Watu wawili wafariki kwenye ajali ya barabara eneo la Ngata, Nakuru
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Watu wawili wamefariki na wengine ishirini wamejeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha magari mawili ya umma katika eneo la Ngata kwenye barabara kuu ya Nakuru kuelekea Eldoret usiku Wa kuamkia Leo.
So sad, my friend Kinya n family,take heart,God is in control..
Poleni saana 😭
Poleni sana 😢😢mungu atawajunga mbaka mubone
Eishh kibet hio ni kiswahili gani 😂😂😂😂😂😂
😁😁😁
Uuuuuuui hii ni kiarabu ama aswayo?BT asante Kwa kuwaombea
Qr
To everyone watching mnipitieko leo tafasali nafanyako comedy 😂😂
Omba accident utapata ati unajeka wengine 😢