Jambo ndungu mtangazaji nakufata bien Sana ni mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theodore kakonga mwana kivu uvira kavimvira congo inaishi mu unabii bravo fdc bravo kwakila mu congo naishi South Africa province ya free state Bloemfontein bravo waza waza tuko pamoja musichoke ilyamba yetu hata waseme tunajua adui wa congo
narudi tena mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theo izo kenge za wangu hazitaweza lakini tunaomba kwa Rais wetu aongezee wanajeshi wetu mushaara
Jambo ndungu mtangazaji nakufata bien Sana ni mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theodore kakonga mwana kivu uvira kavimvira congo inaishi mu unabii bravo fdc bravo kwakila mu congo naishi South Africa province ya free state Bloemfontein bravo waza waza tuko pamoja musichoke ilyamba yetu hata waseme tunajua adui wa congo
mwana mufalme anarudi kwakua thisekedi amesha shinda vita mtu wa tombolo fatchi beeee mwenyezi mungu iko congo
Jambo bwana mtangazaji, karibu sana kutupa Mbichi za leo zenye kuvuja damu mbichi saana, ninapo tu soma taito, nime jaa furaha saaaana, bravo fa
Tunafata vizuri saana kabisa ndugu nikiwa uvira Sud Kivu,
Bravo fardec bravo wazalendo
Vraiment ubarikiwe
Ni mimi, bwana; BABESE AMISI, Kutoka drc, sud kivu, KIBE, asante.
Tuko pamoja ndugu yangu !na wafata toka Butembo
Kkkk mrogo anayaonge siya le una yo yasema
Tupe mbichi wazeewetu
Weka wayu wazuri wakutangaza
Iyamba letu TV juma pili ina kuwa ipopo haieleweki
Yakwanza muyichi nikupokenza wasoda wafurhahi wavale
Kabira.arikuwa.amekwishazikaichi.nakuipana.kwawanyarwanda
Kuchambuwa ... Uko Juu Sana 💋,
Next time your real Voice please
Tooka haujuwi kupan habar
narudi tena mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theo izo kenge za wangu hazitaweza lakini tunaomba kwa Rais wetu aongezee wanajeshi wetu mushaara
KONGO MNAKILASABABUYAKUMILIKIA NAMTAIFAMEGINE KWAKUAHAMNAATALUGAYATAIFA BALIIMNATUMIALUGA YAKIGENI. KUWADI YUGAYENU. MUWENAAIBU. NYINYI SIYOWAFARASA BAL. MKO. WAAFRIKA ATARWADA INAAKIYAKUWATAWALA KWAKUA AMJIELEWI. KABISA
Yani nyie wkonngo nivichwa mpanzi ilokundi lilo Fanya vilugu lilitajwa m23 niwashailika wao
Alifanya Nini? Wati niju wanaipora ? Ninyi ushabikitu
Uyu naye njo kuongea yake ao ni mapozi unajua kuchambua ila ongea yako tu njo shida pls