Kweli we chamsingi usisubili Serikari, itakuchelewesha itakwambia uende Veta. naomba anzisha kampuni yako itakuwa kubwa sana kwasabu watu tunahitaji sana big up na Hongera sana bonyeza picha kujifunza vitu vingi subscribe like Share na rafiki zako
Ombi la sim namba yake nijue bei yake, Kasoro niliyoona kaongeza kadi haifai kwa wanavijiji hatubagui mtumiaji. Nabii wa milenia hii ya sayansi na teknologia. Mkulima Puge Tbr Tanzania.
Serikali isipouona mkono wa mzungu kwenye jambo lolote wanafunga macho roho za kwann na mipango ya kutaka mtukati kwenye kila kitu tunawavunja moyo watu kama hawa,inaumiza SANA
Mm mawazoyangu hawa wabunifu wote TANZANIA wangeandaliwa sehemu moja kilamwaka waonyeshe vipaji vyao iwe kama maonyesho ili wagunduzi wayambulike wapate mikopo
,serikali na watu binafsi ni wadau wanaweza kukusaidia au lah hakuna uwakika, cha msingi atafute mtaji kwa kuwafanyia hiyo huduma watu wanaohitaji halafu anzishe kampuni na alipe kodi. Akitumia njia hii atafika anapotarajia.
Kweli we chamsingi usisubili Serikari, itakuchelewesha itakwambia uende Veta. naomba anzisha kampuni yako itakuwa kubwa sana kwasabu watu tunahitaji sana big up na Hongera sana bonyeza picha kujifunza vitu vingi subscribe like Share na rafiki zako
Kazi mzuri ayo tv kutangaza vipaji na ubunifu unaopatikana Tanzania, Ionesheni dunia kuwa hata Tanzania tuna magenous
hongera kk gibson kawago mungu akutangulie kipaji chako kitaonekana
Hongera sana kumbe umetoka mbali
Brilliant Mr mseminari make a company
Hongera sana Millard hii ni kazi nzuri sana
Hahaha dgo nimesoma nae o-level nilimtangulia darasa moja pale don bosco seminary....alikuwa mbunifu kwel...he is gifted for real
Here you are.....
Masha allah
Safi sana nimependa kazi yake lkn ni mtu confidence sana anajua sana anachokifanya
Ombi la sim namba yake nijue bei yake, Kasoro niliyoona kaongeza kadi haifai kwa wanavijiji hatubagui mtumiaji.
Nabii wa milenia hii ya sayansi na teknologia. Mkulima Puge Tbr Tanzania.
Tuma msg kupitia number hii 0715 106 973 hii ni yangu kisha niaangalia u serious wako ili nikupeleke moja kwa moja kwa mtaalam
GiB carter upo fresh kaka Iringa wanakutegemea kwaajili ya ubunifu Na ugunduzi zaidi
Nice
Safi sana gipson
Naomba namba za kijana huyo
Serikali isipouona mkono wa mzungu kwenye jambo lolote wanafunga macho roho za kwann na mipango ya kutaka mtukati kwenye kila kitu tunawavunja moyo watu kama hawa,inaumiza SANA
mngempa na muda wa kuonesha ufanyaj kazi wa pump hiyo.....ingekua poa sana
Tuambieni uwezo wa pampu hiyo ni kumwagilia ekar ngapi kwa muda gani au inaweza kutembeza maji umbali gani pia weka namba ya mawasiliano
Sasa hapa ndio tunataka,
Great a man is to implement his dreams
Good
Vizur Umelifanyia kaz wazo lako
Jaribu kuongezea uzuri hiyo systems uifunike isiwe inaonyesha hizo waya waya sana utafika mbali
Haha haha
noma kwel
Uko wapi nikotiari uje uniunganishie nyumbani kwangu
Naomba namba yako ya simu
Dogo nifollow inbox nimeispire your work
Naomba namba yako kijana Gibson tafadhali.
0752534795
@@wantedx3946 asante sana
Mm mawazoyangu hawa wabunifu wote TANZANIA wangeandaliwa sehemu moja kilamwaka waonyeshe vipaji vyao iwe kama maonyesho ili wagunduzi wayambulike wapate mikopo
Kutengeneza mfumo hadi ukamilike kuna gharama kubwa sana broh
Dawasa wamchukue ili hawasaidie kwenye shuguli zao
Mimi sijaona kipaji apo nikupoteza muda tu
Dogo mjanja nimekuelewa hatabkujieleza unajiamin Zaid that's good
Ongera kwa hilo. Lkn hata hivyo wametengeneza watu.
,serikali na watu binafsi ni wadau wanaweza kukusaidia au lah hakuna uwakika, cha msingi atafute mtaji kwa kuwafanyia hiyo huduma watu wanaohitaji halafu anzishe kampuni na alipe kodi. Akitumia njia hii atafika anapotarajia.
👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥
Serikali imtumie ili tuwe na vyetu ili hii iwe Tanzania ya viwanda anayotaka mheshimiwa Raisi wetu Magufuri
Safi san bro tz inahitaji san wat kama nyie
Anaehojiwa anaongea kama radio
Ebwaaaaana ehhhh HIKI NI KICHWA NO MATTER WOT, AFU KIPO NA ROHO NZURI
No.yako ya whats up tafadhari.
Nianomba namba yako samahan
Wizara ya maji kazi kwenu badilini mfumo kijana ameonesha kitu iwe chachu kwenu kuuweka mfumo mkubwa katika vyanzo vya maji adi majumbani
Huyo mtangazaji fake sana !!yani nasikiliza interview yote na sijaelewa nini huyo mvumbuzi kagundua
Prototype 😅😅😃
Huyu msaidieni millard ayo serekalini anahitajika huyu
Kwel kijan hay nimatumiz druino
Mbona anaongea asicho ulizwa?!!!
Hahaha kweli kabsa
Ww umeulizwa
Kaka nakubali kazi yako ningependa kujifunza kutoka kwako 0620137541 naitwa Daudi
Dogo una akili
bin bin
Upo wap
Nice
No.yako ya whats up tafadhari.
No.yako ya whats up tafadhari.