata kulipa ushuru.pay tax to government governor.
Ndio upumbavu wa sisi wa pwani huu mtu kama wewe una akili ati waponda abdul swamad ndio tukawa matakoni mwa wa bara alafu mwalalamika hooo ajira zapewa wabara watapewa sana mana mna chuki na wivu wa kishoga mtu wa kutoka pwani akisimama kutetea mwananchi ndio nyinyi amumuungi mkono ingekua mbara ndio amepiga ungesikia jinga sana
Kwani uyo ushuru umeonekana leo kwaajili ya muguka
Governor wa coast ameona biashara ya dawa za kulevywa na ushonga, imepoteza bei, sasa anawekelea muguka juu muguka ukikula hutaki hizi story za kishetani. Pengine hiyo governor ni shonga.
This ODM it because mt kenya doesn't votes them this is jellyfish jealous of Business from mt kenya gavana wa Mombasa do you own Mombasa? Just fixing the homeless in the town waza unjinga
Mira iwachiwe haina maradhi yoyote
Kwani ni lazima
kwanza box ya muguka ety elfu sita Governor unazdwa kupigana madawa ya kulevia kwako unageukia muguka
Rudisheni kaya bombo wamesahau ile kitu ilitokea mombasa ikawa nyeupe kwa nusu saa amkeni wazee wa kaya mfanye ile kitu,msishtuke watu wa Mombasa njia ya kuua panya ni nyingi
Huko pwani bado ni Kenya na MTU wa zozo lazima apige zozo yake Kenya sio ya Sharif Nasir bana
Hao wafuwasi wa hio redio rahma ndio wanao pinga mgoka this group ya redio rahma ndio tatizo kubwa
Hata mkiovertax muguka kuuxa laxima we are never surrender biashara isonge kama kawa
Izo ni stori xa jaba mnatupea nyinyi wapwani,kitaeleweka vinoma
Kwani wamegundua saa hii mugukaa zinauzwa?this is their cash crop
Na hawa Arabs wanaumwa sana.You are poisoning Africans with drugs in coast not Mugukaa
Indeed they we as Kenyans we should Chase them buck to their country idiot's wasitupange kwa inchi yetu we have our own customs
Kazoze
Kama hutaki kutumia kaa kando period
Nenda menu ukale mngikaaa Mombasa no space 4mngokaa
shenzi wewe pumbavu kwani nlazima mlete mombasa au pwani kwa jumla ngombe nyinyi si muuze kwenu mbwa nyinyi
Hakuna kwa mbara wala mcoast this kenya ,and it belongs to all of us mbwa nyie mwatumika na waarabu kama tissue paper
@@benjaminosura7665 hao warabu ndowanakukipa shenzi wewe kapige mswaki Kwanza wacha paparaaa mwataka kujuwa watu kwa lazima
@@salmaali7080 Meru ni miraa bwana jua chenye unasema
Msomesha watoto na muguka, while youths in mombasa are seriously damaged by the
staff.
which staff.kuna dibi kuna tembe.Hizo ndizo abdulswamad anaongelelea,Hajui mambo ya jaba hajawahi chana.Usomali ukwende uko
Kilichobaki ni dini tu, tutoe uoga waislam.
Huyo Judge Mkikuyu labda ako na shamba huko Embu
Talking zombies while chewing grass
Wajaribu Nairobi waone mgomo was miezi 10
Aliyewaroga wakenya yeye mwenyewe pia karogwa 😂😂
Hii mijitu yote ni mibara yenye inayoshangilia
Mwataka kupita mwendapi Kwa mini msiuze kwenu
Am sure by 2030 hamna meno, trust me,muguka n sumu ya meno
Mungokaa isiletwe coast, Ibaki huko bara.Bila hivyo hizo hari zinazobeba zichomwe
No one is forcing anyone to chew mogoka
You are forcing your lorries inside our counties. And your target market is everyone including our minors. You have made it cheap n available to attract our teenagers too.
Mbona hampeleki mugoka riftvalley ,nyanza na huko pokot.why mombasa.mukwende zenu na na hiyo biashara hatari
😂😂😂😂so hizi ni story za jaba🤔
Mwabie mwanao asichonge
Nakuja huko nile muguka
Wacha watu wale mkox
Overtax that product
Muguka ina shinda iko sawa hwa watu wa mombasa wawache ijinga wamekula pesa ya umaa saas wamerdi na story ya jab jab isiuziwe under 18 plze put watu wazima watumie
Huyo ruto awapunguzia chakula sio mokooka mbona yeye nawatoto wake hawakulia tafakare?
Chunga mwanao
Na hii ni sia imeaza uko pwani kuna mchoroo na kuna watu wameshiba kutka pande igne goja utaona
Matthew 26:39
watu wapwani ngiga sana ety mtu ako na hakili ana sema watu wakae kwao hii ni kenya fugeni hiyo domo safu
Watch more videos here th-cam.com/video/l3gtL-nWwWg/w-d-xo.htmlsi=DtcdySCtcScflK-_
Mugokaa hatutaki pwani
Nenda kamwambie babako!.
Nia yao ni kumaliza watu wa pwani...watu wa pwani wanaonea sana watu wa pwani
Munatafuna mungokaa hamifanyi kazi kazi nikwizi kidunga watu visu
Mambo bado karibuni mtajua hamujui pwani ina wenyewe
Mogoka and miraa business emperor is being protected by the state, you can't kill it.Hawa watu wanachunga kura zao.They don't care/don't give a damn about the health of its citizens as long as they get what they want. For real Mogoka is harmful and that's why, it was banned in UK.Their are so many lunatics in coast region nowadays because of mogoka.That is damn true.
Khat consumers are very peaceful people unless you put other illegal hard stuff on top.European countries are legalising bang recently Germany just imagine.
Allah huakbar allahu akbar alhamdulilahi rabil alamin❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏
Usinunue biashara itakufa peacefully isiiue na maguvu
Jaji huenda Ana shamba la mugukaaa haezi jali watoto wa pwani
Hiyo ni plan yakufanya wa pwani wasijielewi
I can smell tribalism from a distance😂😂😂😂
Hakuna rubusa bina famu Kama mbuzi nooooo
Malusu nyie wa migokaa iyone vile mshhhh
Wanataka kuleta vita kama vile viko kule Israel
Wapwani hatutaki mghoka
Mhh kisa cha paka na panya😂😂
Ooh kumbe n embu, nimedhania n pwani
Kauzeni embuu kwenu mombasa hatutaki mngokaa mbona watoto wenu hamuwapi
Waah, ngoma kali
😮 hatutaki mogokaa.kauzeni mbele
Kama hautumii inakuhusu nini kila mtu na starehe yake hakuna anayekuwa forced kununua
Increase tax and sensitize people so that dont buy it ...thats it
Bro what are you talking about? Making it available cheaply at our doorsteps. Young curious teenagers seeing it chewed by adults and being cheap? No better way than banning it completely. Let us deal with cocaine, theft and not mogokaa
Keande keande 💪
Stori za jaba?
Huyo muhindi atulie aachane na biashara za watu...hyo Havana atakula Kazi aulize joho pia yeye alikuwa gavana😂😂😂bado atalia sana
Gavana anasema yeye ndie rais wa pwani pwani c kenya
Atajua Kenya sio india
Gavana mjinga