4. Mjadala Tangamano Ahmadiyya na Sunni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 10 หลายเดือนก่อน +2

    ماشاءاللہ
    Mwenyezi Mungu akuridhie na akupe afya njema #upendokwawote

  • @MahambaMustafa
    @MahambaMustafa 8 หลายเดือนก่อน +1

    Maashaa Allah,umejibu kwaufasahamno shekh sahib, Allah akusaidie

  • @WaziriQaadiriy
    @WaziriQaadiriy 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ikiwa uko ulipo hujatubia laana ya mwenyezi mungu iwe juu yako

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nomeipenda sana Hoja zako Sheikh Bakri sahib
    #upendokwawote

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 8 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah , Sheikh Bakri katika ujana wake
    #upendokwawote

  • @mohammedtamimiddi3548
    @mohammedtamimiddi3548 2 ปีที่แล้ว +1

    Shekhe kazi ya mahubir inahitaji msaada wa mungu na ubongo mwepesi sana lasivyo mtu anakuzunguka anakwendazake....lkn ulimshika mana hata akisema wengi ni mmoja...haya mmojamwenyewe ni nani wakati muhammad alishakuepo!
    Very interesting

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanataka na wao wahindi wawe na mtume wao

  • @seifuhassan6889
    @seifuhassan6889 4 ปีที่แล้ว +1

    Uyo mtume baada ya Bwana Mtume MUHAMMAD SAW ametajwa ktk aya gani kwenye Quran au hadithi ipi

  • @jamalilitamba4043
    @jamalilitamba4043 7 ปีที่แล้ว +2

    khelef Omar mbona hujibu swali
    hilo yesu yu hai or amekufa???

  • @BashiruddinRamadhan
    @BashiruddinRamadhan 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @rehemaswalehe6423
    @rehemaswalehe6423 5 ปีที่แล้ว +2

    mwamini kua mungu ni mmoja na muhammad amani ya mungu juu yake ni mtume wake.tena ni " khatamul-anbiya'"(muhuri wa manabii)na ni bora kuliko wote..wala hapana nabii baada yake,ila yule aliovalishwa shuka la muhammad anani ya mungu juu yake kwa njia ya mfano.kwan mtumishi c mbali na bwana wake wala tawai si mbali na shina lake.kwaiyo mwenye kujitoa kwelikweli kumfuata bwana wake anapata kwa mungu jina la nabii.na yeye havunji U-KHATAMUN NUBUWWAT.kama vile unapojitazama kwenye kioo,hamwez kua wa2 bali ni prke yako.na ikionekana kwako wa2 hapana tofauti baina yao ila tofaut ya kivuli na asili.HIVI NDIVYO ALLAH ALIVYOTAKA KWA MASIHI ALIYEAHIDIWA..allah umfunulia amtakae kwakati autakae.tuitafakari qur'an tupate mwisho mwema inshaallah.

  • @abdallahkawambwa2666
    @abdallahkawambwa2666 2 ปีที่แล้ว

    Allah akuangamize we kadiani

  • @kassimulugajo6512
    @kassimulugajo6512 5 ปีที่แล้ว +1

    na kama utume bado unaendelea mbona nyie hamjiiti mitume? je huo utume ni wa makadiani tu?

  • @mussasaid4072
    @mussasaid4072 ปีที่แล้ว

    acha ufisad

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +1

    Inalilah wainaillah rajighuun wallah huu nimcba inatakiwa tusome quruan sana natafsir yake navitab vingine wallah ushia ni bidaat

    • @maysammahbub5804
      @maysammahbub5804 ปีที่แล้ว

      Jamani hawa makadiani sio mashia tena waametoka kutoka usunni ndio wakaleta dini yao

  • @أبوفيصل_الحنبلي
    @أبوفيصل_الحنبلي 4 ปีที่แล้ว

    hapo wote hawana Elimu wanachoshindana kwa Kusema na ufasaha wa kuzungumza.Muwe mnataja reference.

    • @hutisaleh2320
      @hutisaleh2320 4 ปีที่แล้ว

      Samahan ndug yng we ni mvuta bangi au??

    • @hutisaleh2320
      @hutisaleh2320 4 ปีที่แล้ว

      Hv ww una ilimi gn wa kuxem Shekh Shekh abdul qadir hana ilim??unayo ww hyo ilim au??

    • @أبوفيصل_الحنبلي
      @أبوفيصل_الحنبلي 4 ปีที่แล้ว

      @@hutisaleh2320 Sijui mana unauliza swali la kipuuz.

    • @أبوفيصل_الحنبلي
      @أبوفيصل_الحنبلي 4 ปีที่แล้ว

      @@hutisaleh2320 Mim nina Elimu ya Quraan na Sunna(hadithi) kwa ufaham wa salafu swaalehe

    • @mohammedally2289
      @mohammedally2289 3 ปีที่แล้ว

      @@أبوفيصل_الحنبلي wahabi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @hombelozabroni9226
    @hombelozabroni9226 4 ปีที่แล้ว

    Allah akufahamishe na kama utaedelewa wewe hamadiya kupoteza watu allah akuzalilishee

  • @Film_extra_tz
    @Film_extra_tz 4 หลายเดือนก่อน

    Si Kila khalifa ni mtu ila Kila Mtume ni Khalifa.

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 5 ปีที่แล้ว

    HATA DALILI MOJA WAPO YA QIYYAMA NI KUKOMA KWA UTUME AU KUFIKA KWA MTUME((SWALA LLAHU ALEYHI WASALAM))sasa wew ahmadiyya vipi UNAKUA KM KAHAMZA IYSA KABUKOBA

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni5424 5 ปีที่แล้ว +1

    mi nasema ukitaka kumjua kadian kuwa kafir au muisla.
    SOMENI KITABU kinaitwa MAKUBALIAN KATI YA NYERERE NA KADIANI
    .....kadian ni upotovu mkubwa.....no comment

    • @yussufdaudi9408
      @yussufdaudi9408 5 ปีที่แล้ว

      Walahi fitna mtume swa dio wa muisho

  • @twalibhassan6699
    @twalibhassan6699 6 ปีที่แล้ว +4

    hakuna mtume baada ya mtume s.a.w
    mtasubiri sana mpaka kiama

    • @mohammedtamimiddi3548
      @mohammedtamimiddi3548 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwahio na Issa ndio hatarudi hadi kiama?
      Au kuna mtume anaevuliwa utume mara baada yakupewa utume?
      Au kama utumewake niule wa zamani tu, kwanini waislam mnamsubir wakati alikua ni mtume wa waisraeli tu sawa na Qur an 61:7 na biblia Matayo 15:24....
      Kwahio ukiona muislam unachakaza ndevu kumsubir Issa wakati alikua ni wa wana wa israeli tambua atarudi kabla ya kiyama na kuna utume mpya atakujanao ingekua sivyo wewe usingekua na haja ya kumtazamia.

    • @AbdallahMillah
      @AbdallahMillah 10 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 3 ปีที่แล้ว

    Kila ayah ina sababu ya kushuka, tukijua sababu ya kushuka iyo ayah ndio tutajua tafsir ya sawa.

  • @libandafarajizo3764
    @libandafarajizo3764 5 ปีที่แล้ว

    mh watu hawana uelewa hat kdogo ubongo wao baridiiiiii mnasubir yesu mtakesha miaka birion elfu kumi kamweee hafiki amekufa muhammad mbora wa mitume araf abaki yesu hana ujanja huo mwiko wake

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 หลายเดือนก่อน

    UKILIANGALIA TU HILO KADIANI SURA YAKE TU INAJULISHA KUWA LINA KASORO KIAKILI

    • @BakriAbedi
      @BakriAbedi  หลายเดือนก่อน

      Una khabari kwamba hata Mtume Mtukufu Muhammad s.a.w. naye pia aliitwa hana akili na Allah Akateremsha Aya kuwajibuni pale aliponadi: Nawe (Muhammad), kwa neema za Allah, si mwehu.

  • @abuuabdirrahmaan4132
    @abuuabdirrahmaan4132 หลายเดือนก่อน

    HALAFU SURA YAKE NA UTAMKAJI WAKE UKIAMBATANISHA NA MACHO YAKE ANAVYOTIZAMA UTAPATA KWAMBA HANA USIRIAS NA INAONEKANA SIO MUISLAAM KABISA NI MUAJIRIWA TU

    • @BakriAbedi
      @BakriAbedi  หลายเดือนก่อน

      Hivyo ni muajiriwa gani awezaye kuwashinda masheikh vigogo kama hao. Hauoni kuwa Qurani imewatupa na wanashindwa hadharani kupata sapoti ya hoja za Quran na masheikh wenzao wote duniani wamenywea kabisa kwa kushindwa kuwasaidia masheikh wenzao kwa hoja na dalili na badala yake wanawaachia mashabiki kama ninyi muwasaidie masheikh hao wanaotia huruma jinsi wanavyozama hadharani na kumeza mafunda ya maji yazamishayo ya hoja madhubuti za kimbingu. Kila mfuatiliaji mwenye busara anaona dhahiri shahiri kuwa masheikh hao wanajuta kwa kujiingiza kichwa kichwa kukabiliana na wafuasi hodari na shupavu wa Masihi Aliyeahidiwa, Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad a.s aliyeahidiwa mapema tu na Allah kwamba kila jeuri atakayefakamia kutaka kumdhalilisha, basi mwenyewe ndiye atakayedhalilika. Nawe unayejiweka kimbelembele uchukue tahadhari usije nawe kukumbwa na fedheha.

  • @m.othman866
    @m.othman866 5 ปีที่แล้ว

    Makadiani ni makafiri bila shaka.

  • @alimaalima6016
    @alimaalima6016 6 ปีที่แล้ว

    So which is which

  • @osmannassir1515
    @osmannassir1515 3 ปีที่แล้ว

    Ndugu zrtu Ahmadiya wana shida ya lugha na history ya Quran.

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +1

    Naona kipindi hicho ni baisekeli ndo usafiri mkubwa

  • @ashamasudi9441
    @ashamasudi9441 5 ปีที่แล้ว

    ss baada ya kupigania makafiri waingie katika uislam nyinyi mwapigania wenyewe kwa wenyewe hata mwafurahisha

  • @mussasaid4072
    @mussasaid4072 ปีที่แล้ว

    wewe sio shkhe acha ufisadi

  • @hashimprofessor5664
    @hashimprofessor5664 3 ปีที่แล้ว

    H

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anakichwa kigumu cjawahi ona

  • @mpolesmart638
    @mpolesmart638 5 ปีที่แล้ว +1

    Nyie mnataikiwa muu wawe kwa sherea ya qur aan, mungu alivyo tuambia sababu we Ni kafiri hakuna mtume mwingine muhamad ndo wamwisho

    • @AbdallahMillah
      @AbdallahMillah 10 หลายเดือนก่อน

      Tena wajuwa Quran kweli?

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 ปีที่แล้ว +2

    Msishindane na watu kama hawa, washaangamia

  • @alishariff8657
    @alishariff8657 6 ปีที่แล้ว +3

    Kadiani alikufa ndani ya choo Vipi mtume atakufa ndani ya uchafu.

    • @zukhairsaid2194
      @zukhairsaid2194 5 ปีที่แล้ว +1

      kwani kuna aya inayosema MTU akifia chooni anakwenda Motoni? au baba yako alikuwa anafanya kazi kwenye choo cha saydina ahmad

  • @sadambakari9756
    @sadambakari9756 4 ปีที่แล้ว

    Ww cjui unavuta bangi asee

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 5 ปีที่แล้ว +1

    Uyu.ahmdiya.mwenziwe.ni.hamza.kadhaabuu

  • @abushams2451
    @abushams2451 3 ปีที่แล้ว

    Ww una maneno ya kikafiri chunga ww

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf ปีที่แล้ว

    Mbona unakata

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 4 ปีที่แล้ว

    Mh...niaa ni shida

  • @rapafata1108
    @rapafata1108 7 ปีที่แล้ว

    Shida ni lugha. Huu ni ushahidi kuwa mambo ya kiarabu na mtume wao watanzania hamuwezi. Ona sasa mnabishania lugha

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 ปีที่แล้ว +1

      Rapa Fata we unadhani hata uyo yesu alikua akiongea kiswahili? Hiyo bibili ni kitabu kilicho tafsiliwa.

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 ปีที่แล้ว +1

      Rapa Fata we umesoma wapi ulikoambiwa muhammadi s.w.a ni wamwisho.

    • @barackmugatsia4714
      @barackmugatsia4714 6 ปีที่แล้ว +1

      Mbona waislami wamsubiri issa ili aporomoke kutoka mawinguni ilhali mtume saw ni Wa mwisho

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 5 ปีที่แล้ว

    Astaghfirullah wewe hujui kiarab, na tafsiri, unatafsiri unavyotaka wewe mwenyewe

  • @ashamahamudu1608
    @ashamahamudu1608 6 ปีที่แล้ว +4

    ahmadiyya ndiyo njia pekee ya kuingia Peponi.amadiyya idumu milele

    • @fahadjuma5150
      @fahadjuma5150 6 ปีที่แล้ว

      Duh
      Kwa ushahidi gani?
      Dada @Asha Mahamudu

    • @husseinahmed5216
      @husseinahmed5216 6 ปีที่แล้ว

      Asha Mahamudu tupe dalili katika quraan na Sunna sahihi tafadhal ili kuthibitisha hoja yako

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 6 ปีที่แล้ว

      Ameen

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 6 ปีที่แล้ว

      Ahmadiyya Zindabaad

    • @surahassan4725
      @surahassan4725 3 ปีที่แล้ว

      You all had nothing to say.People are strugling to devide you muslims then you help them by showing your differences.Chungeni sana na hio mijadala .

  • @drudeshub3188
    @drudeshub3188 5 ปีที่แล้ว

    ahmadiya ni makafiri

  • @twalibhassan6699
    @twalibhassan6699 6 ปีที่แล้ว

    shekh uchwra huyu

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 8 ปีที่แล้ว +2

    Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.

    • @mgudeeone8636
      @mgudeeone8636 7 ปีที่แล้ว +1

      Khelef Omar Kwahiyo Nabii Issa as hatokuja tena??

    • @almamri9245
      @almamri9245 6 ปีที่แล้ว +1

      Huyo anafaham vizur sana anakasoma vizur kiarab anajuwa lkn ajipumbaza tu kwajili ameshanunuliwa na kadian

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 6 ปีที่แล้ว +1

      Nabii issa hatukuja tena mbn mnakimbia ilo swali

    • @adasonnondo1263
      @adasonnondo1263 5 ปีที่แล้ว +1

      @@AbouBurhan kwan nabii ISSA alikuwa hayupo kuja kwake haimaanishi sio mtume wa mwisho

    • @AbouBurhan
      @AbouBurhan 5 ปีที่แล้ว +1

      Nabii Issa ndio atakua wa mwisho
      kwa mafano ata mm nikija kwako halaf nikaondoka akaja mtu mwengine halaf akaondoka halaf nikarudi mm tena nikaondoka tena na hakuja mtu mwengine nan atakua wa mwisho @adason nondo

  • @zukhairsaid2194
    @zukhairsaid2194 5 ปีที่แล้ว +1

    huyu sheikh wa sunni amechemka hana hata aya ya Qur'an

    • @abubakarmudir1147
      @abubakarmudir1147 5 ปีที่แล้ว

      zukhair Saide sio kila kitu kina dalilu qatwey

  • @drudeshub3188
    @drudeshub3188 5 ปีที่แล้ว +1

    AHMADIYA NI MAKAFIRI KULIKO MAKAFIRI

  • @rajabumzuwanda7505
    @rajabumzuwanda7505 6 ปีที่แล้ว +1

    Kadiani kafiri haeliwi lugha wala nnasi

  • @BakriAbedi
    @BakriAbedi  9 ปีที่แล้ว +2

    • @bakarimgeni5424
      @bakarimgeni5424 5 ปีที่แล้ว

      rudi kwa Allah acha upotovu tamaa ya pesa ili kupoteza haki ya kweli utajuta mbele ya Allah

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 8 ปีที่แล้ว +5

    Mtume s.a.w ni Mtume wa mwisho. hakuna ajae tena. nenda kasome tena. au umetumwa na Manasara uje utie shaka. mpumbavu we.

    • @mgudeeone8636
      @mgudeeone8636 7 ปีที่แล้ว

      Khelef Omar Nabii Issa as ameshakufa hajitena au??

    • @jamilsaidi9848
      @jamilsaidi9848 6 ปีที่แล้ว

      Khelef Omar thibitisha unacho ongea, kusema sio kazi ,kazi ni kuthibitisha.

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 6 ปีที่แล้ว

      we embu acheni ubish nyie kukataa kama mtume muhaamad ni mtume Wa mwisho ni ukafirr

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 6 ปีที่แล้ว +1

      mnAtakiwa mjue kwmba nabii isaa atarud Kwa sababu gani na pia nabii issa mkumbuke kwamba yy alikua tayar anaumati wake tayaree alikuja kisha akaondoka na kurud kwake haimaaniash kwamba yeye ndo atakuwa Wa mwisho ila atakuja kukanusha kuusu wakristo kumuita yeye mungu au mwna Wa mungu na kupambana na masih dajar hivyo tu lakin Muhammad saw ndo Wa mwisho

    • @simbillamachiyya
      @simbillamachiyya ปีที่แล้ว

      مضارع المتثني كيف ذالك