Sholom shalom Baba mchungaji nina shukurani nyingi sana kwa Mungu Baba kwa ajiri ya neno lake unaro tufundisha yani tunajengwa kiroho nakujazwa furaha kupitia neno ra uzima ambaro tunapokea kupitia kwenu asante Sanaa Mungu akubaliki baba mucungaji l love you
Sholom shalom Baba mchungaji nina shukurani nyingi sana kwa Mungu Baba kwa ajiri ya neno lake unaro tufundisha yani tunajengwa kiroho nakujazwa furaha kupitia neno ra uzima ambaro tunapokea kupitia kwenu asante Sanaa Mungu akubaliki baba mucungaji l love you
Amen ni Siku ya ushindi wetu katika Kristo Yesu
Jambo mchungaji wetu Mungu wa Miungu yote Akubariki asante sana kwa mafundisho Mazuri
Amina nimepona bumbuwazi kwa damu ya Yesu
Ameen Ameen hakuna laana Tena juu ya maisha yangu
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen
MUNGU AKUBARIKI AKUJIDISHIYE VIPAWA BABA MI NAYISHI KAMANYOLA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
SHALOOM SHALOOM MARNATHA
Merci bcp soit béni 3:13
Shalom mtumishi wa Yesu.nashukuru kwa ujumbe huu wa utukufu.barikiwa
Amen Amen. Kwa Jina la YESU laana haipo kwangu tena, & watoto wangu wamebarikiwa. Asante Kwa Mafundisho mazuri Rabbi. *Nimekombolewa*
Shalom Shalom rabbi
Nina swal imingi una tufundisha kuhusu la ana je njaa na magonjwa yasio pna inayo washika wakristo ni la ana?