Jinsi ya kupika Maandazi laini - Recipe ya 2 (hamira na maji)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Karibu leo tunakupikia maandazi kwa mara ya pili. Upishi huu ni wa kizamani na niliwaona mama zangu Wazaramo na Wandengereko wakipika hivi maandazi yao. Karibu Tanzania, ardhi ya mapishi adimu😜.
-Mahitaji
-Unga vikombe 4 ( measuring cups)
-Hamira kijiko kikubwa kimoja na nusu (1.5)
-Maji ya uvuguvugu 250 ml (au zaidi au pungufu)
-Siagi kijiko kikubwa 1
-Chumvi nusu kijiko kidogo
-Mafuta ya moto vijiko vikubwa 3
-Sukari 80 g au upendavyo
-Hiliki kijiko kidogo 1
Kwa mara ya kwanza nimepika maandazi na nimefurahia maelekezo, asante sanaaa ❤
@@AfricanLady889 Nafurahi kusikia hivyo. Aaante sana
Shukran Sana kesho lazima niingie jikoni kuyapika maana Kila nikipika hayatoki vizuri
@@SuhailaMohammed-t2o karibu sana na kila la kheri ukipika
Hongera sana
@@NasraIbrahim-dw1hr Asante🙏
Nakuambia mimi hapa nakula kwa macho tu dada asante kwa recipe yako
😀😀 asante sana 🙏. Angalau umekula kwa macho😀
Asalam Aleikum sister nataka kujuwa kwanini umetia mafuta ya moto katika unga kabla hujauponda?
@@rayaalkhayfy2026 Waalaykum salaam warahmatullah. Wazee walotufunza wanasema inasaidia kufanya maandazi yawe laini kama sponji. Hata chapati pia tunafanya hivyo kabla ya kuponda.
Shukran habibty ❤️❤️❤️
@@Mapishi_TV❤
Asante Rafiki je nikifanya biaahara ni tshs ngapi
@@lestherusitukanesanasomaam1339 sipo Tanzania hivyo sijui wanauza shilingi ngapi kwa sasa. Ulizia mitaani huko.
Shukran sister, Allah ibarik.
Amiin, Allahuma amiin🤲
Asante Kesho namimi napika❤❤
@@SiliviaSalvatory Shukrani🙏
Mashallah
@@jacklinechahilu6659 🤲🤲❤️
Wahoo yako vzr
Maashallah, asante🙏
mafuta ya moto yanasidia andazi kuchambuka na kuwa laini
Asante kwa somo🙏
Ndio na pia kwa chapati
@@bendetermbesa702 kweli kabisa hata kwa chapati
Samahani nina swali kuweka siyagi na lazimika kuweka siyagi au?
Siagi inafanya yawe laini zaidi, lakini si lazima kuweka. Unaweza kuiacha
Unawek nn badala yake@@Mapishi_TV
Hicho kijiti kinakazi gani nami nielekeze,maana Mara nyingi najikuta naweka andazi linazama
@@aminamakarani8425 kijiti miye binafsi huwa naona kinanipa urahisi kuyageuza hasa mawanzoni ninapoyatia kwenye mafuta. Lakini unaweza kutumia chochote ambacho kwako ni rahisi kugeuzia Maandazi.
@@aminamakarani8425 pia andazi kuzama itakuwa labda ni zito sana au halijaumuka vizuri. Mara nyingi andazi likiumuka kabla ya kulichoma linaelea juu kama puto huwa halizami.
Mbona hujawrka iliki na Raha ya maandaz hyo harufu ya iliki itokee
@@rayakhalfansaleh4889 Sikuwa na hiliki ndani ya nyumba.
mashaallah
@@MariamuAli-z4z 🙏🙏
What is hiriki Please
@@Wfidelis Hiliki is cardamon.
Hiliki is cardamom
@@AishaManirakiza thank you
Yang hua yananyonya mafuta wakat wa kuchoma sjui shid n nn
Donge usifanye laini sana. Likiwa tepetepe hata kidogo linakunywa mafuta. Pia wakati wa kuchoma mafuta yapate moto vizuri. Yasiwe ya moto kupitiliza lakini yasiwe baridi. Labda hayo yanaweza kukusaidia 🙏
Unatia mafuta mengi wakati wa kukanda
Masha Allah
🙏🙏
Dada mie nilipik maandaz uwa ndan yanakua Ayan nyam
Usisukume sana wakati wa kukata kama unataka yawe na nyama.
@@Mapishi_TVMaji pia ya uvuguvugu?
Je km siagi sina
@@SalmaSalmaissaissa Ndiyo
@@SalmaSalmaissaissa tumia mafuta ya kupikia
Yummy,😋😋👍
Thank you 🙏🙏
Siagi ni lazima utumie
@@AgathaTarmo ukitaka yawe laini kama sponji ni lazima. Lakini usipotumia pia si mbaya
Mashaallh
🙏🙏🙏
MCHEKETO YOUMIII
Maji unatumia ya moto au ....🤔
Maji ya uvuguvugu
Wow
Natamani kujua
@@ISACKFREDINAND mafunzo ndo hayo. Fuata maelekezo kwenye video utajua.
Mbona ngano lain sana
Ndo maana yakatoka hivyo.
Waooo
hiyo siagi ni bluband au
Ndiyo blueband nayo ni mojawapo ya siagi
Yaa hadikumullah wayuswilihu aimalakum 4:40
Amira kwa kizungu inaitwaje nataka nipike na mimi nimepata hiriki bado hiyo amira
Yeast @@samoocoolingsystem93
Hamira ni yeast@@samoocoolingsystem93
Maji umekandia ya moto
@@marthaadastan4318 ya uvuguvugu
Mafuta ya moto yanasaidia kuchambua andazi 😅
@@mapishinarose2415 Asante dada Rose🙏. Nimejua sasa kazi yake😀
Amira vijik vingapi
@@giftezekiel5871 vipimo vyote nimeandika kwenye sehemu ya maelezo (description box)
Wow
❤️❤️❤️
Mashallah
@@fatihiyadossa375 shukrani sana🙏