Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) aliwapenda watu wote. Wakati wa harakati zake akiwa na Maswahaba(Wanafunzi) wake alipata kuona Jeneza ambalo lilikuwa na maiti ya Mkristo ndipo akaonesha ishara ya kuhuzunika, moja kati ya Swahaba wake akamuuliza Mtume: kwanini unahuzunika wakati yule ni Mkristo? akamjibu: yule pia ni Binadamu. Na Mtume aliwasilimisha watu kwa upendo,lugha nzuri na bila kulazimisha au kutumia nguvu. ALIWAPENDA WAKRISTO, MAYAHUDI NK.
Mungu akulehe peponi
Hii shekhe kaelezea kwa hisia Kali mashallah
Allah amrehemu
GOD BLESS YOU Inshaallah
Mung akulaze mahala pema peponi inshallah hakika mengi uliyakemea kuwekeza katika njia iliyo sahihi
Huyu shehk namkubali na sijawahi kusikia akiusema ukristo kumbe inawezekana.
Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) aliwapenda watu wote. Wakati wa harakati zake akiwa na Maswahaba(Wanafunzi) wake alipata kuona Jeneza ambalo lilikuwa na maiti ya Mkristo ndipo akaonesha ishara ya kuhuzunika, moja kati ya Swahaba wake akamuuliza Mtume: kwanini unahuzunika wakati yule ni Mkristo? akamjibu: yule pia ni Binadamu. Na Mtume aliwasilimisha watu kwa upendo,lugha nzuri na bila kulazimisha au kutumia nguvu. ALIWAPENDA WAKRISTO, MAYAHUDI NK.
Ni kweli, lakini hakuna mahala alipowaunga mkono
Mungu akurehem sheikh 😢
Allah akurehem pepuni
Maashaallah
Mashalla
jamani kumbe alikufa
Rip
😂😂😂😂
😅