Haya sasa mda umefika ngoja nikamuone dada yangu zatiti nianze kutabasamu 😅😅😅😅 haya si ndo mambo sasa I love you zatiti kama na wewe unampenda zatiti gonga like
Jamani nimefrahi sas zatiti kuwa pamoja na tasha...ila candy anaigiza uhusika wake vizuri yan haonywi mtoto skio la kufa yan hasikii busati tv kazi nzur sana
Jaman family ya Tasha imezidi kupamba moto na mama mkwe anazidi kumpa somo zatiti. Mr Tasha asije akaramba asari kweli mama mkwe kampenda zatiti.wanaokubali family ya Mr Tasha gonga like na maua hayoo🎉🎉🎉🎉
Time mr tashaaa na da zatiti tuwaombee mapenzi yao yasije kuharibika tena Mungu awajalie nawapenda sanaaaaaaa pamoja na mama tasha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama Tasha ama kweli umempenda sana zatiti 🥰🥰ila hiyo tuwaombee maana itakuwa heri ya Kai na Zuu ilikuwa na hadui mmoja ila hii niwa tatu 😭😭Chiko,sania AkA kakondee😂halafu na Malkia🥹Zatiti umeingia kwa vita vikali mungu akutangulie 🙏🙏nakupenda sana❤❤🙏🙏
Team. Kai tuendelee nayo mpaka tuone Mr Tasha na zatit i wanapata mtoto na kendy na Chiko wanafarakana kama umeshuti hamjafika kipande hicho mrudi location ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyo wifi alompata keina candy mbona atakoma wifi huyo km muhindi😂😂😂atatumwa huyo mpaka bc Mama Tasha anamsimamo na ht mama candy pia htk ujinga ila tu mtt hakupata
Waouh dakika tu 58 Tayari coment mia 2 n'a kitu Tulio toka pamoja Tik tok hadi sasa tupo you Tube muweke lik chap chap ❤❤❤❤❤ Busati TV oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉
Zatiti nakupenda mpaka basi we n Tasha pmj mama Tasha mwanipa mafunzo kwakweli ❤ zuu n mke Bora uwsipenda familia y Kai pmj n Kai mwenyewe ❤ ila candy kazidi jamani 😂
Mama Tasha yupo vizuri kwa mashauri lkn kitu moja ninaona anaenda kombo kidogo nikuangalia smile ya nje ata kbl kusoma tabia ya mtu kwa mfano ile tym ya KAMKODEFU SANIA mwisho wasiku anapata mawaidha yake au ushauri wake umegonga nguzo Anyway she is good 👍 napia movie nitamu sana
Mama tasha, zatiti na tasha nimepata mafunzo kutoka kwenyu nani pia amesoma kutokwa kwao tuwape likes jameni❤❤
Mm pia
Sio kwenyu ni kwenu rekebisha kiswahili😊
😂😂😂ata mm nilikua namuambia ivo sema tu umeniwah@@Asyawaamidu-g7p
Wapo vizur san
Hata mimi pia nimejifunza sana katika hapa kwa zatiti tasha na mamaake ❤❤❤😂mungu awaongezee baraka
Haya sasa mda umefika ngoja nikamuone dada yangu zatiti nianze kutabasamu 😅😅😅😅 haya si ndo mambo sasa I love you zatiti kama na wewe unampenda zatiti gonga like
Tunawqpenda sana tu famlia ya tasha❤
❤🎉
@@bintijumachongoa892 sana
Mm nafurahia hatarii ❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉
Penzi la Tasha na zatiti linafanya team viewers TH-cam tutabasamu tu., like zenu jamani wenye mnatabasamu
penzi lao limefanya house girl imenoga sana zatiti aolewe na Mr tasha
@@SAUDAALI-n6o sanaaaa ka movie kamenoga sana
timu zititi mko wapi gongeni like tujuane
Jaman maliza kwanza house girl ndo muanze my mother et
Zatiti sio zititi@@NYUNGIJAMES-vo1ep
Ila zatiti apo kwa love story❤ umeweza mbaya hadi kwa iyo season ya my mother we aki uko na talent ya iyo character yani unakacheza mbaya🇰🇪👊👊
Ukisema cha nn wenzako wanasema watakipata lini ambao tunawaza chiko atajuta kumuacha zatiti like kidogo 😂😂😂😂😂😂😂
Wape michapo😂😂nimependa hio
@@RizikiStadza 😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
Nampenda huyu mama tasha jamane wanao mwamini mpeeni likes 🎉🎉
Tupooo
Hatimaye kwakina Tasha Kuna furaha sana mauwa yao❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
Jamani Léo ni wa mwisho najuwa sita Pata like
Me nakupa mdog wangu like ❤
Nampenda Zatiti jamani anavyo ongea naanavyo ceka wanao mpenda kama mimi tujuwane❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nice🎉🎉🎉😊
at mm nampenda sn jamn❤❤❤❤❤
Hata mm namenda mnooooooo unit nimrembo na anatabasamu bury jmni
Nampnda mno anatabasamu zury
Zatiti mzuri mno jamen kwakwel
Upendo wa mama tasha kwa zatiti me ndo I like❤❤ mapema tu na atuombi like
Duh huu msemo ushaleta mpak huku kweli chado kashawaaribu wadau wake me hiyo ndo l like 😂😂😂😂😂
@@nasrachimamy😂😂😂😂😂😂jamani
@@nasrachimamy teeeeeh
Wanao mkubali zatiti gonga like hapa
Mim nampenda Sana
Namiye'nampenda zatity jamani hahowane Natasha.
Hi samiya hahumbuke nahapate haya.
Leo wa kwaz jaman naombeni like hata 2
Leo msipo nipa like nakua roho mbaya
Nimekupa kua roho neuri😂😂
@@RizikiZiki😂😂😂 asante simo halafu mm kila cku huwa nakupa kwakweli
Tasha Kama naiina furaha yako😊❤ ...mama Tasha big up kwako mama ...Kuna meng najifunza kutoka kwako...bila kumsahau zatiti nakupenda❤❤
Mm kila siku lazima ni tazame hii kipindi naipenda sana
Jmn wanaopenda zatit na mr tasha piga lake apochn
Mama tasha nakupenda sana
Jamn leo nimewah na naipenda furaha ya zatiti Ambao mpo na mm like kwang🎉🎉🎉🎉
Mama Tasha we saf sana❤❤❤
Jaman familia ya Tashà inapendeza sana kuwa hivo piah Keina ana mama mkwe mzuri sana
Baba Kay tumurudishue mungu shukurn hayawi hayawi leo yamekuwa zuuu Kawa mkwee mauwa kwa baba Kay 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Dahhh noma sana nawapenda wote tunao tizama house girl ❤❤
Jamani naomba sana doa ya zu nakayi.musipime mutuoneshe matatizo muemunatuonesha mahaba tu mugonge lik bagupenda zu nakay
Zuu mzuri Masha Allah wanawake wote ni wazuri tofauti ni matunzo Tu🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
sure
Kwely kabisa❤
Napenda sana vile mama tasha anashauri zatiti 💯 perfect said,na ni ukweli mr tasha alifunzwa ombea na Sania 😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani kwasasa naona zuu hasemw ten mud wot ni zatiti lakin weny kupata mafunzo kutoka kwa zatiti zuli tasha pa moj na mama yake tasha gong link❤❤❤❤
Jamani nimefrahi sas zatiti kuwa pamoja na tasha...ila candy anaigiza uhusika wake vizuri yan haonywi mtoto skio la kufa yan hasikii busati tv kazi nzur sana
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yani candy anachangamsha movie 😂
Anaemkubali zatiti awe mke wa mr tasha mungu ambariki
Candy, miguu ya kuku 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂pia ww umeona
Mtuwekee vipande viwili kwa siku mshatuzoesha❤
Wakwanza Leo naombeni like🎉🎉
Nyieee mumeuon Zuri💕💕 alivybdlik na kupndez baad ya ndoa yke😍😍😍
Nimeflah kumwona mr tasha yupo karibu na zatiti, adi raha, ameteseka sana bora aolewe na tasha 2.
wp tasha weeeeee❤❤❤nimefulahi sana kukuona upo na zatiti nawapenda sana❤❤❤❤
Wooooooow❤🎉 all busati mwaaaah
Jaman wanatutesa wanatucheleweshea jaman zatt na Tasha ❤❤❤
😂😂😂umeona eee
Jaman family ya Tasha imezidi kupamba moto na mama mkwe anazidi kumpa somo zatiti. Mr Tasha asije akaramba asari kweli mama mkwe kampenda zatiti.wanaokubali family ya Mr Tasha gonga like na maua hayoo🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤mama Tasha waoooo ongera sanaaaa nawaombea muweze kufanikiwa Tasha na Zatiti waowane mapema jamaniii mama Tasha mtu mzuriii sanaa
Leo nimefarijika kuona zatiti na tasha wakiwa kwenye furaha❤❤❤❤❤ kutoka 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
Leo nimekuwa wa kwanza like zenu plese kama mpo online
Candy anaigiza had kutuboa mashabiki fanyeni mmalize tu ❤
Time mr tashaaa na da zatiti tuwaombee mapenzi yao yasije kuharibika tena Mungu awajalie nawapenda sanaaaaaaa pamoja na mama tasha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mi namtaka kibendu kipenzi changu aky nampenda kibendu❤😂🎉
Anae mpenda zatiti kama mim ninavyo mpenda gonga like
Mama Tasha ama kweli umempenda sana zatiti 🥰🥰ila hiyo tuwaombee maana itakuwa heri ya Kai na Zuu ilikuwa na hadui mmoja ila hii niwa tatu 😭😭Chiko,sania AkA kakondee😂halafu na Malkia🥹Zatiti umeingia kwa vita vikali mungu akutangulie 🙏🙏nakupenda sana❤❤🙏🙏
Hee kumbe candy nae anaujua mrenda 😊😊😊 na mashauzi yake😁😁
leo nami kdg nimejitahid like zangu🎉🎉
Team. Kai tuendelee nayo mpaka tuone Mr Tasha na zatit i wanapata mtoto na kendy na Chiko wanafarakana kama umeshuti hamjafika kipande hicho mrudi location ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama Tasha nakupa maua yako mana uumenipa somo kubwa sanaaa❤❤❤
Kusema kweli nimejifunza mengi sana kutkana na mov hii mungu awajalie na awabaliki muendekee kutu lingania
Hili si kovu bonge jerah maumivu nakosa Raha ....aseee bomba la muvi chiko jipange kabsaa maan hapo n trela bado muvi 👌👌👌🤣🤣
Jana na leo mmenifurahisha sana wana busati yani nawapa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🇰🇪
Mama Tasha Nimependa kufuza Zatiti Hongera Mama Tasha Nawapenda wote nawapata vizuri oman❤❤❤❤❤
Nafurahi sana mama tasha kwa ushauri wko hata mm didah nimeupenda much love mom❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mm ndio wa kwanza leo nipeeni likes
at least zatt amekua na raha ..ole wako chiko na sania muanza kusubua zatt wagapi wamepende zatt na tasha😂
Nakupenda sana Mama Tasha,❤❤❤❤
Mama tasha namie Leo nitakuwa mwalimu kwa mwanangu akitaka kuolewa nashukulu nimepata darasa kutoka kwenyu❤❤❤
Naisii Raha Sana nikiona Mr Tash akiwa Na satiti.
❤❤❤❤naeza tuma voice maana hasikia raha kuona familia ya tasha ikiwa na furaha hivi kama pia wewe umefurahi like ata moja basi🎉🎉
Wa kwanza ni mimi kwanza nikuja kuwapongeza chiko tasha nakahi Mnajuwa kupigilia izo sutu na carvati 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
SUTI SINAWAPENDEZA SAAN🎉🎉🎉🎉🎉
Jama like kwa busati jaman kazi nzuri sana mau yenu hayo🎉🎉🎉
Ila mama tashaa 😂umenifurahisha leoo , kama kunamtu amefuraish wa na mam Tasha like zenu❤
Jamani ee busati wanatupa raha🎉😢🎉 anaekubaliana na mm agonge like hapa ❤❤
Sanaaaaaaa
Jamani mutuoneshe ndowa ya zatiti na tasha naisubiri kwahamu
Achana na wanaosema kama wameichoka kama wameichoka wasiitazame kwani wameshurutishwa kuiangalia
Kweli kabisa
Huyo wifi alompata keina candy mbona atakoma wifi huyo km muhindi😂😂😂atatumwa huyo mpaka bc Mama Tasha anamsimamo na ht mama candy pia htk ujinga ila tu mtt hakupata
Team oman😂😂tunatazama huku tunakula sapa gongeni likes ,ila sania bna wamoja niwamoja kweli hta ukimpea ya pili yye atachukua moja tu😂😂
Nimenogewaa kwa huyu mpenzii❤❤❤❤ nimenogewa kumuacha siwezii❤❤❤ ak hii nyimbo n zaid ya amazing ❤❤❤❤❤
Watuambie hata muimbaji jaman
😂😂😂😂😂nimeona nicheke haya nimewahi
Jamn movie hiii inamafunzo mengi San haswa kwa Tasha zatit na zuli hongern San jamn mtuambie episode ya 40 Lin mnatoa MN naisubl kwa ham sana
Waouh dakika tu 58
Tayari coment mia 2 n'a kitu
Tulio toka pamoja Tik tok hadi sasa tupo you Tube muweke lik chap chap ❤❤❤❤❤
Busati TV oyeeeeeeeeee🎉🎉🎉🎉
Mnaomba like kila siku mimi niuzieni jaman
Family ya Mr Tashaa +Zatiti +Mama Tashaa mambo mwerere mwerere 😂😂😂❤❤
Apo lazima zatiti abebe mimba ya Tasha kabla hwajafunga ndoa Nan anabisha
Hahhahahahahahahaha
jamani tunaejiuta tunachek tu kwa fammiliy ya tasha kwa mapenzi yao namahaba gonga like hap
Zatiti nakupenda mpaka basi we n Tasha pmj mama Tasha mwanipa mafunzo kwakweli ❤ zuu n mke Bora uwsipenda familia y Kai pmj n Kai mwenyewe ❤ ila candy kazidi jamani 😂
Leo nmewahi mapema,,,,kutoka kenya ,,jamani naomba like,😊
Tunawaomba BUSATI mkitaka twende sawa malizien kwanza hii house girl,,ndio tuendelee na my mother au wenzangu mnasemaje
Enyew
Kabisa apo mnatuzingua sana
Wanatuchanganya sana
Acha kufundisha watu kazi
Acha kufundisha watu kazi
Huku mama Tasha na Zatiti❤❤ Na huku mama Candy na Kayna mambo ni ❤❤❤ Ila nimejifunza kitu kutoka Kwao tuungane basi Kwa pamoja 🎉🎉🎉🎉
Mama Tasha amevaa uhusika halis kabisa wa mama jmn mam tasha ❤❤❤
Mama tasha .zatiti. tasha❤❤❤❤❤❤❤
Sikuizi amtupeleki vizuri sisi kama team 🇰🇪🇰🇪siku nzima tukiwa twangojea😅
Leo tasha ametowa meno yote sababu chakula tamu, hongera zatiti ,bt mume edana kwa kweli,hongereni kwa kazi muzuri wana house girl nawapeda bure
Nishaichoka kwakwer achaniwaache nyie mnao endelea kufatilia mm bas 🙌🙌🙌🙌
Mama tasha nampenda san❤
❤❤❤ good work team busati mombasa ishatinga tayar🇰🇪🇰🇪
Uongo dhambi hii familia ya mama Tasha napenda sana❤🎉
Naomba like nmekua wa kwanza kutoa comment😅
Mbn m sipew like jmn duuhh hy tim zatiti tuje taratib😅😅😅
Kazi nzuri
Kazi nzuri sana team Busati🇹🇿
Habar zenu natumai ni wazima nawapenda nyote like zenu kama mnanipenda pia❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Filamu inanipa mood saana nikiitazama I love so much
Mnatuweka roho juu juu kuchungulia kila saa jaman
Jaman huko nyuma kujeni taratibu mnanikanyaga uwiiiii mnaniumiza
❤❤❤
Zatiti umeunguza hapo yaan hata haujaolewa wasema mmewangu Na mume ameingia nyumban😊 badala uache kula akaoge Kwanza wew wampe atayari chakula
Jamani nisiwe mnafki tangu nianze kuiyangalia hii house girl hatimae leo nimewaona wana busati wanakula😊
house girl Inatup mafunzo san jamn naomba tuwasapoty sana pia nawapenda sana mung awape Kila lenye kher Kwa like 5 ❤❤❤❤
Mimi mkaaji DRC Baraka napend muvihii sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mama Tasha yupo vizuri kwa mashauri lkn kitu moja ninaona anaenda kombo kidogo nikuangalia smile ya nje ata kbl kusoma tabia ya mtu kwa mfano ile tym ya KAMKODEFU SANIA mwisho wasiku anapata mawaidha yake au ushauri wake umegonga nguzo
Anyway she is good 👍 napia movie nitamu sana