Joseph Mbilinyi: Maisha yangu yalibadilishwa kwa kukisoma kitabu kimoja tu
āļāļąāļ
- āđāļāļĒāđāļāļĢāđāđāļĄāļ·āđāļ 16 āļĄāļī.āļĒ. 2022
- Wiki hii katika Nyota wa Afrika Mashariki tunamuangazia mwanamuziki nguli wa Hip Hop nchini Tanzania Joseph Mbilinyi a.k.a Mr 2 Sugu ambaye ni mwanamuziki, mwanasiasa na muandishi.
Mr 2 Sugu amekuwa kwenye sanaa kwa takribani miaka 30.
Alifanikiwa kuliwakilisha jimbo la Mbeya Mjini kama mbunge kwa miaka 10.
Na hivi karibuni ameandika kitabu alichosimulia mambo mengi iliyopitia katika muziki ikiwa ni funzo kwa vijana wanaopambania ndoto zao kupitia muziki.
Video: ðĨ: Frank Mavura
#bbcswahili #tanzania #sanaa #siasa #muziki
My Mp big up
Safi Sana TAITA
Nahitaji hiko kitabu chako nipo Dodoma