Baada ya kusikiliza elimu yote hii ..hivi kweli mtu unaandika koment inayouhusu maisha persornal ya mtu..usungi ndio unaongea ?yaan uchawi sio lazima ubebe dungur jmn hata midomo jmn loh wabongo tuache negativity lets support
Shida ni kwamba, Dating sites Tanzania watu wanazichukulia kama Prostitution sites! imagine mna match, unaanzisha Conversation ila responce inayokuja ni "100k for 1night" mweeh
Napenda kaz zako dadaa
Ombi langu tufafanuli na bei zinakuwaj local na international
Looking great Dada!
Barikiwa sana kwakutusaidia
Asante madam nataman uniunganishe na iyomitandao
Dada panapo majaliwa utwambie nishingapi ya Tanzania 😂❤
Nice 👏👏
Asante sana dada yetu❤
How can get personal coaching. I am not good I Swahili
Looking good
Shena . Afrointroducrion wanaonyeshabkulipia kwa Airtel. Lakini niikingia kwenye Airtel hakuna pakulipia . Tunaomba msaada wa maelekezo
Baada ya kusikiliza elimu yote hii ..hivi kweli mtu unaandika koment inayouhusu maisha persornal ya mtu..usungi ndio unaongea ?yaan uchawi sio lazima ubebe dungur jmn hata midomo jmn loh wabongo tuache negativity lets support
Ni mtihani sana, kuna watu wanajiona ni wakamilifu mno
Asante sana kwa kutujulisha
Ahsante sana ❤❤
Shukran love
Dada sis tunao tumia WiFi inakuaj
❤ nice
Shukran sanaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Shida ni kwamba, Dating sites Tanzania watu wanazichukulia kama Prostitution sites! imagine mna match, unaanzisha Conversation ila responce inayokuja ni "100k for 1night" mweeh
Dada uyoo ongera san
Asantee dear
How can get personal coaching
Im here
Nielekeze jinsi ya kulipia
Asante sana dear
Bumble ni mavi ... Si shauriiii
Hujajua namna ya kuitumia.. so usikatishe watu tamaa
Asante sana ❤❤
Asante
How are we going tp pay please tell us we are confused
Video ya payment nilishafanya
Tizama kwa list ya videos utaona
shena naomba utuelekeze jinsi ya kulipia hizi dating app
Video ipo chini
Tinder inakataa kufanya kazi under review or verification kwann msaada please
❤❤❤❤
Shena pls naomba namba yako. Nna shida ya kuongea na wewe
❤
👊🏾👊🏾👊🏾
Kulipa ni aje
Where is hijab mumy??
Kabatini mumy, unaitaka ?
😂😂😂😂😂😂
Msoeni haya zinazohusu kujistili
@@OfficialDatingAssistance😂😂😂😂😂tuvumilie tu wabongo wenzio😂😂😂😂😂
Kilemba usha kitupa Allah yupo Ramadhan Tu ogapa Allah wewe mtoto wa kike
Hongera kwako uliemkamilifu
Dont jurge a book is cover….
Usimuhukum mtu hujui nia yake….
Mbona unakuwa wa kuhukumu ,wapi imeandikwa kutoa kitambaa ni DHAMBI ?? PLS STOP JUDGING OTHERS JAMANI
Kilemba ni suna kwa mtoto wa kiisilamu.
Kwani kilemba kitu gani unaweza vaa lakini dhambi kibao
Bantu inasumbua aitaki kupokea documents za mtu inaandika email not found
Then angalia email yako kwa usahihi.. Kama umekosea lazima itakataa
@@OfficialDatingAssistance kweli inasumbua hasa application
Hae..am a kenyan..Currently working in Saudi...looking for a white man..am divorced with 3big kids..am 40yrs..can u plz connect me
Nielekeze jinsi ya kulipia