- 56
- 207 910
MAPISHI TV
Germany
เข้าร่วมเมื่อ 5 ก.ค. 2024
Mapishi means cooking. Welcome to my channel. We are cooking Swahili food, African food and many other. Enjoy.
Tumejaribu recipe rahisi ya croissants🥐🥐! Matokeo yatakufurahisha😃
Unga vikombe 4
Siagi ya donge vijiko 2
Siagi ya kupata tabaki iwe ya kutosha
Mayai 2
Sukari vijiko vikubwa 4
Chumvi robotatu ya kijiko kikubwa
Hamra kijiko 1 kikubwa
Maziwa 200ml
Siagi ya donge vijiko 2
Siagi ya kupata tabaki iwe ya kutosha
Mayai 2
Sukari vijiko vikubwa 4
Chumvi robotatu ya kijiko kikubwa
Hamra kijiko 1 kikubwa
Maziwa 200ml
มุมมอง: 64
วีดีโอ
CHAPATI ZA KIMATAIFA-BINGWA WA CHAPATI ZA MTAANI HUYU HAPA
มุมมอง 4522 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Mapishi ya chapati katima mitaa ya jiji la Dar es salaam. Street food in Tanzania
Jinsi ya kupika Pilau la kuku wa kizungu lenye ladha nzuri sana
มุมมอง 4989 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Pika pilau la kuku wa kizingu hivi. Mahitaji Mapaja au kuku wa kizungu mzima 1kg Basmati vikombe 3 Supu vikombe 3 Mafuta Viungo vya pilau Coriander nzima Uzile mzima (binzari nyembamba) Pilipili manga nzima Majani ya Bayleaves Chumvi Kitunguu swaumu Star anise 1 Tangawizi mbichi Pilau masala vijiko vidogo 2
ACHANA NA CHIPS, UTAMU UKO HAPA (MBATATA ZA MAYONNAISE)
มุมมอง 61914 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Karibu tunapika mbatata za Mayonnaise. Mbatata 2 kg Viungo vya sosi ya viazi: Mayonnaise Ketchup Chumvi Pilipili hoho ya unga Kitunguu thoum cha unga Pilipili manga ya unga Mafuta ya kupikia Curry powder Limao
Mafunzo ya majina ya mbogamboga na matunda kwa Kiswahili* Malezi ya watoto wa Kiswahili diaspora
มุมมอง 14721 ชั่วโมงที่ผ่านมา
Tunajifunza majina ya mbogamboga na matunda.
Jinsi ya kupika skonzi laini na tamu za biashara au nyumbani
มุมมอง 419วันที่ผ่านมา
Leo napika mikate (skonzi) laini sana. (Bread rolls) Unga 750-800g Siagi (butter) vijiko 2 Mafuta vijiko vikubwa 2 Hamira kijiko kikubwa 1.5 ( au kidonge 1) Mayai 2 Maziwa 300ml Chumvi kijiko 1 kikubwa
Jinsi ya kupika dagaa kavu
มุมมอง 507วันที่ผ่านมา
Karibu napika dagaa. Mahitaji ni: Dagaa mchele waliokaushwa Nyanya Kituu Limao Chumvi Paprika ya paste Paprika ya kijani Mafuta Kitunguu thoum na tangawizi Maji kidogo
Jinsi ya kutengeneza viungo vya Chai nyumbani na kupika chai ya maziwa (Chai Masala)
มุมมอง 1.1K21 วันที่ผ่านมา
Namna ya kutengeneza viungo vya chai (tea masala) Mahitaji: Mbadalasini mzima Hiliki nzima Nanaa(Mint) fresh Karafuu Star anise Tangawizi Upishi wa chai Chai masala Tangawizi ya unga au fresh Majani ya chai Shukari
Jinsi ya kupika chapati laini kwa muda mfupi
มุมมอง 3.5K21 วันที่ผ่านมา
Mapishi ya chapati kwa urahisi sana Mahitaji Unga vikombe 4 Maziwa kikombe 1 Maji nusu kikombe Siagi kijiko 1 cha chakula kwa kukandia Chumvi kijiko 1 cha chai Sukari kijiko 1 cha chai (si lazima) Kukunja tabaki Changanya siagi uloyeyusha na mafuta ya kupikia Kuchoma Tumia mafuta ya kupikia pekee Chapati nilipata 8
Jinsi ya kupika matembere kwa urahisi
มุมมอง 192หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika matembere rahisi sana. Mahitaji Matembere kiasi Nyanya 4 Kitunguu 1 Limao kipande 1 Chumvi Mafuta ya kupikia kiasi
JINSI YA KUPIKA VITUMBUA LAINI NA VITAMU VYA MAZIWA
มุมมอง 1.8Kหลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika vitumbua vitamu vya maziwa na yai iwa urahisi Mahitaji Mchele vikombe 2 Maziwa kikombe kimoja na robo Hamira kijiko kimoja cha chakula Hiliki kijiko kidogo 1 Yai 1 Sukari nusu kikombe Mchele wa kawaida sijatumia Basmati.
VITUMBUA VYA UNGA WA MCHELE- YAMENIKUTA JIKONI😂
มุมมอง 226หลายเดือนก่อน
Leo nimepika vitumbua na kuna jambo muhimu nataka kuwaonyesha kuhusu safari ya mapishi.
JINSI YA KUPIKA NYAMA TAMU KWA URAHISI
มุมมอง 963หลายเดือนก่อน
JINSI YA KUPIKA NYAMA TAMU KWA URAHISI
Mkate laini wa kula nyumbani au kuuza kwa biashara
มุมมอง 163หลายเดือนก่อน
Mkate laini wa kula nyumbani au kuuza kwa biashara
Jinsi ya kupika Maandazi laini kwa urahisi
มุมมอง 1.7Kหลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika Maandazi laini kwa urahisi
Viungo muhimu unavyopaswa kuwa navyo jikoni kwako ndo hivi
มุมมอง 102หลายเดือนก่อน
Viungo muhimu unavyopaswa kuwa navyo jikoni kwako ndo hivi
Jinsi ya kupika pilau la kuku wa kienyeji kwa wepesi
มุมมอง 522หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika pilau la kuku wa kienyeji kwa wepesi
Jinsi ya kupika mikate laini sana bila mayai wala siagi
มุมมอง 2Kหลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika mikate laini sana bila mayai wala siagi
Jinsi ya kupika MAHARAGE ya NAZI shatashata na matamu sana
มุมมอง 415หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika MAHARAGE ya NAZI shatashata na matamu sana
SHOPPING VLOG: Vyombo vya jikoni na mahitaji muhimu ya mapishi
มุมมอง 148หลายเดือนก่อน
SHOPPING VLOG: Vyombo vya jikoni na mahitaji muhimu ya mapishi
Mapishi ya keki ya ndizi laini sanaaa (Banana bread)* haiwi kama ugali🫣
มุมมอง 285หลายเดือนก่อน
Mapishi ya keki ya ndizi laini sanaaa (Banana bread)* haiwi kama ugali🫣
Jinsi ya kupika cupcakes kwa urahisi*zinafaa kwa biashara
มุมมอง 404หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika cupcakes kwa urahisi*zinafaa kwa biashara
Jinsi ya kupika Mahamri - Maandazi ya nazi
มุมมอง 5502 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika Mahamri - Maandazi ya nazi
Jinsi ya kupika vitumbua kwa urahisi-hakuna kuweka sembe wala uji🤭
มุมมอง 1.4K2 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika vitumbua kwa urahisi-hakuna kuweka sembe wala uji🤭
Jinsi ya kupika mkate wa loaf nyumbani kwa urahisi
มุมมอง 7272 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika mkate wa loaf nyumbani kwa urahisi
Jinsi ya kupika mchicha wa nazi kwa urahisi
มุมมอง 1882 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika mchicha wa nazi kwa urahisi
Jinsi ya kupika mikate laini sana bila mayai
มุมมอง 8762 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika mikate laini sana bila mayai
Jinsi ya kupika Maandazi ya mayai na maziwa yanayokaa wiki nzima bila kuwa magumu - 6
มุมมอง 1.6K2 หลายเดือนก่อน
Jinsi ya kupika Maandazi ya mayai na maziwa yanayokaa wiki nzima bila kuwa magumu - 6
Maandazi ya baking powder pekee, hakuna kuumua unapika chapchap - 5
มุมมอง 1.2K2 หลายเดือนก่อน
Maandazi ya baking powder pekee, hakuna kuumua unapika chapchap - 5
Mashallh mashallh tabarakal
❤❤❤
Chips Masala, kuku masala na lemon chicken! MaashaAllah, darsa zako nzuri sana, toka nimeanza kukufuatilia nazidi pata ujuzi alhamdulillah!
@@khairaatdaffi5101 shukrani, tutajitahidi inshallah tutaleta
TUPIKE NINI KINGINE NA TIMU YANGU?😂 TUANDIKIE UJUMBE HAPO CHINI🥰
❤❤❤
What an awesome Mother you are!
Thank you🙏❤️
Shukran Sana kesho lazima niingie jikoni kuyapika maana Kila nikipika hayatoki vizuri
@@SuhailaMohammed-t2o karibu sana na kila la kheri ukipika
Mashaallah 👌 toa recipe basi
@@zuuhjumadar2584 InshaAllah siku moja ntaileta
@@Mapishi_TV lnshaAllah🙏shukran daa
Natamani kujua
@@ISACKFREDINAND mafunzo ndo hayo. Fuata maelekezo kwenye video utajua.
Hongera sana
@@NasraIbrahim-dw1hr Asante🙏
Mashallah
@@jacklinechahilu6659 🤲🤲❤️
Hicho kijiti kinakazi gani nami nielekeze,maana Mara nyingi najikuta naweka andazi linazama
@@aminamakarani8425 kijiti miye binafsi huwa naona kinanipa urahisi kuyageuza hasa mawanzoni ninapoyatia kwenye mafuta. Lakini unaweza kutumia chochote ambacho kwako ni rahisi kugeuzia Maandazi.
@@aminamakarani8425 pia andazi kuzama itakuwa labda ni zito sana au halijaumuka vizuri. Mara nyingi andazi likiumuka kabla ya kulichoma linaelea juu kama puto huwa halizami.
nakupenda sn Dada huna baya kila pishi lako kiukweli nihambee tyuuu👌natamani ningekuepo mezani na mm mwaya mana linaonesha tamu balaa😋😅 mashallah hongera kipenz🎉🎉🎉 mungu akubariq sn 🌹🌹🌹
Asante my wangu. Nashukuru sana kwa comment yako.🥰🥰
Enjoy
Asante🥰
Nimependa
Mimi niliwahi kufanya mdaa umepita, wala sikuvichemsha nikavitia kwenye airfryer manshallah na vikao wivaa vizuri sana na vilikuwa yammy
@@salmaalnaman7477 maashallah. Ntajaribu na airfryer inshallah
Tuleteee na hii
@@MeiyaShiney Ipo kwenye channeli tayari kitambo. Angelia utaiona
@@MeiyaShiney Hii video yenyewe th-cam.com/video/-enWRRKCjG8/w-d-xo.html
Nitajribu na mie;;vinaonekana yummyyy
@@saidasaleh7596 naam, vitamu😋
Asante Rafiki je nikifanya biaahara ni tshs ngapi
@@lestherusitukanesanasomaam1339 sipo Tanzania hivyo sijui wanauza shilingi ngapi kwa sasa. Ulizia mitaani huko.
Asante ❤❤❤
Shukrani🙏🙏
Nimependa iyo fresh ninini
@@MwanahamisiIsmail-o2l hamira (yeast)
Masha ALLAH;; kiingreza wamejifundisha wapi.?. Shuleni?.mimi naishi England ;;lakini mimi na baba yao tunaongea kiswahili always na watoto kiswahili kwa hiyo wanongea vizuri kiswahili na wanaelewa vizuri watoto
@@saidasaleh7596 Kiingereza wamejifunza nyumbani kupitia katuni na learning videos. Mimi na baba yao pia lugha yetu ya mawasiliano na wao ni Kiswahili. Shuleni na Kindergarten ni Kijerumani tu. Kiingereza kwa huku kinaanza darasa la tatu kufundishwa kama somo tu. Ila elimu kwa ujumla ni Kijerumani.
mashaallah
@@MariamuAli-z4z 🙏🙏
Tuleteee kuku rcpt
@@MeiyaShiney Inshallah ntaileta
Nimependa vp km auna oveni na kwenye jiko la mkaa dada
Koleza mkaa wa kutosha, kisha palilia kama wali vile. Ila juu unaweka moto mwingi na chini moto kidogo. Baada ya dakika 20 funua utazame. Usifunue kabla ya hapo hewa itaingia kabla haijafura.
Inshallh kwajik lages unapkj
Miye najua kwa oven na mkaa tu. Mkaa unapalia juu makaa mengi na chini moto kidogo kama vile unavopalia wali. Gesi sina nyumbani hivyo sina ujuzi nayo.
Thank you soo much God bless you 🎉🎉🎉🎉
Amiin. Thank you 🥰
MaashaAllah, darsa zako nzuri! Allahbakulipe kheir
Asante sana mpendwa
Samahani my dear 😊sukari na chumvi umetumia tea spoon au tablespoon? Nataka kujaribu😍🌹😋
Nimetumia tablespoons. Sukari 4 tablespoons na chumvi 1 tablespoon.
@@Mapishi_TV Asante Asante. Allah akubarik😘🌹
@@rahimaally6044 Amiin🤲
Masha Allah Masha Allah❤
🙏🙏🙏🥰
Maji unatumia ya moto au ....🤔
Maji ya uvuguvugu
Nimependa usafi wako mashaallah ❤️
Asante sana🙏
😋👌🌹🌹🌹
Asante Kesho namimi napika❤❤
@@SiliviaSalvatory Shukrani🙏
Wahoo yako vzr
Maashallah, asante🙏
Mbona ngano lain sana
Ndo maana yakatoka hivyo.
Sorry madam l f you don't bother can you send us that recipe of bread
I'll upload this week🙏
Asante dear🎉❤
🙏🙏🙏
Asante Sana. Napenda unaelezea vizuri, We had friends over our place to watch Footy grand final, nimetumia hii recipe, very nice snacks with coffee and tea, they came out really nice. Asante kutujuza.
Ooh asante sana. I'm happy to hear that they came out well for you ❤️❤️
Asante dada tumehona ila nataka kujua siagi ni nini? twambie tuhijue kwa luga nyingine
Siagi ni butter au margarine kwa mfano Blueband
Ni yeast kwa kingereza
Sorry tunaomba recipe ya ile mikate
@@neemamakupa5764 ntaifanya wiki ijayo my dear inshallah. ❤️
Mashallah ♥️
Mashallah shukran sana habibti ❤️
Asante sana
Waooh, mashaallah wanavitu vizr sana hata bei zake
@@ZaharaNkya Ni kweli kabisa
Tumelewa somo safi sana,ila next time tumia sufuria tuu
Kawaida huwa natumia sifuria kipika chai.
hiyo siagi ni bluband au
Ndiyo blueband nayo ni mojawapo ya siagi
Shukran kwa chai upate na vitumbua hapo ❤❤❤
Asante sana. Yaani kwa vitumbua ndo mwake kabisa
MCHEKETO YOUMIII
Unapotia masala usitie tena majani ya chai
Mi siwezi kunywa chai bila majani. Ndo nimezoea hivyo. Ila nimesema kwenye video kuwa si lazima. Thanks.