Ilikuwa mwaka 2003 kufika dar ,nikienda kuripot Pugu boys kidato cha tano.Nikafikia kiwalani kwa dadangu.Nikiwa home nasikia hizi nyimbo zikiimbwa kutoka ktk kanisa la bethel kiwalani..Mungu aibariki kazi yenu.Nawasikia tena leo nikiwa mtu mzima na familia yangu.Namwomba Mungu niwakumbuke wasiokuwa na uwezo as mimi uwezo wa kula ninao.Asante Yesu kwa neema hii ya wokovu.
Acha tu ,yaani hii kwaya ilikuwa kiboko,lakin kwa ss weshasambaratika ,Hali ya Maisha imefanya mambo yabadirike,wengine wamehama,wako sehemu nyingne wanatafuta maisha
Ndio maana Mungu akatoa kibali cha kurekodi ili nyimbo ziendelee kuponya watu. Kusambaratika hutokea hasa mbeba maono akiondoka. Tushukukuru walivyorekodi.@@NoahLugano-ij8co
Inanikumbusha mbali Sana nikiwa binti mdogo, nilikuwa naimba Sana hii nyimbo, mpaka naolewa sikuwahi kuikinai, hata Sasa naendelea kuiimba mpaka wanangu wananiiga. Hakika bethel mlijua kuimbaaaa.
2023 Desember 12 nipo nabarikiwa hapaa❤❤❤❤
Ilikuwa mwaka 2003 kufika dar ,nikienda kuripot Pugu boys kidato cha tano.Nikafikia kiwalani kwa dadangu.Nikiwa home nasikia hizi nyimbo zikiimbwa kutoka ktk kanisa la bethel kiwalani..Mungu aibariki kazi yenu.Nawasikia tena leo nikiwa mtu mzima na familia yangu.Namwomba Mungu niwakumbuke wasiokuwa na uwezo as mimi uwezo wa kula ninao.Asante Yesu kwa neema hii ya wokovu.
Acha tu ,yaani hii kwaya ilikuwa kiboko,lakin kwa ss weshasambaratika ,Hali ya Maisha imefanya mambo yabadirike,wengine wamehama,wako sehemu nyingne wanatafuta maisha
Ndio maana Mungu akatoa kibali cha kurekodi ili nyimbo ziendelee kuponya watu. Kusambaratika hutokea hasa mbeba maono akiondoka. Tushukukuru walivyorekodi.@@NoahLugano-ij8co
Any one who listen this song 2022 like me!
Nilikuja kwako sina nguo lakini ulinivisha! What a strong message! 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Inanikumbusha mbali Sana nikiwa binti mdogo, nilikuwa naimba Sana hii nyimbo, mpaka naolewa sikuwahi kuikinai, hata Sasa naendelea kuiimba mpaka wanangu wananiiga. Hakika bethel mlijua kuimbaaaa.
2020 viewers tujuane
2021
My best choir in the world BGS
Very prophetic song for my year 2023
Asante saana waimbaji nyimbo nzur kitambo saaana
Kiukweli album yote ilikuwa na nyimbo nzuli sana kiukweli nakumbuka mbali sana kiukweli niomben na mm niludi kwa bwana😢
Huyu dada anyeimba kafanana na anni anie
Wimbo nimeutafuta kwamiaka kumi tangu nilipouskia nikiwa mdogo god bless you
Mungu awabariki mpaka Leo na barikiwa 2024
Izi ndo nyimbo za kutukuza sio za sasa za kutafuta pesa😂😂😂😂
Kabisaa Dunia Ina waya waya ,yaani Mungu atujalie mwisho mwema
Nyimbo nzuri za utukufu,sio hizi za wololo wololooo
Inanikumbusha enzi za udogo wangu
#tusichoke kutenda mema😊😊
Nimekumbuka mbali Sana nikiwa kwa mjomba iringa wabalikiwe sans
Wimbo naupenda sana una maneno mazuri sana! Barikiweni
Hii kwya ilikuwa kiboko,yaani natamani siku zirudi nyuma ,Bethel Hawa kiwalani
Annah annie still uko Kwa hii choir God continue blessing u good soloist
Hakika Mungu ni mwenye huruma, wimbo huu naupenda sana,
Kipindi kile TV hata hamna. Kijijini mwenye TV mmoja tu twaenda wote kwa huyo. Mubarikiwe nyote
Vipi siku hizi?
Kweri kabisa kipindiicho kilikuakigumu sanna
Jamani huu wimbo unanikumbusha nikiwa Kigogo 2000 wapendwa Mungu awabariki kazi yenu ni njema
Jamaa walikuwa wanaimba viziri Sana hasa upande wa vyombo walikuwa wanajitahidi Sana Hivi wako wapi siku hizi na kiongozi wao Ruben
Amen it’s been a while since I heard this choir
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana sana mwaka 2006 nikiwa Bomalang'ombe huko Kilolo
Wimbo Unaturejesha kwenye upendo wa Kwanza wa agape nimebarikiwa sana
Kingdevd wako vizur
Hakika old is gold
Mko wapi wapendwa
Jamani rudini kundin nyie kondoo wa bwana
Nyimbo safi sana. Mungu hawapaliki amen
The days when real gospel thronged in our country
He safi sana.Nilikiwa Bomalang'ombe Kilolo
Wapo Redio 2003
Kwa wimbo huu Hamtakufa Bali mtaishi asema Bwana wa Majeshi
sionene likasote
Amen faith
2022waulumieni wenye matatizo
Amen❤🎉
Yupo Mungu
Alafu Iyi Wimbo ya Upendo Ina ni pâtia MOYO Hallelujah Hosanna Amen Amen Amen Mu barikiwe DAIMA
Wasaidieni wasio na mavazi wavikeni wote.
nabarikiwaaa saaaanaa nyimbo inanikumbushaa mbariii saanaaa mungu awabarikiiii
Amen
Best song ever, hongera Sanaa mubarikiwe
Very powerful message n musical instruments ziko vizuri saaana
Hii nyimbo nakumbuka miaka zaidi ya kumi nyuma 😩😩😩
Cosmas Mpwage mim miaka 15 iliyopita. Nilikua iringa choka atari. Ama kweli mungu anatenda
Nakumbuka sana miaka ya 2000,nikiwa ninaishi Kiloleni nyumbani kwa Mbise,Tabora
Naikubali sana hii nyimbo
Mko poa Sana Wana waMungu
2024 Bado nasikiliza
Wako wapi jaman haw wapendwa
Amina nabarikiwa sana
👏👏👏🙏💚
Very powerful song
Nimebarikiwa sana sana
I love this song
Amina! Wanadamu tupunguze ubinafsi tusaidiane!
❤❤
Great song .... blessed all of you.
Haleluya mungu ni mwema
Hakika MUNGU yupo.
Jamani nimyimboni nzuri
😭😭🙏
Aimeen!
❤️❤️❤️❤️❤️🙌too long
Wahulumieni
Very Impressed by this song👍
Amen