Jina la Wimbo: Yesu Nakupenda Mtunzi: Swai Tumaini (FM) Waimbaji: Kwaya ya Mt.Cecilia Muriet_Arusha Audio & Video: RAJO Productions Karibuni kusikiliza na Kutazama na Mungu atubariki sote.
Hongereni Sana. NI hatua kubwa Sana. NI Jambo la kushukuru Sana. Nakumbuka walikuwa wanasali mlimani sinon parokiani kule TULIKUWA tunaenda kuwinda digidigi na pongo. Leo mmefanya mji mkubwa na kuimba hivi
Great composition, excellent picture and sound quality. A combination of Spiritual and Mystical video dynamics with great power for listeners to arrive at the Pearly Gates. TUMAINI SWAI, Job well done!👏👏👏
Tumsifu Yesu Kristo waamini wa parokia Mt. Yuda Thadei Muriet Jimbo kuu la Arusha. Hongereni wanakwaya wa Mt. Cecilia. Kweli nyie si mchezo. wimbo huu ni mzuri sana, mnamtukuza Mungu kwa roho na kweli. Pia mmependeza sanaaaaaaaa❤
This song is such a blessing to my soul. May God bless all those who were involved in its production. Mbarikiwe sana na bwana aishi nayi siku zote za maisha yenu.
Huu wimbo hufanya nakua karibu na Mungu zaidi najihisi kweli ni karibu na Yesu wangu❤
Tumaini Swai!!... Kazi safi sana ..maneno ya wimbo huu jamani..naupenda
Hapo ndipo
Tumain Swai, I wish siku moja unipe course ya kinanda
Yesu tuhurumie sisi wote ni wenye dhambi 🙏🏿
Hongereni sana ndugu wapenzi, Mungu azidi kuwabariki❤
Mmeimba vzuri sana jamani nikiusikia naona kama niko mbingu hongereni wanakwaya
Wimbo wa zaman sasa❤
Ubarikiwe sana
Naming nilango sa mungu sitafunguka kuwana iman na moyo
Nabarikiwa kila ninaposikiliza wimbo huu. Naipenda. Upendo kutoka malawi 🇲🇼
Tumsifu yesu kirstu naweza kupata wimbo wa sema na moyo wangu
Utunzi, uimbaji wa hali ya juu. Mungu Awamiminie baraka,Awajalie
Yesu nakupenda, NKWAGALA YESU,I LOVE JESUS
Wimbo uko vizuri sana, Hongereni sana Wapendwa kwa Utume huo, Mungu Awabariki sana.
Sawa.kabisa.mungu.atuwazia.mema👍
Na mm Nishi nawe niwe wako milele amen 🙏🙏❤❤❤❤❤❤
Kaka Tumaini Swai (FM) heshima yako👏👏🙌
I'm proud to be Catholic and Christ follower, Christian.
Yesu wangu nakupenda siku zote
Playing this song for the 15th time today
Nyimbo nzuri kweli zinanifariji sana hongereni. Mwl naomba kopi na Mimi niwashirikishe wengine
…Yesu ingia ndani mwangu unilinde, nijalie Bwana wangu nikupende siku zote …
Mmeimba vizuri sana
Asante kwa nyimbo hii ambayo ina ongeza imani. tuna hitaji music note ya nyimbo hii DRC mjini Goma
Kazi nzuri sana hongereni endeleeni na utumishi uliotukuka
Mungu akutangulia na kazi yako
Wanakwaya wenzangu, tupige injili mpaka mwisho wa nyakati, hakika hata mbinguni tutaimba!
Ongereni sana waimbaji mungu naawambariki sana
❤ congratulations 🎉👏 guys keep it up nice song love it 🌹🙏
Hongereeen sana wanakwaya wenzangu nabarikiwa sana 💖💖💖💖
Mwalimu tumaini swai at his best much love from kenya
hongera sana wimbo huu umenigusa sana moyoni mwangu
Nyimbo nzuri ya kuabudu. Asateni kwa kzi nzuri ya utunzi
hii iwe wimbo ya kupokea.iko sawa kabisa
Hongera sana Kwa Kaz nzur. Mungu aibariki kazi yenu
This song makes me emotional 😢, glory be to God. The message is so strong that I can't keep my eyes open upon listening to it🙏🙏🙏
Nyimbo nzuri sana mungu awabariki
Napenda sana Wimbo huu hongereni
Mungu ni mwema Jaman haikuwa rahisi
Hongereni sana,Wimbo mzurii
Hongereni Sana. NI hatua kubwa Sana. NI Jambo la kushukuru Sana. Nakumbuka walikuwa wanasali mlimani sinon parokiani kule TULIKUWA tunaenda kuwinda digidigi na pongo. Leo mmefanya mji mkubwa na kuimba hivi
Mko vizur na mmependeza Sana namuona mama yangu mzaz Martha nawapenda sana
❤❤❤
Mbarikiwe na Bwana. Naomba mnitumie namba za shukrani yenu kwa wimbo huu. Bwana akawajalie nakuwajaza
Jamani naombeni kumjua mtunzi wa wimbo huu yesu nakupenda nahitaji nota zake ila sizipati
Maana ni wimbo hatariiii
Nimebarikiwa Sana na huu wimbo.
Mbarikiwe pia nyinyi, sana
Great one."yesu nakupenda kweli"
Great composition, excellent picture and sound quality. A combination of Spiritual and Mystical video dynamics with great power for listeners to arrive at the Pearly Gates. TUMAINI SWAI, Job well done!👏👏👏
I'm proud of you.God bless you.
hakika huu wimbo ni mtamu hongereni sana❤❤❤ halafu kuna wimbo ukuu wa mungu ambao nikidhani umaimbwa na hii kwaya na siupati ntafanyaje
Asante Kwa wimbo mtamu sana....umenibariki sana
Ee Yesu natamani kuishi nawe siku zote, niimarishe pale ninaporudi nyuma🙏
Nyimbo nzuri jamani
Tumsifu Yesu Kristo waamini wa parokia Mt. Yuda Thadei Muriet Jimbo kuu la Arusha. Hongereni wanakwaya wa Mt. Cecilia. Kweli nyie si mchezo. wimbo huu ni mzuri sana, mnamtukuza Mungu kwa roho na kweli. Pia mmependeza sanaaaaaaaa❤
Tumsfu yesu kristu,,, nawezaje kupata wimbo wenu wa Sema na moyo wangu you tube haupo😢
Huu wimbo umenifanya niwe Karibu na yesu❤
Halow martini uliomba wimbo huu ulipata nota zake mbn natafuta Swahil music siuoni
Great song☺❤❤❤
Wimbo ulio na mguso..Alafu Kinanda pia
Nimebarikiwa sana na huu wimbo. Ni Sara nzuri sana
This song is such a blessing to my soul. May God bless all those who were involved in its production. Mbarikiwe sana na bwana aishi nayi siku zote za maisha yenu.
Hongereni sana
Kwaya iko vzr sana🙏
Tumwimbie Bwana, Katika Roho na Ukweli! Hongereni sana wapendwa katika Kristo❤ Nilikuwa nasubiri video hii kabisa.
Hongeleni sana na mungu azidi kuwabariki
Hongera ❤❤
Hongereni MUNGU hupendezwa na wamtukuzao kwa kuimba.
Mungu baliki mzidi kutoa nyimbo nzuri kama ivii🙏🙏
Samahani kama Kuna uwezekano naomba mtutumie ule wimbo uitwao Mungu wa baraka tafadhalini sana
Yesu njoo kaa kwangu Bwana. Mbarikiwe sana kwa huduma yenu ya kumsifu Mungu wetu.
Tumsifu Yesu kirsto,, Ongerani sn nyimbo nzuri sn
Hongereni sana wana cesilia Muriet kwa kazi nzuri mliyoifanya. Mwenyezi Mungu awawezeshe muweze kumtumikia katika Roho na kweli.
Tunashukuru sana, Mungu akubariki
santeni Sana kwa pongezi
Hongereni sana kwa kupalilia shamba la Mungu kwa nyimbo zenu nzuri
@@CeciliaMuriet Please is it possible to share the music of this song? I would wish to sing it in my local church. Kindly. Nice one there 🎉🎉🎉🎉
Ongereni sana mwenyezi Mungu awbarki kwa wimbo unaemtukuza mwanae wa pekee
Nawakaribisha sana kigangoni igoji 1 parokia ya chipogoro Jimbo kuu la Dodoma.Hongereni sana Kwa utume
WAooooo cha kwaza saree nzuriii shhhh jamanii wimboo nzuriii sanaaa ❤❤❤
Mungu ni Mwema kila wakati,Asante kwa kazi safi wana Murieti Arusha…Nimebarikiwa
Ongeren San wanakwany wetu 🙏🙏🙏🙏
Munawasaidia wengi kuabudu kweli, hivyo mutabarikiwa na Bwana Yesu.
Hongereni sana
Mungu awabariki
Wimbo mzuri Sanaa 🔥🔥hongereni Sanaa
Wow, post more songs.
Nijalie bwana nikupende siku zote❤❤🙏
Asante kwa kuinjiliaha nyimbo imenigusa sana hiyo wimbo umenibaeiki sana naomba kwa mwenye nota anisaidie aseme bei gani nitampatia
Waoooooh waooooooh mungu andelehe kuwatia nguvu zakumutumikia zaidi
Mungu awabariki sana hongereni Kwa utume mkayaishi mnayoyatamka.....mbarikiwe sana
Well done Wana wa Mungu.
Imetukuka Sana na hongereni kwa kazi nzuri hii.
Nyimbo tamu sanaa
Barikiweni mzidi vivyo hivi
Mungu awabariki sana,mwendeleze wito wa kuinjirisha kwa karama ya kuimba,Ili neno la mungu lisambae duniani kote
Praise God for your prayers and music.
Hongera sana mmeimba vizuri sana
Mungu awabariki sana
Hungera wanakwaya.
Nyimbo nzuri.
Hongereni kwa utume nzur xn huu jimbo unajua sana kwa kwel
i always feel blessed with this song
Evangelical voices
Hongereni sana ni vyema kushukuru Mwenyezi Mungu.
Wow this is a beautiful choir , the song is amazing
Pongezi st Cecilia wimbo tamu,I like it
Nimebarikiwa mno,, Mungu awatie nguvu zaidi na zaidi🙏
Unajua sanaa swai unanifanya niwe naiman na katoriki sanaa
Hongereni sana wenzangu wapendwa,ni wimbo tamu sana.❤
Ni injili tosha
Hongeneni sana ndugu zetu katika kristo
😢nimeupenda sna huu wimbo hongereni sanaaaa
naombeni Nota za huo wimbo (yesu nakupenda)🙏
Your the Best keep on Praising our Savior through your Angelic Voices. Your Very Smart too.
HONGERENI SANA WATUMISHI WA MUNGU
Hongereni sana
Yesu nakupenda,,, hallelujah
Nimehagalia mala ka tano nasijaboeka. Wimbo tamu ongela