MAFURIKO DAR YAACHA BALAA - RC CHALAMILA ATOA TAMKO - "MVUA WAMESEMA ZITAENDELEA KUNYESHA"...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.พ. 2025
  • MAFURIKO DAR YAACHA BALAA - RC CHALAMILA ATOA TAMKO - "MVUA WAMESEMA ZITAENDELEA KUNYESHA"...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 90

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 9 หลายเดือนก่อน

    Asante mtani wangu nyie ndio majenbe❤❤❤❤❤

  • @jacksonjasson8823
    @jacksonjasson8823 ปีที่แล้ว

    Hongera kazi yako ni njema Mungu akubariki

  • @RichardKihimba
    @RichardKihimba ปีที่แล้ว +1

    Mheshimiwa Chalamila, Mungu ambariki. Yaan ameongea mambo yaliyonyooka sana.

  • @jacksonjasson8823
    @jacksonjasson8823 ปีที่แล้ว

    Hongera kazi

  • @SalumMbano
    @SalumMbano ปีที่แล้ว

    Poleni sana ndugu, jamaa na marafiki.

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 ปีที่แล้ว

    Madhambi mengi
    Turudi kufuata amri za mungu na kuacha makato aliyokataza

  • @FrumenceBoniphaceMasero
    @FrumenceBoniphaceMasero 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndio kiongozi

  • @HagaiKigava
    @HagaiKigava ปีที่แล้ว

    Mungu a2kumbuke polen Wana jangwan

  • @Tupokigwe
    @Tupokigwe ปีที่แล้ว

    Poleni jaman mungu awatete pia mchukue tahadhali

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 9 หลายเดือนก่อน

    Hata wakati wa nuhu wanasiasa walikuwa wanasema hivyo hivyo kuwatia moyo wenyedhambi wakashitulia dunia ile imezama nabii ametabiri hapo dar wamemdharau badala ya kumfata

  • @agathaallute
    @agathaallute ปีที่แล้ว

    Wananchi wanatakiwa wahame waende wakamalizie sehemu yao ya maisha mikoa mingine,tena sio kuhamia na kurelax ni kufunga na kusali kuomba toba kwa mola wako maana ni nyakati za mwisho,HIYO NI ELNINO SIO MVUA Ndogondogo.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 ปีที่แล้ว +1

    Dareslam mji wa hovyo sana miundo mbinu toka zamani hamna ni kubeba watu mgongoni hata watu wanzima eti mji mkuu ni aibu tupu viongonzi wengi wako dar lakini wanaangalia tuu wanaona ni sw mji mkuu wa tanzania viongonzi kelele tuu ni mji mnzima

  • @Zuuhtv
    @Zuuhtv 9 หลายเดือนก่อน

    Kikubwa ni kumuomba sanna allah c viongoz kuwaliliya

  • @HagaiKigava
    @HagaiKigava ปีที่แล้ว

    Polenta san

  • @MdAr-q7i
    @MdAr-q7i ปีที่แล้ว

    Poleni

  • @satyalarm2214
    @satyalarm2214 ปีที่แล้ว

    Mmmmmh yani hawa viongozi wetu😂😂

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 9 หลายเดือนก่อน

    Hameniwoote huko daa. Muje vijijini kama hamtak kaenihukohuko msitupigie kelele

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว +2

    Yule mwengine anahangaika na madanguro badala ya kuhamasisha uzibuaji mitaro

  • @BarakaMagonya
    @BarakaMagonya 10 หลายเดือนก่อน

    MH charamina mzungumza pointi sana

  • @joyceKingu
    @joyceKingu ปีที่แล้ว

    Hapo panatakiwa fly over. Serikali ianze ujenzi Mara moja.

  • @Sharefa-v6n
    @Sharefa-v6n ปีที่แล้ว

    Nyie onen sifa na mapkipik ndan ya maji hujui maji yanachimbaee sehem hatakama uliizoea ikiwa tambarare ukiona maji yamejaa paogope

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 ปีที่แล้ว

    Mkuu wa mkoa maenyewe anatafuna maneno😂😂 hana majibu. Rip JPM

  • @mohamedmbalazi748
    @mohamedmbalazi748 ปีที่แล้ว +3

    Halafu kuna watu walikuwa wanasema TMA waongo ila hii nchi watu wana mizaha sana na maisha

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 ปีที่แล้ว

      Hata serekali ilikua haiamini mana muda wote kwanini wasijenge kivuko

    • @annajohn3377
      @annajohn3377 ปีที่แล้ว

      Watanzania wanapenda kuzarau vitu hivi maji yanayoenda mbio unavukaje hapo naunmruhuje mtoto avushwe hapo mi bola nilal njaa lkn civuki mpk yapungue kbis

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 ปีที่แล้ว

    Uongo huo siasa hiyo😅😅😅😅

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk ปีที่แล้ว

    Dah cjui kwnn watu wanaforce kupita na vyombo vya moto kw hali jaman achen n htr

  • @rehemasunday5623
    @rehemasunday5623 ปีที่แล้ว +1

    yaani huyu mkuu wamkoa anajitahidi sanaaa aongezewee mshahara simunaona anvyojituma?

  • @modestkatweza8242
    @modestkatweza8242 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda mheshimiwa,wadizne vitu sahihi gharama sahihi

  • @UkaliMedia-i6z
    @UkaliMedia-i6z 2 หลายเดือนก่อน

    Mh hatali

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy ปีที่แล้ว

    Imeisha hio na msharidhia subirini mwakani ndio hayohayo

  • @HezroniJonh
    @HezroniJonh ปีที่แล้ว +6

    Nchi imejaa porojo hii kila kitu rais

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv ปีที่แล้ว

    Dhuluma ufisadi uuwaji ndio mwisho wake huo rudisheni haki za watu muliopora si hivyo Mambo yatakuwa makubwa zaidi dhambi ni dhambi tu

  • @NeemaGabriel-d8e
    @NeemaGabriel-d8e ปีที่แล้ว

    Dahh inatisha

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 ปีที่แล้ว

    Siasa jamani

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 ปีที่แล้ว +1

    Na jangwani Leo MTO msimbazi umefurika huenda barabara ikafungwa. Ilikua ni kujenga daraja fupi tu LA juu toka fire hadi magomeni kuondoa kero hill sugu lakini wanawaza kujenga daraja toka Dar hadi Zanzibar ambapo Azam marine na wengineo wanafanya vizuri sana na hakuna kero. Halafu kuna anaetatua matatizo huko Dodoma nadhani anafanya mchezo wa kuigiza .

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 ปีที่แล้ว

    Kwani Mbowe ni mtendaji nani atampa hata senti moja ya kutenda. Akifanya hivyo mbona atafungwa na Chalamira kuwa ameingilia visivyo muhusu. Mnapoongea kinachowezekana au una taka tu kudhihaki. Maandamano yanaweza lufanya serikali ikatatua shida zinazokusibu.

  • @muhammadalibhaz1390
    @muhammadalibhaz1390 ปีที่แล้ว +1

    maneno haijengi msingi Kila mara tunaona cinema na Kisha hakuna chochote kinachofanyika matatizo ya mafuriko yanafanya wachache kujinadi

    • @elibarikipeter
      @elibarikipeter ปีที่แล้ว

      Mapema tu mnalalamika na hii NI tella TU bado picha yenyewe situnajifanya mungu hatumujui tunalijua zaidi jina la jamuhuli ya Tanzania hapa ndipo atjilikana tu Nan mbabe Kat ya wakuu wa dunia na mungu

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 ปีที่แล้ว

    Apo Swaga2 Jambo Lipite Ukweli Kamili Daraja Kubwa Sasa Mpango Wa Kujenga Kidogokidogo C Matumizi Mabaya Ya Pesa

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 ปีที่แล้ว

    Nacheka Sana

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 ปีที่แล้ว

    Maneno yako Kweli kabisa mkuu. Jamuhuri ya muungano wa tanzania.kazi iendelee.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 ปีที่แล้ว

    Kama anasema hataki wanainchi wasipate mbona sass ndiyo mateso yamezidi ?
    Majigambo tu matendo sufuri

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 ปีที่แล้ว

    Mineno mingi hamna kitu

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb ปีที่แล้ว

    Duuh waty ndo wanaona pakujipatia kwenda jero kulud jelo jaman

  • @EmmanuelLupoja
    @EmmanuelLupoja ปีที่แล้ว

    Kama maji ni mengi hiv mbona umeme unakatikakatika

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 ปีที่แล้ว

    Ni JPM TU alifanya mnayotaka wananchi ulimwengu wa sasa ni wa propaganda. Maneno matupu hayavunji mfupa😂😂 RIP JPM

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 ปีที่แล้ว

    Hapo ni muda tatizo linajulikana kwanini serikali wasiweke flyover kuyatupa tatizo mojakwamoja

  • @petermahimbo3458
    @petermahimbo3458 ปีที่แล้ว +1

    Miaka 70 ya uhuru.

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 ปีที่แล้ว

    Hivi hao wanaopita na pikipiki wanajiamini nini lakini??

  • @dennisguvete2098
    @dennisguvete2098 ปีที่แล้ว

    Duuuuu. Hatari. Poleni kwa maafa kwa wananchi waliopatwa na mafuriko

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 ปีที่แล้ว

    Jamani. Tusimtwishe kila kitu raisi. Yeye ana majukumu mengi. Hivi vichwa vyenu havifikirii chochote? Kila kitu raisi, raisi. Atafanya mambo mangapi?? Haya mafuriko ya kila mwaka huwaga yanawanufaisha nini? Usisahau kauli yako kuwa Dar hakuna mafuriko.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 ปีที่แล้ว

    Hii😢

  • @agathaallute
    @agathaallute ปีที่แล้ว

    Watu Hawaijui ELNINO maana yake nn? Dar ni mji mzuri tu sema tu ni wakati wa ELNINO yaani mabadiliko ya tabia ya nchi

  • @janethliving1740
    @janethliving1740 ปีที่แล้ว

    Hapo ni wapii..?

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 ปีที่แล้ว

    Hakuna kitu chochote wezi tu

  • @evaemil856
    @evaemil856 ปีที่แล้ว

    CCM chini tuondoke madarakani

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 ปีที่แล้ว

    Apo inatakiwa ujezi wa barabara daraja lihinuliwe ili maji yapite kwa utaratibu ila mkiliweka kwa chini ndioivomvua kama izo lazi iwe tatizo

  • @DONALDMTOWE-u9g
    @DONALDMTOWE-u9g ปีที่แล้ว

    Kariako ulisema ni hujuma hapo pia kuna hujuma?,mafuriko dar yameanza Leo?,nchi hii maneno mengi,mnasubiri maafa ndio mseme.unaposema mnajenga kivuko mvua zinasubiri mmalize kwanza au vipi?.

  • @MatridaMwalupindi
    @MatridaMwalupindi ปีที่แล้ว

    Pombe yajana

  • @patangaherbalproducts6989
    @patangaherbalproducts6989 ปีที่แล้ว

    Veve wimunu na nusu 👍🫡🫡🫡

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 ปีที่แล้ว

    Hakuna ujasiri kwenye maji ni hatari tupu.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว +2

    Kivuko kisichokuwa na gharama kubwa si mdoli huyo loooh nchi hii ni uongo mtupu

  • @agathaallute
    @agathaallute ปีที่แล้ว

    Hivi hawa ELNINO wanaijua kweli au wanazingua,madaraja ya nn sasa hapo?

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 ปีที่แล้ว

    Yani ukiona hivyo kaa nyumbani Tu. Watoto wataenda Shule siku nyingine.

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 ปีที่แล้ว +1

    Sijawahi mwelewa huyu jamaa toka simiyu

  • @teddymassawe3583
    @teddymassawe3583 ปีที่แล้ว

    Watu wana roho ngumu,hayo maji kweli unapanda toyo,hapana jamani hii nikuwekea roho rehani

  • @faithmapondo7370
    @faithmapondo7370 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh jmn Maj yanateremka kwa kas mtu anavuka tena na pkpk jmn

    • @rechalmshana1293
      @rechalmshana1293 ปีที่แล้ว

      Watu wanaroho jmn😊

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 ปีที่แล้ว

      @@rechalmshana1293 yaan akipona hyo ashtakie kuthubutu kujiua

  • @bma4616
    @bma4616 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Kilungule pia tunahitaji barabara.

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula ปีที่แล้ว +1

    Maji yanatenbea.vpmunaruhusu wabebwe alafu wasombwe.na.maji

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 ปีที่แล้ว

    Uko mbele tuta kumbuka Toba ya tz aliyosema Tengwa

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 ปีที่แล้ว +1

    Maneno mengi vitendo hamna ela za kujenga miundo mbinu hawana ela wanaiba tu kujinufaisha wao na familia zao Ccm ni maadui wakubwa wa maendeleo ya Nnchi yetu

  • @reganuisso1256
    @reganuisso1256 ปีที่แล้ว +1

    Ww mm mpuuz kama huyo boda hanipitishe kabsa

  • @smeena3447
    @smeena3447 ปีที่แล้ว

    wekeni ma box culvert watu wavuke,....

  • @mohamedally6992
    @mohamedally6992 ปีที่แล้ว

    MUHESHIMIWA MKUU WA MKOA NAKUOMBEA KWA MWENYEZI MUNGU MAMA AKULETE TANGA. IL UWE MKUU WETU

  • @evaemil856
    @evaemil856 ปีที่แล้ว

    Police na wanajeshi walitakiwa kusaidia watu na watoto kivuka

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 ปีที่แล้ว +1

    Yaani wewe Mkuu unahamasisha watoto wabebwe hapo ?ingekuwa wako ungeruhusu huo ni uuaji kabisaa. Na watu wasivyojitambua wanaitikia kazi iendelee huku mnamateso ujinga wa hali ya juu

  • @florah-jw9wk
    @florah-jw9wk ปีที่แล้ว +1

    Binadamu kusikiliza, tuponakusema kutendandiyokaz baba

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 ปีที่แล้ว

    Tarura waache kuzidisha hela

  • @joyceKingu
    @joyceKingu ปีที่แล้ว

    Hii miundo mbinu imekuwa kidonda sugu . Kuwe na usulihisho wa dharura. Si mlijua rlnino zinakuja

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว

    muwahi haraka sasa

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 ปีที่แล้ว

    CCM HIYOO. YAANI RAIS SAMIA AMESHINDWA KUWAOMBA WANAJESHI WAWEKE DARAJA LA MUDA?. KAMA WALITUMIA WANAJESHI KUFANYA USAFI , WATASHINDWAJE KUJENGA DARAJA? HIZ MILLIONI 500 WAPENI JESHI WAWAJENGEE DARAJA LA HARAKA.

  • @gasperswai6963
    @gasperswai6963 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmh

  • @wileshirima8688
    @wileshirima8688 ปีที่แล้ว

    Kama anasema watu wasipate shida utekelezaji uko wap wananchi wanataka vitendo siokila saa blabla tu

  • @RajabuathumanibahariAthumaniBa
    @RajabuathumanibahariAthumaniBa ปีที่แล้ว

    😂😂😅