Agape Choir EAGT Sinon, Arusha - Namwona
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Agape Choir ni kwaya iliyoko katika kanisa la EAGT Sayuni- Sinoni Mkoani Arusha linaloongozwa na Katibu Mkuu wa Kanisa la EAGT nchini Tanzania Askofu Dr. Leonard M. Mwizarubi.
Wimbo wa Namwona ni wimbo ulioimbwa katika Ibada ya Christmas tarehe 25.12.2022 katika kanisa la EAGT Sinoni Arusha.
Mungu wa mbinguni akubariki sana na karibu kuusikiliza wimbo huu wa Christmas.
❤❤mbarikiwe kwakweli mnaimbag nyimbo zilizoshiba
I love the song❤
Yesu ainuliwe katikati ya mataifa!!!
Mungu awabariki sana Agape Kwaya
Namtukuza Mungu kwa ajili ya Agape Choir. Wimbo mzuri sana.
Kweli wimbo huu unanibariki sana.
Hakika, Bwana ni mwema. Mungu awabariki sana kwa huduma yenye kibali.
Amina sana
Amen.
Hongeren Kwa utume wa uinjilishaji mzuri na kwakutimiza andiko la kumtangaza kristo pasipo kuionea aibu injili ya Bwana,Mbarikiwe sana "
Huu wimbo unabariki sana. Asanteni sana watumishi wa Mungu
Congrats for the powerful song
Mungu ni mwema sana