ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Ahsante saana da ney ... Mungu akubariki unanisaidia saaaana❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Ahsante dear
❤️
Mambo mazur😋
❤
Kazi nzurii jamani
😋
Mambo c hayo❤
Unajua kuelekeza hongera
Asante sana
Baada ya kupaka kot ya kwanza unaacha kwa muda gani ndio useme kot ya pili?
❤️❤️
Dear Mimi sijui kabisa kutengeneza fondant
Upo bzr jamani unaelekeza vzr ubarikiwe
Dada habar mm nilijifunza kupika kek na kupamba ila napata tabu sana kwenye kuandika je nifanyenye ili niweze kuandika vzr
Tumia vya kuandikia ukanunue zile alphabet cutters
Km huna fondant huwezi kuweka picha ivyoivyo
Unaweza ila inanyonya mafuta
hiyo topper kubwa ya mdoli umeibandikia na fondant hapo mbele mana ujonyesha wakati unapata fondant maana wengine wanasema unaweza paka maji kidogo alafu ukabandika ila nimependa unafundisha vizuri sana hongera
Weka foundant
Ivi da neema mi natumiaga moto 180 keki inapasuka sana juu shida inakuwa nini plss
Labda Moto mkali sana
Hki chakuchongea maua kinapatikana wapi dada?
Maduka yakeki
Hizo keki ulizobebanisha ni inchi ngapi? Na keki kama hio ni bei gan
3000
Hy cake n kias gan?
30000
@@neemashaabancakes no dada namaanisha kilo ngap?
Kma hyo utauza shngapi mmy
Utapigia mahitaji kulingana na bei za vitu ulipo
Dear hy ulowek hapo kweny base mwanz n nn?
Glucose
Ulichogundishia ktk base kinaitwaje
Da neema, me mpya jmn, samhn naomb unielekez kw kuoka kwa kutumia jiko la mkaa man, najifunz taratibu na sina oven, ndo samahn lkn.
Sawaa
Naitaji kujifunza kutengeneza foundant
Hongera sana
Umepikia Ting nchi ngapi iyo keki
Ongera sana
Asantee
Dada neema Mimi sijui kabisa kutengeneza fondant naomba msaada
Kuna video ya foundant search utaiona
Buttercream jamani... Kila navyojitahisi itoke kama yako siwezi. Nina stand mixer sina hand mixer. Najaribu kufanya mazoezi lkn haiwi ivyo😢😢
Endelea kufanya mazoezi mkono uzoee
Hiyo ulioweka mwanzo inaitwaj
Wapi
Akika unanifunza vitu vingi
Hizo shanga unazipata wap
Duka la vifaa vya keki
Ivyo vifa beigani
Ukienda maduka ya keki uliza bei
Ahsante saana da ney ... Mungu akubariki unanisaidia saaaana❤❤❤❤❤❤❤
Amina
Ahsante dear
❤️
Mambo mazur😋
❤
Kazi nzurii jamani
😋
Mambo c hayo❤
❤️
Unajua kuelekeza hongera
Asante sana
Baada ya kupaka kot ya kwanza unaacha kwa muda gani ndio useme kot ya pili?
❤
❤️❤️
Dear Mimi sijui kabisa kutengeneza fondant
Upo bzr jamani unaelekeza vzr ubarikiwe
Amina
Dada habar mm nilijifunza kupika kek na kupamba ila napata tabu sana kwenye kuandika je nifanyenye ili niweze kuandika vzr
Tumia vya kuandikia ukanunue zile alphabet cutters
Km huna fondant huwezi kuweka picha ivyoivyo
Unaweza ila inanyonya mafuta
hiyo topper kubwa ya mdoli umeibandikia na fondant hapo mbele mana ujonyesha wakati unapata fondant maana wengine wanasema unaweza paka maji kidogo alafu ukabandika ila nimependa unafundisha vizuri sana hongera
Weka foundant
Ivi da neema mi natumiaga moto 180 keki inapasuka sana juu shida inakuwa nini plss
Labda Moto mkali sana
Hki chakuchongea maua kinapatikana wapi dada?
Maduka yakeki
Hizo keki ulizobebanisha ni inchi ngapi? Na keki kama hio ni bei gan
3000
Hy cake n kias gan?
30000
@@neemashaabancakes no dada namaanisha kilo ngap?
Kma hyo utauza shngapi mmy
Utapigia mahitaji kulingana na bei za vitu ulipo
Dear hy ulowek hapo kweny base mwanz n nn?
Glucose
Ulichogundishia ktk base kinaitwaje
Glucose
Da neema, me mpya jmn, samhn naomb unielekez kw kuoka kwa kutumia jiko la mkaa man, najifunz taratibu na sina oven, ndo samahn lkn.
Sawaa
Naitaji kujifunza kutengeneza foundant
Hongera sana
Umepikia Ting nchi ngapi iyo keki
Ongera sana
Asantee
Dada neema Mimi sijui kabisa kutengeneza fondant naomba msaada
Kuna video ya foundant search utaiona
Buttercream jamani... Kila navyojitahisi itoke kama yako siwezi. Nina stand mixer sina hand mixer. Najaribu kufanya mazoezi lkn haiwi ivyo😢😢
Endelea kufanya mazoezi mkono uzoee
Hiyo ulioweka mwanzo inaitwaj
Wapi
Akika unanifunza vitu vingi
Asantee
Hizo shanga unazipata wap
Duka la vifaa vya keki
Ivyo vifa beigani
Ukienda maduka ya keki uliza bei