Ziara kwa waislam wa maramvya/kukosa sehemu za madrasa/ufinyu wa sehemu za ibada.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Mahojiano yalikuwa marefu na changamoto tulizikuta nyingi katika mji wa maramvya, sikiliza mzee wangu alichokisema kuhusu maendeleo ya jamii
#annusratv
#abuumansourissa
#dodiernassor
Baarakallahu fiikum
Hii ziara nimeipenda sana kwa kweli
Mia Mia ndizo kazi hizo twapenda waislam wafaham hali za ndugu zetu waislam
MashaAllah MashaAllah nimependa kipindi Allah awazidishiye gheri na baraka
Aamiiin
Masha Allah Tabaarak Allah , Allah awalipe kwa kazi yenu nzuri
Naam, Aamiin
Ziara nzur mashallah Allah awalipe kila lakhreri
Aamiin, shukran
Karibunitena maramvya haswa haswa hapa kirapatrie
Naam, shukran sana
Mawasiliano yetu ya whatsapp haya hapa 75796722
Tuandikie ili tuweze kufika hio sehemu, kwa sababu hatupajuwi