LULU DIVA "Kapokonywa vitu, Saizi ametelekeza mtoto !!!"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Hivi karibuni kumekuwa na maneno yanayoendelea mtandaoni kuhusu msanii Lulu Diva ambapo inasemekana msanii huyu ametelekeza mtoto huko kwao kijijini Tanga sasa Ayo Tv imempata Lulu Diva na amefunguka kuhusu hilo je ni kweli ana mtoto na kamtelekeza.?
Kwanza WA zeeka mshipa itakakamaa itakuwa shida kupushi mtt ushindwe na gigi yuwakuwa na katoto Kake mashallah
Lulu Kama Mungu bado hajakujalia Seema tu ila usiseme mda bado we Ni mtu mzima
kwa ushauri wangu uolewe au uzae bcz unazeka,
Lakini yule binti amefanana na wew hadi sauti
kuzaa mipango
Sasa mbona muna fanana sana hadi sauti lulu muogope Mungu jamani
Kweli kabisa wanafanana sana
Mwachen Lulu wetu jaman kashasema Hana mtoto lean lazima😂🎉😂🎉😂🎉🎉
Lulu diva nakupenda Sana
Jamani yule dogo muongo lulu sio mama ake nikiki tuu yule muongo alikuja tuu dar kwa ajili ya sana mam na baba ake wapo zanzibar kwao ni zanzibar yule ana tafuta tuu kiki kama mna msapoti nyie msapotini ili awe malufu lakini msii mshambulie lulu divaa ana chafuliwa tuu
usiseme ivo unaweza kujipangia na mungu akakupangi
Huyu anaonyesha umezaa huyo uso unanyesha
Lulu nakupenda mie hao wanakuzulia ujinga sijuwi wanataka kitugani wakuache mtoto mwenye bahati zako kama wanaweza wapande juu wakazibe
Jamani uyo anae dai ni mtoto wa luludiva muongo namjua vizuri sana alikuja dar kwa jili ya kufanya sanaa iyo ni kiki tu tunajua ukweli wote
Kweli?
Mmm sitii neno kwamba huna mtoto mmm lulu lulu muogope Mungu unamkataa mwanao hivi hivi!!!!
Kafanana nae kweli zangi sura mpaka sauti.
Hana mtt huyo tupo nae hapa mwaka wa 12
Unasema visuri dada
nakupenda mamy
Sasa kama huyo dada anadanganya wewe sio mamake DNA ifanywe watu waamini, alafu mbona huchukui hatua kama sio mwanao uka muhoji nakuenda naye hadi kwa babu yake kuamini ni kweli sio mtoto wako watu wataamini vipi sio mwanao toa ushahidi
Yani atowe pesa zake kwa vitu habina faida
Acha uongo ni wako huyo
Wee fala kweli Ati miaka tano
Usikatae mtt we mwanamke
Habari za tz za kipuuzi
Kweli. Tanzania Bara hizo ndio habari zao za maisha Yao.
acha masihara siendekezi ujinga
Mmmh tumemchoka huyo nayo tuleteeni vitu vya maana
acha ufara we we mbona maziwa kama unanyonyesha hayo alafu hyo miaka mitano si ushakuwa bb tayari
Ziwa si tatizo,si wanaume wanayanyonya kila cku
Sema hujamata wakukuoa ulipofika wee zaa utakuja juta umri unaenda mwajifanya watoto wadogo
Mutoto. Munafananasana. Bora. Uremutoto. Aende. Arete. Urebabu. Azungumuze. Vizurikabisa
Okay tumekusoma
Hat maelez yak yanaonyesh mtot wak
Poor answer ....... you want your kid to be посол forget
Umefanan nae mpk sauti nenda kamchukue mwenao
Yule uliyemzalisha wewe au ?!
Duh mitano
mitano,duuui
Martha baba ako ushamuzia km humpend we anakupenda nan
Lulu mtto wako umefanana nae na sura yako tu inaonesha ni mtto wako sio pow
Ashasema hana mtoto jamani mumuelewe
Ask her, is she aware what menopause is?.
Kadem nako kajinga kajinga tu
utalea Wa wenzako mpk uzeeke kahaba ww
kiki tu ujinga
Kama mtoto wako mchukue
nikushauri tu lulu nunua dawa za mafua maana naona yanakusumbua kila ukihojiwa
😅😅😅😅 du
Dada Mkumbwa Hiyo Ndio Ongea Yake Mafua Hayo Kila Akiojiwa Yanatokea Wapi 😂😂😂
mhhh miaka mitano ushakuwa mbibi 😂😂
😂😂😂
Haka kadem nakakubali kinoma(kabebi face).
😂😂😂
Iyo nywele nimeichoka machoni mwangu we dada