patrick kitambo , Mtu akifa usiongee mengi jiangalie mwenyewe kwamba baada wewe pia siku moja kuondoka watu wataongea nini juu yako na hatima yako mbele za Mungu' je, itakuwa jehanamu ya moto au uzims wa milele?Huyo Mzee aliyefariki kama sikosei enzi za uhai wake aliwahi kusema kwamba yeye hana dini. Kauli hiyo ingekuwa na mantiki endapo kama angekuwa amezaliwa mara ya pili yaani kuokoka maana wokovu ndoo mpangp wa Mungu ili mwa huo watu wapate kipona. Kwa hiyo, kama sikumuelewa vibaya, alikuwa anapuuza mambo ya imani ma kuyaona kwake kuwa si kitu na hayana maana bali siasa na nyadhifa alizokuwa amewahi kuzishika. Hivyo,mtu awaye yote awe au iwe aliwahi kuwa Rais, Waziri, Mbunge, au kiongozi yeyote wa siasa asije akajisahau na kufikiri kuwa cheo kitamsaidia mbele za Mungu kuepuka jehanamu waliyoandaliwa waovu. Maji yakimwagika hayazoleki, Ondoa boriti ndani jicho lako na baada ya hapo uone kibanzi ndani ya jicho la mwenzio na ukitoe.
Mulimba Mashauri, aliye ongea mengi ni Mimi au wewe? Wewe usilazimishe mtazamo wako wa kiimani uupandikize kwa kila mtu. Don't judge him from your perspective of dogma points of view. Huwez kusema hakua sahihi wewe umejuaje? Na utajuaje kma wewe ndo hauko sahihi? Imani ni kitu kipana sna usikurupuke
hats hivyo umri ulikuwa umri umekwenda na ulikurhusu kwenda haela
R. I. P. Mzee Kingunge. Amen.
Hii ya umahiri wa kifaransa wengine tulipata mshuhudia akiongea tulipoonana naye Algeria.
Ninyi mboni mnatia aibu mnaandika mnabananisha kama mtoto wa chekechea
R.I.P Babu kingunge.
R.I.P Babu yetu
Global Tv mwandishi wenu anababanisha herufi, arudi chekechea
estrida mwanyambwa 😂😂😂😂😂kumbe umeona nawe
odinga.kenya
mbele kingunge nyuma yako lowasssa
liberia sio ulaya
patrick kitambo , Mtu akifa usiongee mengi jiangalie mwenyewe kwamba baada wewe pia siku moja kuondoka watu wataongea nini juu yako na hatima yako mbele za Mungu' je, itakuwa jehanamu ya moto au uzims wa milele?Huyo Mzee aliyefariki kama sikosei enzi za uhai wake aliwahi kusema kwamba yeye hana dini. Kauli hiyo ingekuwa na mantiki endapo kama angekuwa amezaliwa mara ya pili yaani kuokoka maana wokovu ndoo mpangp wa Mungu ili mwa huo watu wapate kipona. Kwa hiyo, kama sikumuelewa vibaya, alikuwa anapuuza mambo ya imani ma kuyaona kwake kuwa si kitu na hayana maana bali siasa na nyadhifa alizokuwa amewahi kuzishika. Hivyo,mtu awaye yote awe au iwe aliwahi kuwa Rais, Waziri, Mbunge, au kiongozi yeyote wa siasa asije akajisahau na kufikiri kuwa cheo kitamsaidia mbele za Mungu kuepuka jehanamu waliyoandaliwa waovu. Maji yakimwagika hayazoleki, Ondoa boriti ndani jicho lako na baada ya hapo uone kibanzi ndani ya jicho la mwenzio na ukitoe.
Mulimba Mashauri, aliye ongea mengi ni Mimi au wewe? Wewe usilazimishe mtazamo wako wa kiimani uupandikize kwa kila mtu. Don't judge him from your perspective of dogma points of view. Huwez kusema hakua sahihi wewe umejuaje? Na utajuaje kma wewe ndo hauko sahihi? Imani ni kitu kipana sna usikurupuke
IRP babu kingunge
IRP babu kingunge