Ila jmn me shabik wa Simba kindaki ndaki lkn naenjoy sana nikiwaona wasemaji wetu yaan ni aman tu tofauti na nyuma ndo enzi za yule cheupe yaan kwake huwa ni vitavita mda wote lkn hawa watu naenjoy sana kuwafatilia😂😂😂😂😂
Ushauri Mkubwa uhamasishaji wa timu yetu ya taifa kuwe na wasemaji wote wa timu zote za ligi kuu. Ushauri mdogo kwa Ibwe Asitafunefune akiwa mbele ya media akihojiwa.Ndimbo,Ahmed na Ali wangemwambia kabla.
Mashaallah mpira si uadui apo waongezeka na wasemaji wengine walig kuu ,wakina masanz,isa mbuz nawengine
Ila hawa watu hawa watengenezewe masanamu yao tu maana wana tufanya wapenda mpira tu enjoy tu apo kama co wao😂😂❤
Ila jmn me shabik wa Simba kindaki ndaki lkn naenjoy sana nikiwaona wasemaji wetu yaan ni aman tu tofauti na nyuma ndo enzi za yule cheupe yaan kwake huwa ni vitavita mda wote lkn hawa watu naenjoy sana kuwafatilia😂😂😂😂😂
Mpira ni vita halafu pia manara ni manara tuu, watu hawafanani.
Nawapenda mnavyopendana na kuonyesha utani usio na maudhi
Hashi. Anatafunaje huyi😂😂
Hawa majamaa ni marafiki sana😂😂😂
Asante sana ally
Alikamwe big
Ushauri Mkubwa
uhamasishaji wa timu yetu ya taifa kuwe na wasemaji wote wa timu zote za ligi kuu.
Ushauri mdogo kwa Ibwe
Asitafunefune akiwa mbele ya media akihojiwa.Ndimbo,Ahmed na Ali wangemwambia kabla.
Ukitakakugombana na wakristo wesema yesu sio mungu
Unabebwa na mke wa mwenzio 😂😂😂😂😂
Hawa jamaa ni hatari Sana wanakuw Tanzania iwe juu kwa wasemaj
Ali Kamwe anaongea sana akati hamna anaejua kesho
Hamasa sawa. Lakini je timu yetu ina ubora kiwango hicho?
Hawa jamaa wamekuja kumpoteza " KALIKONJI"🤣🤣
Congo itawafunga hata kwenu hapo mkijikaza mtagawa lakini nguvu za kushinda congo hakuna bali mnanguzu za kuongeya za kupamba team yenu ya taifa stars
ALLY KAMWE kwel amekuua sahvi
Wakwanza nipeni like zangu😅😅😅🎉🎉❤❤
Hashim imbwe kama soyeye
Anaongeaga kama analiaa
Mukifuga Congo najiuwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️
Na utakufa kwl
Huna akil ww
Wanafungika tu,kusema hivyo ni kuukosea heshima mpira wa miguu nanukuu Jose mourinho alishawahi kusema football ina matokeo ya kikatili sana
Tanzania1-0DRC fist time and second time 50min 1-1 and 75min 1-2. At the end Tanzania 1-Drc2.
😂😂😂
Alafu yule bro ni shabik dam dam wa team ya taifa kwaiyo kwenye place ni bodyguard wa hao wasemaji😂😂😂mbona yy hasemi kitu
😢😢😢😢😢😢
Ally
nenda mskitini