Jamani tusiangalie. Tu tujifunze kwamba si kila mausiano lazima yafikie ndoa nas kila anaesema anakupenda. Bas anakupenda. Haya nimaisha halisi ya mausiano yetu yote kumladh 😂❤❤❤❤❤
Kwn hyu mtumwa alirogwa ama nin mbya mbna sielewi yani waletewa mwenzio na bado uko lakin wee anifa hyo kai hakupendi atakuchezea mwisho akuwache ila tambua iko sku hayo.machozi ya mtumwa yatakupa funzo
Mtumwa mtumwa mtumwa nimekuita mara3 achana nae mwanamme hayupo peke ake na nataman huyo mwanamke awe na ukimwi alompata sasa hivi na yeye aje kuteseka kama anavyomtesa mtumwa
Jamani tusiangalie. Tu tujifunze kwamba si kila mausiano lazima yafikie ndoa nas kila anaesema anakupenda. Bas anakupenda. Haya nimaisha halisi ya mausiano yetu yote kumladh 😂❤❤❤❤❤
Kwani mtumwa ni nini lakini tukudhalilisha hivyoo 😂😂😂 jamani heeeeee
Jmn ndo uhusika wake😂😂😂😂😂
Ilanyie kitebe anaumbo kaumbika😂😂😂 kweli kitebe popote ulipo mauayako 🌷🌷😅😅
🤣🤣
Kitebe huyu ni zuu bila shaka shape. Nayoooo🎉🎉🎉🎉🎉
Hii move nimzuri na inamafunzo mazuri sana wanawake tujifunze kuwa watumwa wamapenzi 😣🤲💯💯🥰🥰🥰
Asante sana
Duuh kweli mtumwa,,,,ila hata kwetu kuna wanaume kama fudi kila
Kabisa
Wewe mtumwa wamapenzi kweli mm koma nanyenyekea kazi tu
Ayo machozi yemyewe atafamya.kiramutu akuzarau
Unatongozwa siku moja. Unatoa na. Maelekezo ya vifungo kudadeki alaaaa😅😅 kumladh
Mapenzi ya nyokoooo kwan mwanaume ni yeye pekeyake pumbavuuuu 😢😢😢😢😢
Fundi killer xk yako yaja naisubiria wema wa maskini hauna cf kweli
Huyo jamaa ni uyo mdada alompata sai awe na ukimwi ndo na yeye akipate pate kama vile anavyo mtesa mwenzake
Nataman pia😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Anifa uyosimume
Anifa wajidanganya tu yatakukuta tu
Mwenyewe anaonekana ni mrahisi sana hata inawezekana anaukimwi kweli😂😂😂
Mtumwa Kwan ww unagalia kwenye kishundu mapenz ya nyokoo we bwabwa mtumwa
🤣🤣🤣
Fundi wamapenzi Fundi wauharibifu WAnawake afu WAnawake nao hakili Hamna hao😊
Aiseee balaa zito
Kazi nzuri sana hii Ina hisia sana
Asante sana
Yani mtumwa unaomba hadi pesa ya chakula uwapikie hao kenge we kweli mtumwa zuzu😂😂😂
🤣🤣🤣
Jamani fundi wewe unautumia vibaya fundi wako kuwa naimani
Mi siezi pika wallah naeza chemsha maji nikawamwagia mfie mbali kudadekii
Dooh
Kwl
Jamani kuwa mwanamuke jasili.mbona machozi amezidi
Yaan Mtumwa kama Mtumwa kweli maana sio kwa hali hiyo😂😂😂😂pumbavu mm
Kabisaaa
Kwani ww fundikila ni Mungu mpaka unasema atakua mtumwa maisha yake yote litakukuta zito ww your time Inakuja
Jishauwe Vizuri anifa update najambo ndio furaha yangu mtumwa naweye mbona Huna akili weye jamani akaa
🤣🤣🤣🤣
Yan uyu mtumwa kama limelogwa na uyu lifundi Kila tipwatipwa mvivu wa mnyaa
Ndo character alyopewa😂😂😂😂
Halikini mtumwa wacha kulia lia kama mtoto mimi sipendi tabia yako hiyo kuwa na amani hi simwisyo ya maisha yako
Anifa leo ni mwenzio anaitwa bwenyenye kesho ni wewe ulijue hilo😢😢
Kabisa
Weweeeeeee wera weraaaaaaaaaàa busati ❤❤❤
😍😍😍🥰
Jamani hapo nasi tunapaswa tujifunze kitu
Kabisaaa
Fundi kila jamani mbona wamfanyia mtumwa ivo
Pole sana Mtumwa😢😢
Kwn hyu mtumwa alirogwa ama nin mbya mbna sielewi yani waletewa mwenzio na bado uko lakin wee anifa hyo kai hakupendi atakuchezea mwisho akuwache ila tambua iko sku hayo.machozi ya mtumwa yatakupa funzo
Kapenda sanaaa
Kupenda ukwaju
haki fundi killer vane😢😢😢😢
Anifa umedandia mapenzi subiri upate lako langu jicho 🤔
Alooo
Mtumwa mtumwa mtumwa nimekuita mara3 achana nae mwanamme hayupo peke ake na nataman huyo mwanamke awe na ukimwi alompata sasa hivi na yeye aje kuteseka kama anavyomtesa mtumwa
Mtumwa amekwama kabisaaa
Huyu mtumwa kichaa saanaa 😮
Fundikila 😂😂😂😂
Next ❤❤❤❤
Mutumwa wee fala kweli😂😂
🤣🤣🤣
Upo apo hahahaha apana
Anifa litakukuta jambo zito kuliko mtumwa we jisheuwe tu kwa huyo Nyoka asiye jua thamani ya mwanamke
Yani
Wanawake wengine hawatumii akili ety unaona mwenzako anateswa ww ndio wajiona uliumbwa na gold ety
Na huyu mtumwanae
Majina mengine jaman😢😂
Kazi nzuri 😂
Asante sana
Huyu kai km ndio angekuwa mwanaume wangu ningemkata hiyo naniliu yke🙈
🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimewahi sijaachwa mbali sana
Umewahi sanaa
@@busatitv ila Kai ywaniudhi mbona ywamtesa mwenzake hivo sioni nikiendelea kuagalia mm
Mbona vipande vifupi sana
Uyo mbwa unakata nyeti zake tu
Balaa zito
Kai utajutia nafsi kua na uyo anifa
Muvi ni nzuri ila fupi sana wapedwa
Burudani bila kikomo usijali
Jalibu kuomyesha.ujasili basi
Mimi pia nimewah from 🇸🇦🇸🇦
Majina mengine hayafai aki
😂😂😂😂
Kai ywanisinya natamani hata nisiangalie hii series
Poleeee
@@busatitv khaaaaa
Wa pili
Saafi
Fundi wa mapenzi kila mahali
Umeyataka
😂😂❤❤🎉🎉
❤❤❤
😍😍
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
Huy mtumwa nae chiz yan umeletew mwanamke ndan alaf bad uwapikie aaaah hapan jaman sio kiivyo
Yani balaaa
❤❤❤
🥰🥰😍😍🙏🙏🙏