Baada ya Gari la Msafara wa Ali Kiba Kugoma, Hiki Ndicho Kilichotokea
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Ali Kiba mara baada ya kuwasili katia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Julius Nyerere akitokea South Africa alikoenda kukabidhiwa tuzo yake ambayo alishinda lakini yakafanyika magumashi na kupewa msanii mwingine.
Baada ya kuwasili uwanjani hapo, Ali Kiba alipokelewa na nyomi ya mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa hamu, ambapo alipata nafasi ya kuzungumza machache kabla ya kuingia kwenye gari maalum lililokuwa limeandaliwa, kisha kuondoka huku akisindikizwa na mashabiki wake ambao walionekana kulalamika kutokana na gari alilipanda Kiba kutokuwa na sehemu yenye kufunguka kwa juu ambayo wangeweza kumuona, jambo lililosababasha Abdu Kiba kupigiwa simu na kisha kuleta gari yake yenye kufunguka juu ambapo furaha ya mashabaki wake ilirudi na kisha wakaunga msafara kumsindikiza huku wakiimba nyimbo zake kwa shangwe.
kabla ya kukabidhiwa tuzo hiyo ya MTV, licha ya kushinda, alitangazwa msanii mwingine, Wiz Kid kwamba ndiye aliyeshinda lakini baada ya menejimenti ya msanii huyo kusimama kidete, baadaye MTV wakakiri kwamba mshindi halali alikuwa ni Ali Kiba na kuahidi kumpa tuzo yake, jambo ambalo hatimaye limetimia.
ALIKIBA| MTV| TUZO| KIBA| AJE| KING KIBA|
kiba wewe nimsanii mwenye sauti ya kipekee sana, kazi nzuri
kukaa kwenye game kwa kipindi kirefu alafu bado unakubalika hiyo ni ishara tosha ya kuitwa king ,, we love you Kiba kenyan fan here
kiba wewe nimsanii mwenye sauti ya kipekee sana, kazi nzuri
Ali kiba we love you from Kerry
mungu akulinde na kila shari za waja in sha Allah kiba
Kazi kubwa xana mungu akuongenzee unjuz mkubwa alikiba ni msaniii ambae anafanya Kazi kwa uelend mboraa na wahali ya yuuu
Ally kiba love you nakukubalisana
oyoooooo kiba forever
thank you Ali k
uko juu bb
east west king is the best keep it up
Mungu akupe maisha mrefu king kiba no one like you brother
king kibaaaaaaaa
that is a gentleman
pamoja king kiba mpaka Qatar
kibaaaaa iyooooooo
ali kiba king tuko pamoja hadi OMAN MUSCAT
Zuweina Alhabsy haya bhana
Zuweina Alhabsy haya bhana nimekubali
Zuweina Alhabsy kweli kabisaaa
Zuweina Alhabsy mmmmmmh haya bhana
God bless him
king kiba baby pamoja sana...
wasikutishe luminati
Noma sana
Nijambo jema lakini
WATASEMA SAAANA, LKN WEWE NDO KING WA MUZIKI HAPA BONGO.
Ataliiii king kibaa
nakupendaga sana king
hongera kuitangaza tzn
king sikuzote ni 👑
lov dat
may yu live long kiba king
Kingkiba on top
nakukubal king kiba
king ndo king
together ma broo king kiba
oyoooooooooooooo congratulations Kiba
werraaa💪
King
nakubali
kiba💪💪💪💪
safiii
Ukiwa nanyota ya mende aji mtu apo zaid yamama yako
nampend Ali Kiba sio brother men
jamni naipenda teama Diamond naomba wasije wakapatana maana asingekuwa diamond muziki wa Tz ungekufa kabisa
nomaaaaaaah
king Ali kiba juu nikiwa huku dubai
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Cute
That's good
global tv mimi nikama nyinyi mimi ni editor ,kunakipande nimefanya angalieni kina itwa yaliyotokea tanzania,chekini global tv nipejibu nipoa
master wa master
ni knoma
timu domo naona midomo wazi
Jamaa Yuko poa sana he's HuMble
king kiba noma
TANZANIA KUMBE NI RAHA HIVI...YAANI WANAYO MINGI YAKUWAWEKA HAPPY😅
hatar king
Jane Edward mwangoma.kwani mondy yeye nani mpaka unasema asingekuepo mondy mziki usingekuwepo.kwani hapo hawali walivyokuepo kina afande sele dully nawengine wengi mziki ulikua haupo .mbona ulikuepo kabla ya uyo mondy wako ajaanza mziki.kuanza mziki juzi tu unaanza kumshobokea loo keakipi hasa .
Jamani sio kipensi icho tumachi
mpka raha jmn
ivi mnalipwa
AKILI ZA KWENYE MATAKO NDO ZINAZOSUMBUA WATUU!!
like lupelaaaaa na inapendezaaaaaa tixhaaaaa king
king kibaaaaaa noma
hayo maandishi yako yanaharibu utamu bora ondosha video yenyewe pia
Jmn c ningekuepo tuh....
oyoooooooi
daaaah kiba maskin 😀😀😀😀sa umevaaje mmmmh 😷😷😷😷
joyce michael love love ulitaka avaaje
joyce michael love love vp kwani amevaa vibaya dada
Alikiba ww unajua huna mpizan tz hii
was Oman nichek
hii ni video ya aina gani maadish mtu haoni
Nyokabi Waweru hapakosagi choko aliyepagawa hawachelewi kutoa kosa visivyo vya msingi
F**** off GlobalTv inakuhusu Kama ame codisha gari Kila mtu hata Kama anagari ako na safari anaacha atatumiya za wengine
Mpaka tuzo
global tv mkovizuli
Kiba nakukubalxna
Afu kuongea na watu jamaa bado duh
inabid wakamatwe wanavunja sheria ,sheria hailusu kukaa juu ya gari
emmanuel asheri hiyo ni wivu brother
emmanuel asheri
sheria hyoo vepeeee
emmanuel asheri sheria ya nyumbani kwani hio
emmanuel asheri 😂😂😂
Amevaa boxer hahahaaaa
Babu yko ndo kavaa boxer
Kipenzi cha watu
less wa nyika