BIZMAN - Chanzo Cha Kuingia Bongo Fleva Kutoka Kwenye Band - Part 2
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
- Tunaendelea na mazungumzo na Bizman. Hapa ametuonesha umaestro wake kwenye muziki wa Bongo na jinsi alivyohusika na vibao kibao. Tunaona pia jinsi alivyotoka kwenye muziki wa band na kuingia Bongo Flava
#bongofleva #bizman #bongoproject #tanzania #inafrika
Bongo Project ni "project" mpya Tanzania inayojihusisha na kazi za sanaa na yenye lengo la kuhifadhi taarifa, historia na takwimu muhimu za sanaa ya Tanzania pamoja na wasanii wake.
--------------------
WEBSITE
--------------------
bongoproject.org/
--------------------
SOCIAL MEDIA
--------------------
Instagram: / bongo_project
Facebook: / bongo-project-10256641...
TikTok: / bongoproject
--------------------
CONTACT
--------------------
Email: info@bongoproject.org
Bizz Man Nakubali miaka 100
Legendary
Sound mbovu mkuu, unajua hizi interview ni madini mazito sana na tunazipenda sana. Rekebisha sound
Namkubali sana Bizman..ni producer na mpiga kinanda mzuri sana.
Yuko vizuri sana
huyu ndio bongo flava
Aminia
Pamoja kaka naomba kufahamu 'Indege' ni lugha gani
Halafu umtafuta mamu muuza album
Tutamsaka
nawambiaga watu hy jamaa alihusika karibu ngoma zote
💯
Nataman maswali uweke kweny subtitle halaf sauti yako isisikike, jaribu uone itatokoaje?
Poapoa. Tutajaribu siku moja