MCHAWI WA SOKA ALIYEWEZA KUAMRISHA MPIRA NA MPIRA UKAMTII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • Usiache kuSubscribe na kuweka Notification on ili uwe wa kwanza kupata update za makala

ความคิดเห็น • 176

  • @mohdkhatib223
    @mohdkhatib223 11 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu jamaa mpira ameutia rangi na nakshi uzidi kupendeza, pia amefanya vitu vigumu vionekane ni rahisi na inawezekana.

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน

      Fundi Mmoja wa boli

  • @MatiasMashauri
    @MatiasMashauri 2 หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤ 🎉 huyo jamaa nampa maua yake kabc ni mwamba sana

  • @JuniorGaddafi3978
    @JuniorGaddafi3978 10 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa maisha yangu yote sijapata kumwona mwamba na mchawi wa soka kama Gaucho.
    Wengi mtamsema Cr7 au Messi ila katika kitabu changu cha mastaa wa soka basi Gaucho yupokidedeani.

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Mwamba fundi kweli kweli, mtoa burudani

    • @armankassim5906
      @armankassim5906 9 หลายเดือนก่อน

      Jay jay okocha

    • @fanuelmulumba9976
      @fanuelmulumba9976 6 หลายเดือนก่อน

      @@armankassim5906 okocha Bado hatoshi

  • @danndhaya8796
    @danndhaya8796 10 หลายเดือนก่อน +3

    what a narration, i love

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Thanks 🙏

  • @oliverngualo4028
    @oliverngualo4028 11 หลายเดือนก่อน +7

    Kizazi cha GAUCHO tumeenjoy sana 😅😅😅😅

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน

      Sana kumuangalia tu ilikuwa burudani

    • @rameckrichard7534
      @rameckrichard7534 10 หลายเดือนก่อน +2

      Mpaka najuta kwa nn sikufanikiwa kumuona

    • @CotteBravo-mm5tp
      @CotteBravo-mm5tp 10 หลายเดือนก่อน

      Kizazi cha messi tumeinjoy sana

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Tafuta clip kama Hizi uangalie, hata wazee wetu hawakumuona Pele ila stori zake wanazo😅

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@CotteBravo-mm5tphamna kitu hapo ndugu yangu zaidi ya kubebwa na wazungu wezie hasa FIFA ndio waliompa kombe la Dunia kwa kufosi maana ingekuwa aibu isio semekana 🏃 🤣🤣🤣 kacheza mara tano kombe la Dunia wakali wote Duniani wameshinda ndani ya mwaka mmoja au miwili 😆😆🤣🤣

  • @AsukuluAleose
    @AsukuluAleose หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nimejifunza mpira kupitiya Ronaldinho nimejifunza kutoka kwake daah mungu mkubwa

  • @stephenmwangi6145
    @stephenmwangi6145 10 หลายเดือนก่อน +3

    The only wizard when football is concerned in this planet earth ever

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Sure 🔥

    • @nassirali8342
      @nassirali8342 10 หลายเดือนก่อน +1

      The ONLY ONE .NO ONE WILL NEVER PLAY LIKE GAUCHO

  • @GABRIELLUCASJISALIJA
    @GABRIELLUCASJISALIJA 16 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna wt wamezaliwa mpira

  • @allyndasiwa318
    @allyndasiwa318 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Bwana ck atakapotokea mpinzani wake Dunia ituambie ni nani huyo cjui kama atatokea

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 10 หลายเดือนก่อน +3

    Mwamba kabisa 🙌🔥⚽🙌

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Fundi wa boli

  • @GodeliGogo221
    @GodeliGogo221 11 หลายเดือนก่อน +3

    Gooo 1

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน +1

      😅

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili2641 10 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu ndio mwamba wa sokaaaa 🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽👊🏻👊🏻

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Anajua sana

  • @ZUHELIWafula
    @ZUHELIWafula หลายเดือนก่อน +2

    Alfanya npende Brazil bt wakt altoka pia nkatoka

  • @LinosJohn-dp9xi
    @LinosJohn-dp9xi 5 หลายเดือนก่อน

    Alikuwa noma saanaaa hakuna kama yeye😂

  • @David-if6nk
    @David-if6nk 4 หลายเดือนก่อน

    Hahahahaa, hakika wabongo aliyewaroga kafa, hivi Ronaldinho alikuwa na ubora gani hadi kila kona mnampa sifa ambazo hazistahili, au wengi wenu mnalishwa matango pori kwenye vilabu vya gongo na kuangalia viclip vilivyochambuliwa TH-cam ndo mnamuona bora😂, Ronaldinho alikuwa tu machachari kama akina Wilfred Zaha ila hakuwa hatari.

    • @daudimshana
      @daudimshana 3 หลายเดือนก่อน +1

      Acha wivu wew

  • @leonardlunguya7112
    @leonardlunguya7112 7 หลายเดือนก่อน

    Ilikuwa Raha sana kuinjoi kumwangalia Dinho

  • @Desire-wn9iv
    @Desire-wn9iv 2 หลายเดือนก่อน

    Wa africa tukojuu lakini hatuongelewi,ona pele ,ronaldinho hakuna kama wao duniani mpaka sasa

  • @AdrianoMazige
    @AdrianoMazige 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mchezaji kama gaucho labda mtoto wake jowaho

  • @ErastoMabula
    @ErastoMabula 7 หลายเดือนก่อน

    Samahani broo sikubahatika kumuona, mwamba kwangu ni mbappe

    • @muttae2
      @muttae2 หลายเดือนก่อน

      Daah.. pole sana. Ila ni kweli huyu mtu hawezi tokea. Tumeshawaona akina Zinadane, Ronald, Messi n.k ila hii ni namba tofauti sana.

  • @clementkivegalo2604
    @clementkivegalo2604 9 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kama Gaucho!

  • @WankuruMasanja
    @WankuruMasanja 2 หลายเดือนก่อน

    Mwamba na nusu,,hajawai tokea

  • @ahmedkhatibu5387
    @ahmedkhatibu5387 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mpka leo hakuna mchezaji kamu huyu bingwaa

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Inawezekana kabisa, mwamba Alikuwa hatari

  • @SarahHamisi-qc7re
    @SarahHamisi-qc7re 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe no mchawiii kwl kwl

  • @ScholasticKalase
    @ScholasticKalase 2 หลายเดือนก่อน

    Ni atali

  • @GABRIELLUCASJISALIJA
    @GABRIELLUCASJISALIJA 16 วันที่ผ่านมา +1

    Mwamba apewe maua

    • @Chezalive
      @Chezalive  16 วันที่ผ่านมา

      Nakubal kaka

  • @denisdamiani6473
    @denisdamiani6473 9 หลายเดือนก่อน

    Mbappe

  • @shawaynejaphary9926
    @shawaynejaphary9926 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna Mchezaj Kama Dinho Na Hatotokea... He's One In A Lifetime

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 15 วันที่ผ่านมา

    Wengine watapewa sifa ila huyu mwamba alikuwa na kipaji cha kutiisha mpira hapajatokea mwingine.

  • @shalifmbalale8
    @shalifmbalale8 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna mwalimu mkuu,Dokta mkuu,mwanajeshi mkuu,n.k. Bas Ronaldinho ndio mchezaji mkuu kwenye hii dunia🙌🔥

    • @David-if6nk
      @David-if6nk 4 หลายเดือนก่อน

      Unaongea utumbo ndizi, Ronaldinho alikuwa ni mchezaji wa kawaida sana na hakuwa na uwezo wa kuibeba timu, ni machachari tu kama Wilfred Zaha.

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hakun aliyewah kucheza mpira km mt huyu🎉🎉🎉🎉

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Sio poa mzee

    • @jumahalifa6436
      @jumahalifa6436 4 หลายเดือนก่อน

      Mlete na historia ya JJ okocha

  • @AmourAhmada
    @AmourAhmada หลายเดือนก่อน +1

    Hpn mess na Ronaldo hawawez kuw km ronaldinyo kbx ni wachezaj tu Ila yule jamaa amebarikiw ktk mpr na sio rahis kutokea km yy

    • @Chezalive
      @Chezalive  หลายเดือนก่อน

      nakubal kaka

  • @ashaalali1221
    @ashaalali1221 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kkkk unadani mpira ni ukweli kkkk.inaitwa eye tricks.wee jiuliza mpona Africa awashindi world cup? OK mpona mpira iko na stars? Ni wongo.lk movies..wrestling etc .lk acrobat.

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Acha bas mzee

  • @etienneabibu3979
    @etienneabibu3979 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tokea Dunia iiumbwe hakujawahi kuwa na mchezaji mkuu kama Gauch Ronaldinho nampenda sana jamaa huo. Aa h jamani

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Jamaa noma sana

  • @Philimonmgema
    @Philimonmgema 10 หลายเดือนก่อน +4

    ronaldinho is a legend in footbal no one like him

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Sure bro

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kifupi ilo halipingiki kbs alikuwa fundi sana kama ulichelewa kuangalia mpila basi vigumu kumuelewa utaishia kusema kila mtu na radha yake hatujakataa ila raha ya mpila kuona vionjo kama vya Dinho hamasa na majadiliano yanakuwa mengi vijiweni na maeneo mbali mbali iyo ndo radha ya mpila

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Dinho sio wa kwanza kaka Wala hatokuwa wa mwisho, endelea kufuatilia ntakuletea Radha tofauti
      Nb: Pengo la mtu haliwezi kuzibika.

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@Chezalive Elewa mada ya husika tatizo letu sisi wabongo tunachokiamini vichwani mwetu ndo hivyo hivyo tunavipeleka kwenye mada ya mitandaoni haya nikuulize swali wewe mchezaji gan mwingine alietokea katika kipindi chake na baada ya kuustaafu mpila yupi unamfananisha nae mwenye vionjo kama yeye?

    • @khalidhashim6082
      @khalidhashim6082 10 หลายเดือนก่อน

      @@Chezalive kama michael jackson saizi wanamuona mwenye makosa ila alikuwa hatari lakini dinho ni hatari sana

  • @WankuruMasanja
    @WankuruMasanja 2 หลายเดือนก่อน

    Hajawai tokea huyu ni mwamba na nusu

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f หลายเดือนก่อน +2

    Ni mzuriii sana aise huyo jamaa yaani, naona mrithi wake ni kina Leonel Messi. Lkn Lionel Messi ni mfalme wa mpira kwenye hii dunia.

    • @vinikimario5818
      @vinikimario5818 18 วันที่ผ่านมา

      Lionel Hana udambwi Kama ronaldhinyo

    • @vinikimario5818
      @vinikimario5818 17 วันที่ผ่านมา

      Lionel Hana udambwi Kama ronaldhinyo

  • @GalaxyStar-ix6iy
    @GalaxyStar-ix6iy 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kama Dunia ingempata mchezaji Kama huyu B's angekuwa wa kwanza mpaka sasa

  • @AbdallaMwambega
    @AbdallaMwambega 10 หลายเดือนก่อน +2

    hakuna rika la huyu mwamba duniani kwa kusakata soka

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Mwamba anajua

  • @kambonamajaliwa5466
    @kambonamajaliwa5466 11 หลายเดือนก่อน +23

    Mpaka leo sijaona mwenye uwezo kama wake

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน +1

      Kila Mmoja na Radha yake kaka

    • @kambonamajaliwa5466
      @kambonamajaliwa5466 11 หลายเดือนก่อน +1

      We ladha yako iko kwa nani ndugu?

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Hahaa😅 Nakubali Kila mchezaji mzuri, japo wanatofautiana radha

    • @AshaIbrahim-k6l
      @AshaIbrahim-k6l 10 หลายเดือนก่อน +2

      True my brother 💯✅🙏

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      @user-xx3bu9uf3g 🔥🔥👊

  • @002RYE
    @002RYE 6 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli hakuna aliyefanya kama alivyofanya huyu mwamba

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 10 หลายเดือนก่อน +5

    He was a great player

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน +1

      Sure

    • @ELIBARIKIJULIUS-qx7jj
      @ELIBARIKIJULIUS-qx7jj 8 หลายเดือนก่อน

      Ata mm sijaona muchesaji kama mucha iyo ronadinho😅

  • @yahyamlawa2069
    @yahyamlawa2069 11 หลายเดือนก่อน +2

    Na hatokei tna mwingine

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน

      Dunia ilimpata mburudishaji

  • @gwakisamwakambulwe2491
    @gwakisamwakambulwe2491 10 หลายเดือนก่อน +4

    Watu wengi sana wameiga skills kutoka kwake........he is the true living legend

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      For sure. Jamaa ni inspiration kwa kizazi hiki

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 10 หลายเดือนก่อน

      Alikwisha wai sema nayeye kuwa Role model wake ni JJ Okocha,Sema Mzungu anathamini sana kilicho chake

    • @khalidhashim6082
      @khalidhashim6082 10 หลายเดือนก่อน

      @@ezekielkandonga9238 maradona ndiyo role model wake

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@ezekielkandonga9238kila mchezaji ana role model wake lakini elewa kuna wakati huyo role model anazidiwa.

  • @SalumuSelemani-b1h
    @SalumuSelemani-b1h 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ni, kweri, Mimi kwa, macho yangu ya, nyama,sijamuona mtu, kama, yeye

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Mtu hatari sana

  • @mrvixtz
    @mrvixtz 8 หลายเดือนก่อน +1

    He is a very good player I have ever seen in this world

  • @ZkKambi
    @ZkKambi 2 หลายเดือนก่อน

    Mchawi wa soka

  • @Jumamustafa-ur7uv
    @Jumamustafa-ur7uv 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mwamba sana huyu

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน

      Mwamba sana jamaa, inasikitisha tulimkosa mapema sana

  • @JamesNetia
    @JamesNetia 9 หลายเดือนก่อน +1

    My world soccer legend

  • @hassankhanathuman1070
    @hassankhanathuman1070 2 หลายเดือนก่อน

    baba levo hivi trafiki wanachukua ela kwenye dala dala zanin naomba nisaidie kwahilo kwan hawalipwi mishahara

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 9 หลายเดือนก่อน

    Sijaona wakumgusa kwamba huyu

  • @EmmanuelNyamuyarula
    @EmmanuelNyamuyarula 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika umri ungejirudia gaucho angerudi tena

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Tulishuhudia burudani

  • @AncheKibango
    @AncheKibango หลายเดือนก่อน

    Amufikii Messi

  • @Rody450
    @Rody450 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hio sauti nikama ya Jamal kwani ulitoka wasafi WCB ama nakufananisha

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Hapana kaka unanifananisha, sio Jamal

  • @Mohamedibakiri
    @Mohamedibakiri 8 หลายเดือนก่อน

    Mwanafunzi wa jay jay okocha kakopi kavinogesha ila okocha fundi mno

  • @Suzanawilbard
    @Suzanawilbard 9 หลายเดือนก่อน

    Wapo wengine Jay jay okocha, Robinho,Quaresma ni hatar hao jmaaa na wao

  • @SaidHassan-pv6kf
    @SaidHassan-pv6kf 4 หลายเดือนก่อน

    Maisha yote hatotokea Tena katika huu ulimwengu kama huyo jamaa

  • @nathanielneshiez2570
    @nathanielneshiez2570 4 หลายเดือนก่อน

    9:01 9:05 if he had scored, this would have been the most iconic goal in football history.

  • @LovelyForestHills-qe8pe
    @LovelyForestHills-qe8pe 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi mbakaleo huanatakia Manisha mema hakuanakiyongo katika Maisha yake.

  • @Estella122-m1v
    @Estella122-m1v 2 หลายเดือนก่อน

    Ndo anatokea tanzania kama huyo duu hatali

  • @abedymtore2707
    @abedymtore2707 3 หลายเดือนก่อน

    Mwaka 2014 dada yake alihojiwa na gazeti la guardian kuhusu uwezo huo wa mdogo wake akili aikua nguvu za kawaida yaani iyo magic ilikua na yakwer koo uyo n mchawi kama wanga wengene

    • @Estella122-m1v
      @Estella122-m1v 2 หลายเดือนก่อน

      Nawe iga kama utakua kama huyo tuone

  • @HunterJr-s7c
    @HunterJr-s7c 10 หลายเดือนก่อน +1

    hatokuja kutokea kama yeye

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Noma sana

  • @PaulPeter-y1z
    @PaulPeter-y1z 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo mamba akumbukwe daima

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Anajua

  • @johnmwakasege4581
    @johnmwakasege4581 5 หลายเดือนก่อน

    Wa Brazil 🇧🇷 wapo vizuri kwenye chenga

  • @AllyNdosa
    @AllyNdosa 5 หลายเดือนก่อน

    Sjui kama atakuja kutokea kama uyu jamaa

  • @FaustineMichael-hy8li
    @FaustineMichael-hy8li 4 หลายเดือนก่อน

    Bado sijaona wa kumfikia gaucho

  • @Arqammedia931
    @Arqammedia931 6 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli ni mchawe😂😂

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndio mtu sasa messi mchongo

    • @Chezalive
      @Chezalive  6 หลายเดือนก่อน

      😂😂

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f หลายเดือนก่อน

      Messi ana balondo r 8 , Ronaldinho ana 1 au 2 ikizidi. Nani kama Messi? Acha utani mzee.

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 10 หลายเดือนก่อน +1

    Fund mmoja2 gaucho

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Anajua sana

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwamba wa karine

  • @allyjuma107
    @allyjuma107 3 หลายเดือนก่อน

    Kwasasahivi vini Jr. Kidogo ananaweza kufata njiayake

    • @MatiasiBonfas
      @MatiasiBonfas 3 หลายเดือนก่อน

      Viny Jr Hawezi Shuhuli ya huyu Mwamba

  • @LugwishaMawede
    @LugwishaMawede 4 หลายเดือนก่อน

    I have ever seen a player like him

  • @benjaminmwenikahindi5429
    @benjaminmwenikahindi5429 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu nimnomaaaa

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Noma sana

  • @ChiefFurniture
    @ChiefFurniture 2 หลายเดือนก่อน

    Jay jay okocha

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo9305 11 หลายเดือนก่อน +4

    ALIKUA HATARIIII

    • @Chezalive
      @Chezalive  11 หลายเดือนก่อน

      Fundi Mmoja wa soka

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 8 หลายเดือนก่อน

    Duniani ni wachache

  • @KibojaMashauri
    @KibojaMashauri 3 หลายเดือนก่อน

    Hakiki gaucho alikuwa noma ktk mpira.

    • @Chezalive
      @Chezalive  3 หลายเดือนก่อน

      fundi sana jamaa

  • @TajiriWamoyo-q7z
    @TajiriWamoyo-q7z 9 หลายเดือนก่อน

    Mwamba wa ukweli

  • @MarthaSiwale-q1t
    @MarthaSiwale-q1t 9 หลายเดือนก่อน

    Mimininao

  • @Jacksonkutusha
    @Jacksonkutusha 9 หลายเดือนก่อน

    Ni mwamba

  • @MamaFeza-x6d
    @MamaFeza-x6d 7 หลายเดือนก่อน

    Nice wangu

  • @allykagawa
    @allykagawa 10 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🙌🙌🙌

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Hatari mzee

  • @AlexMosito
    @AlexMosito 10 หลายเดือนก่อน

    Hats Mimi

  • @jaffarmohamed6859
    @jaffarmohamed6859 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @yusuphmadege-y1s
    @yusuphmadege-y1s 10 หลายเดือนก่อน +2

    Yupoo yuleeeeee mnaigeriaaa yuleeeeee okocha. Jay Jay haya ukiachanaa na okocha yupoo yuleeeeee lobincho naeeeee vituu ambavyoo ronadincho allifanyaa naeeeee lobincho aliwezaa kuvifanyaa brother anguuu Kwanii brother napenda Sana kuchambi chambua mipiraaa hiiiiiiiiiiiii bwanaaa brother njoooo wahsapuu tukaeee tuchanbuee

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      Umetisha sana, sema Kila Mmoja ana Radha yake kaka

    • @KarimLamar-x5g
      @KarimLamar-x5g 7 หลายเดือนก่อน

      Japokuwa yote hayo Gaucho alikuwa na vingine vitu vyake alikuw akiongezea hadi soccer inanoga kamanda

    • @CharzJackson
      @CharzJackson 6 หลายเดือนก่อน

      The only legendary made to like football ⚽️ 🙌 👏

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 5 หลายเดือนก่อน

    MARADONA

    • @habibahussein22
      @habibahussein22 2 หลายเดือนก่อน

      Huyo maradona mwenyewe alikua akimuona dinho analia na anampigia magoti na kubusu miguu yake yaani anamaanisha hakuna binadamu ambaye hajawahi kumuona katika maisha yake

  • @yusuphmadege-y1s
    @yusuphmadege-y1s 10 หลายเดือนก่อน +1

    LAKINI nyieee acheniiii tuuu lakin wapooo walioo kuwaaa wanafanyaa Kama yeyee jamaniiiiii

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน +1

      Tupe mfano mzee😅

  • @francisnduguti7457
    @francisnduguti7457 10 หลายเดือนก่อน +3

    He learned his skills from J.J Okocha💪💪

    • @Chezalive
      @Chezalive  10 หลายเดือนก่อน

      🤔 maybe

    • @EricPatoh
      @EricPatoh 10 หลายเดือนก่อน +2

      You are mad to say that

    • @LeesMD333
      @LeesMD333 10 หลายเดือนก่อน

      Absolutely

    • @adriankiarie1868
      @adriankiarie1868 10 หลายเดือนก่อน

      Very true he also said so

    • @KarimLamar-x5g
      @KarimLamar-x5g 7 หลายเดือนก่อน

      But he added other skills himself

  • @frankntobi2001
    @frankntobi2001 2 หลายเดือนก่อน

    Duh hatari sana