Baraza la mawaziri la Kenya Kwanza lilihudumu kwa muda mfupi zaidi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
  • Hatua ya Kuvunjwa kwa baraza la mawaziri la serikali ya kenya Kwanza imejiri baada ya muda mfupi zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya taifa hili..Mawaziri hao ambao waliteuliwa na Rais William Ruto baada ya ushindi wake katika uchaguzi wa mwaka 2022 walianza kukabiliwa na misukosuko ya hapa na pale muda mfupi tu baada ya kutangazwa...Madai ya ufisadi na utepetevu kazini yakiwaandama baadhi yao

ความคิดเห็น • 24

  • @DrRinDing-pq8fy
    @DrRinDing-pq8fy 23 วันที่ผ่านมา +9

    Ruto must go

    • @albertmatunda5387
      @albertmatunda5387 23 วันที่ผ่านมา

      6 million Kenyans are silent.Respect democracy.

    • @kamasalothi1040
      @kamasalothi1040 23 วันที่ผ่านมา

      @@albertmatunda5387 majority wins though.

    • @albertmatunda5387
      @albertmatunda5387 23 วันที่ผ่านมา

      @@kamasalothi1040 , majority are silent.If Ruto is forceful taken out of Statehouse,Kenya will experience a genocide.Mark those words.

    • @fasssqqww3837
      @fasssqqww3837 15 วันที่ผ่านมา

      😊😊😊😊aaaàaaàa​@@albertmatunda5387

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 23 วันที่ผ่านมา +4

    Asha usi like,kumbuka Baba atukanwi

  • @januariffsammy1149
    @januariffsammy1149 23 วันที่ผ่านมา +2

    The country is rumbling at a lightening speed....

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 23 วันที่ผ่านมา +1

    Huyoo msee aliona mbele akasema Acha tupee Ruto cabinet yake

  • @kamasalothi1040
    @kamasalothi1040 23 วันที่ผ่านมา +2

    Ruto even said his ministers were incompetent.

  • @beautylightoyaro8104
    @beautylightoyaro8104 23 วันที่ผ่านมา +2

    Matiagi awe our president now

  • @tobiusjtz7607
    @tobiusjtz7607 23 วันที่ผ่านมา +1

    Waachie baba RAILA ushindi wake 2022

  • @MouseleyMarshals-fm5vr
    @MouseleyMarshals-fm5vr 23 วันที่ผ่านมา +2

    This cabinet was a total joke with people who have completely no idea of what their docket entails..sasa mtu kama Murkomen, what the fck is a lawyer doing in a docket headed by engineers??how will a lawyer head and lead engineers..next ni Aisha a criminal with cases of corruption and murder now heading gender..kwani Ruto never learnt anything from How Uhuru was making his cabinet ..that cabinet was the strngest with competent individuals who knew what they were doing...RUTO jaribu tu kufanya makosa urudisha ama to reshuffle any of those incompetent goons in the cabinet..TUNARUDI STREETS

  • @SomoIya-qh7jz
    @SomoIya-qh7jz 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @josephnduva-n1d
    @josephnduva-n1d 23 วันที่ผ่านมา

    Maziri waandikwa tena mpya

  • @francismeeme3693
    @francismeeme3693 23 วันที่ผ่านมา

    Matiagi kwa afya

  • @danielmnuvi7
    @danielmnuvi7 23 วันที่ผ่านมา

    Wachawi wowote wenye wakokwa serekari handi hunyu bichi ruto watoroke kutokaserekari

  • @johnkamau50
    @johnkamau50 23 วันที่ผ่านมา

    John badi

    • @kwesule2658
      @kwesule2658 23 วันที่ผ่านมา

      He knew they were incompetent,but the government never took him seriously

  • @JbBroMusic
    @JbBroMusic 23 วันที่ผ่านมา

    How would they know more than you when you've put there novices and incompetent cabinet secretaries.....you and your fellow failures must go!!

  • @Emily11-11
    @Emily11-11 23 วันที่ผ่านมา

    Baraza la thugs..conmen na dimwits

  • @CatherineMutuku-hd9vv
    @CatherineMutuku-hd9vv 23 วันที่ผ่านมา +1

    Washa iba za kutosha maubwa but we need matingi come back

    • @albertmatunda5387
      @albertmatunda5387 23 วันที่ผ่านมา +1

      Kenyans should respect democracy.
      Inflation is hitting every country (high cost of living is everywhere)
      Politicians are the same (Matiangi Ruaraka scandal)