Unga Lishe Wa Kishua. Tengeneza unga lishe kama mimi ufurahi.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- Mahindi 1kg
Ulezi 1kg
Granola 750g
mbegu za maboga na Nazi ( Coconut Flakes au nazi kavu) 500g ( unaweza kutumia kimoja wapo tu
iliki 200g
💜Ukimaliza kusaga Unga wako, hakikisha unauanika kwenye jua. uwe mkavu vizuri kabisa. Kisha uhifadhi au kupack kwa kuuza.
Ukitoka kusaga Unga, hakikisha unauanika ili uwe mkavu kabisa kabla ya kuhifadhi
Thank you for this Tip👌 Be Blessed Dear
Zidi kubarikiwa sana
Naomba uniandikie aya maitaji nikatafute sokoni dadaang ili ninywe afy yng mgogolo
Tuandikie haya mahitaji hapo chini malkia tafadhali saana
Hifadhi yake ili usiharibike ipoje mamy
Habari yako dada malikia food. Nimependa somo lako, ila naomba nikusauri kidogo, ukiwa unatoa masomo upende kutumia lugha ya kiswahili zaidi. Maana sio wote tunaoangalia masomo yako tunafaham kingereza my dear. Ila samahani kama nitakuwa nimekukosea ama nimeshauri vibaya.
Haujakosea kabisa. Ni kweli sio wengi wanaoongea kingeleza. Ilasa somo ni zuri sana kweli.
Hujaeleweka unaeleza haraka haraka maneno ya vitu ulivyochanganya havijasikika vizuri ludia tena hiyo video
Samahan mamy hapo kwenye nazi kavu yaan nazi inatakiwa iwe kama zile zakukuna tu ama kavu ndo ikoje jmn?
Uko vinzur dd sema lunga ulio tumia kwaajili yakuandaa sijaielewa naomba no yako
Jitahid kutumia lugha rahisi kwa Kila mtu kuelewa pia pangilia maelezo yako hatua by hatua kulingana na unachokiandaa itapendeza sana kama unataka kwel tujifunze.
Napataje unga lishe wako .
Maana nomekonda nataka ninawiri jamani
Ratio plz za hiz ingredients tuambie
Granola ni nini plz na mbadala wake plz
Mbona unachanya rugha kingereza na kiswahili
Unaelekeza harakaharaka hata hueleweki kwakweli
Mbona hujaorodhesha vitu vyote
Jitahidi kuelezea vizr unaongea haraka haraka ata sijasikia chcht sijui nn zabibu? Ndo nn
Dada hapo mwishoni umeweka maziwa hayo?
Jmn ndo natak nikasage naomb aliyeelewa aniorodheshee hivyo vitu
Unga huu unaweza kumpikia mtoto wa miezi 7?
❣️❣️❣️
Hizi oats zinapatikana wapi??
dada na pataje huo unga
Nimependa ila nielekeze hapo kwenye nazi uliianika au?
@Malkiafoods Nazi unaianika au unafanyaje ikauke
Na mboga za mbegu zaitwa kwa kizungu
Pumpkin seeds
Mtoto miezi sita unafaa???anayeanza kula
Dada mtoto pia atumia?
Ulezi kwa kizungu inaitwaje
Finger millet
Habari yako, nimependa naomba namba yako
Thamahan dada wengine ni wagen hivyo ulivyovitaja sivijui ninaoujua ni ulez na mshindi ya chano km inawezeka hivyo vingine nitajie kwa faida ya wengi ili nikavitafute na je vinapatikana wap yoyote anayejua anisaidie
Mbona nimeweka maelezo kwenye description box my dear
Hello @@malkiafoods
😋😋😋😋😋
Glanora zinapatikana wapi my dear
Supermaket mumy
Asante saana dada
@@malkiafoods tufundishe na hio please 😩😩😩
Jinsi ya kutengeneza granola jamn
Nunua supermaket
Nazi unitumiaje inakaushwa au
Granol ni Nini? Dad
Naomba namba
Nazi umeikaushaje
Tunaomba kujua nazi unakaushaje?
Kabisa tusaidie nazi unakaushaje
Nazi inakaushwa vip jamani
Nimekupenda Dada hicho chakula kwa Watoto na Wagonjwa na Wazee ni kizuri sana.Naweza kupata no yako nataka kuongea nawe.
Unaweza dear. Utapata pale Instagram @malkiafoods
@@malkiafoodssamahani dada huu uji naweza mpikia mtoto anae Anza kula I mean miezi 6 japo nw Ako 7 ?