#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • #LIVE : EXCLUSIVE INTERVIEW NA SUMA LEE NDANI YA THE SWITCH - MAY 08, 2020

ความคิดเห็น • 82

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 4 ปีที่แล้ว +29

    Gonga like hapa kama unamkubali sumalee m/mungu azidi kumuongoza

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 4 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akuongoze suma lee naakupe mwisho mwemaishaallah 🙏🏽

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 4 ปีที่แล้ว +5

    God bless you brother suma lee 🙏🏽🇦🇪🇦🇪❤برك الله فيك وجزاك الله خير الجزاء

  • @hodhoj609
    @hodhoj609 2 ปีที่แล้ว +1

    Mashaalwah umeachana na ushetani umeamua kumfata mtume wetu Muhammed swalwalwah wasalam wabilah Tawfiq

  • @aminamohamed9427
    @aminamohamed9427 4 ปีที่แล้ว +2

    Suma Lee Allah akuweke tuzidi kupata dawa kupitia ww inshallah tunajifunza vingi sana kwako

  • @allysalum7306
    @allysalum7306 4 ปีที่แล้ว +9

    Suumaa unanisisimua kwer natamanii namii niokookee niweee kamaa wewe munguu akutanguriee

  • @wekikilumbi6762
    @wekikilumbi6762 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukiwa umefanya toba ya kweli basi acha kukumbusha ya nyuma.
    Ndugu yangu achana na hizo media siyo nzuri zitakupoteza.
    Mambo mengi ya kufanya kwenye uislam wetu.

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 4 ปีที่แล้ว +10

    Sheikh Sumalee ana experience kubwa sana, anafaa kusaidia vijana

  • @hassanlitalawe
    @hassanlitalawe 4 ปีที่แล้ว +8

    Interview Kali ya mwaka nimeipenda Sana nataman muike hata part 10 baada ya hiyo 2

  • @osamabigirimana7558
    @osamabigirimana7558 4 ปีที่แล้ว +3

    In shaa Allah. Kwawema huyu Nasib ABDUL atakufata In shaa Allah kwenye hiyo njiya yakheri

  • @mansurialawi3133
    @mansurialawi3133 4 ปีที่แล้ว +10

    Suma wewe ni zaidi ya mwalimu

  • @costantinejohn6661
    @costantinejohn6661 4 ปีที่แล้ว +6

    Hii ni nzur sana nakubar sana wasafi chama lao

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimelifatilia hii interview toka mwanzo. Kuomba.msamaha ni kitu kikubwa sana .allha atuongoze na tuwe na mwisho mwema

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum3678 4 ปีที่แล้ว +3

    Hii interview mpaka nataman iwe Kama series yaan iwe na part Hadi 10 Suma ukimsikiliza ana vitu vingi vya kujifunza toka kwake!

  • @osamabigirimana7558
    @osamabigirimana7558 4 ปีที่แล้ว +2

    Maa shaa Allah vizuri. Allah anamuongoza anayemutaka.Allah akupe musimamo huyo hiyo.

  • @abbaslivene
    @abbaslivene 4 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah Sheikh Ismail🤲

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali sana Bro SUMALEE 👍

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว +5

    Bado wahamasisha miziki sheikh

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 ปีที่แล้ว

      @Abdulkareem, HUJAMUELEW KIAS FLAN

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว

      @@allahisone6386 nimemuelewa fikka asema Kua wajitahidi kutoa ili wafanikiwe ktk kazi zao sasa jiulize kazi ZA hao wanaowataja ni nn kama sio miziki ,,,wapi kasema kuambia waache iyo miziki

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 ปีที่แล้ว +1

    This guy is so real🤗🤗🤗😁😁😁😁😁👍👍👍👍👍😍😍😍😍

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 ปีที่แล้ว +1

    Kidogo kidogo mungu atakuwepesishia

  • @DjFrankouyooo
    @DjFrankouyooo 4 ปีที่แล้ว +6

    Makin sna wcb media

  • @salehalzakwani3283
    @salehalzakwani3283 3 ปีที่แล้ว +1

    Muanzilishi wa parklane nipo oman p mwadora ndio niliomfundisha sumaa kuimba na kumuingiza kwenye group langu

  • @Babangida_Hd
    @Babangida_Hd 4 ปีที่แล้ว +3

    The best presenters

  • @jamesmbegeze4122
    @jamesmbegeze4122 4 ปีที่แล้ว +8

    Suma Lee ana kitu kinakuvuta kumskiliza

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 ปีที่แล้ว +3

    WASAFI media mko juu kileleni 🙌

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 ปีที่แล้ว +6

    DJ apewe kiti

  • @mansurialawi3133
    @mansurialawi3133 4 ปีที่แล้ว +5

    Dah nimekubali

    • @hadijaharuna1946
      @hadijaharuna1946 4 ปีที่แล้ว +1

      Shekhe suma Lee naomba namba zako kuna msichana anafaham kuimba qwasida

  • @nassirmohd6850
    @nassirmohd6850 4 ปีที่แล้ว +1

    Ma shaa Allah,

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 4 ปีที่แล้ว +8

    Huyu mimi simuelewi kabisa umuombe Allah katika mziki, eti kama watu hawakubali mziki wako basi anza kujitazama wewe kisha muombe Allah

    • @SLTN4503
      @SLTN4503 4 ปีที่แล้ว +3

      kama humuelewi bas utajiju..maana humsaidii chochote

    • @mchangeboy5928
      @mchangeboy5928 4 ปีที่แล้ว +1

      @OMARY MNURU huyu jamaa anatumia mbinu ya kuwa kwao ili wamuelewe taratibu hata yeye alitolewa taratibu..

  • @ibrahimnassor
    @ibrahimnassor 4 ปีที่แล้ว +2

    Mnapp muhoji mtu kama huyo Wewe Dj hizi back ground song zako usiweke hizo nyau wee

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah mola akuzidishie raha

  • @brightvatta284
    @brightvatta284 4 ปีที่แล้ว +4

    interview imekwenda poa

  • @pazinhotv3733
    @pazinhotv3733 4 ปีที่แล้ว +1

    Good interview

  • @kimsuradji6702
    @kimsuradji6702 4 ปีที่แล้ว +3

    Leee

  • @salmamgumba5888
    @salmamgumba5888 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah Suma lee

  • @shukurumswagala1312
    @shukurumswagala1312 4 ปีที่แล้ว +2

    LILOMY HATALI SANA

  • @nanapega3802
    @nanapega3802 4 ปีที่แล้ว

    The mvp

  • @arikadialfonsi9216
    @arikadialfonsi9216 4 ปีที่แล้ว

    da the switch nikipind kilicho bora dunian

  • @kapona927
    @kapona927 4 ปีที่แล้ว

    Suma lee

  • @rashidngwele3935
    @rashidngwele3935 4 ปีที่แล้ว

    Kitu kizuri sana

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Sumalee ana undugu na haji manara

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Sumalee ana undugu na manara

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว +3

    Eti miziki ya kiislam nyinyi wapuuziii

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 ปีที่แล้ว

      @Abdulkareem seif JARIB KUMUELEW, KUA YEY NI TWAREKA SI SALAFY, KUBWA TU ALLAH ATUONGZ SOOT&ATUJAALIE MWISHO MWEM

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 4 ปีที่แล้ว

      Mpuuzi ww ucieelewa chochote

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว

      @@allahisone6386 aa hivi twarika aruhusiwa kuimba miziki ya kasda ila salafi haruhusiwi sio ,,jamani waislam tumuogope ALLAH,,mtume na maswahaba zake wote walikua njia yao ni moja tu na sio ya ahlusunna waljamaa basi ,,,sio twarika wala nini ,,,sasa kujiita salafy sio mbaya mana itakua wajifananisha na wao ila twarika nini km sio njia ovu

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว

      @@sultanbakary4292 mm na wewe nani haelewi ,,wasapoti upuzi anao ongea wakati ALLAH alishakataza miziki ktk quran au hukiamini kitabu chako ww kwa ajili ya mtu

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 4 ปีที่แล้ว +1

      Abdulkareem Seif yy anaimba mashair ya kumswifu mtume muhammad wala haimbi mziki wa kidunia yan kuna watu cjui mnatak nn labda akiimba mziki wa dunia kosa na akimswlia mtume pia kosa unataka afanye nn sasa

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 4 ปีที่แล้ว

    Huyo JAMAA MWWNGINE MBONA HAONGEI ANAJAZA WINGI SI MUNTOE NJE

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka hiyo ajari

  • @patrickmpali7091
    @patrickmpali7091 4 ปีที่แล้ว

    Rey mshana mbona mkimya xnaaa ahoji chochote yy anaitikiya tu.wakati kwenye stej we ndi huwa unaamsha mizuka kama yote.kwenye show za wasaf festival., amna usiwe kimya kias icho bro

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka hiyo ajar

  • @maninguemmanuel6027
    @maninguemmanuel6027 4 ปีที่แล้ว

    Mbona mmetoa comments?

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว +4

    Somaliii bado hujataka kushika njia ya hak ,,naona waropoka tu

    • @mkambotv5418
      @mkambotv5418 4 ปีที่แล้ว

      achana na suma. Yuko sawa

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว

      @@mkambotv5418 kwako wewe ila si kwa dini

    • @khatibabdallah6185
      @khatibabdallah6185 4 ปีที่แล้ว

      Jiangalie wewe usimuangalie mwenzio

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 4 ปีที่แล้ว

      @Abdulkareem FAHAM YA KUAفالكمال للهUKAMILIFU, NIWAKEE, ALLAH

    • @abdulkareemseif667
      @abdulkareemseif667 4 ปีที่แล้ว

      @@allahisone6386 hivi sisi watu kila kitu kumshingizia ALLAH hatuoni shida,,ALLAH asema ktk Qur'an yake nimekuteremshieni kitabu ili iwe uongofu kwa watakaomcha ALLAH,,,sasa sisi waislam kila tukifanyacho tuhakikishe kitabu na sunna ndio minara yetu ya kutuelekeza safari yetu tukiiacha hiii twapotea sheikh ,,,hayo makanzu na malemba na mandevu ni ktk suna ila tukifata njia isiyo ya haki ni mateso tu ndugu yangu ,,ndugu yetu bado yupo shimoni atakiwa apambane atoke

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 ปีที่แล้ว +3

    WASAFI media mko juu kileleni 🙌

  • @jamesmbegeze4122
    @jamesmbegeze4122 4 ปีที่แล้ว +5

    Suma Lee ana kitu kinakuvuta kumskiliza

  • @francekif9833
    @francekif9833 4 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka hiyo ajara

  • @nkingaboaz5104
    @nkingaboaz5104 4 ปีที่แล้ว

    Naikumbuka hiyo ajar