Bethel Gospel Sifa Lipo Jibu Official Video
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Huu ndio muziki wa Injili achana na gospel music.....albamu ya WAHURUMIENI.... ilitungwa kwa uongozi wa Roho Mtakatifu nyimbo zote lazima zikusogeze uweponi mwa Mungu.
Mungu awabariki sana kwa kuimba katika roho na kweli. Hakika Roho Mtakatifu aliwaongoza kutunga wimbo huu ndio maana unabaki mpya siku zote
Album nzima ya WAHURUMIENI ilikua na itaendelea kuwa bora. Nyimbo zote zina UKUU wa Mungu ndani yake. Hallelujah!!!
Nyimbo za zamani za kiroho zilikuwa na heshima sana, akina mafuta ya upako wala keki watu walipona kwa ujumbe wa uimbaji tu
Hakika wimbo huu Una ni fariji sana Hallelujah ❤
Wimbo unanikumbusha mbali sana 🪴 Mungu awabariki sana kazi iendelee 💞💞💞💞💞💞💞💞
Wapiga vyombo nao ni hatariii, nyie waimbishaji hatariii, wanakwaya wote ni hatarrrri.
Aise hatimaye nimeupa kila siku nausikiliza Wapo FM halafu unakatishwa. Mungu awabariki sana watu wa MUNGU kwa jumbe na mahubiri yenu yanayoishi hadi sasa. 🙏🙏🥰
hivi huyu mtumishi aliyetunga hizi nyimbo yupo? alitulia nimesmis kila tamasha kubwa hapa dar es salaam hii kwaya ilikuwa haikosi kweneye jukwaa 2005 iyo
Mtunzi wa nyimbo hizi kiukweli roho wa Mungu alikuwa pamoja naye
Mbarikiwe nanyimbo zenuzote zinanibariki sana kweli KWAMUNGU hakuna kuzeeka❤❤❤😅😅😅
Lipo jibu la maisha yangu 2023
MUNGu awawezeshe naamini Bado mupo vizuri mungu awabariki
Kikosi Cha mizinga hapa shetani ,alikaa kwakweli,much love from2022 hakika liko Jibu
Nakuona hapo NAOMI DANKAN una solo wimbo
Very nice
Kwa kweli Mungu azidi kuwabariki sana popote mlipo
Huwa nakumbuka mbali saana nikisikia wimbo huu machozi hunitoka
Huu wimbo unanibariki sana najisikia amani sana
Bonge la wimbo hongereni sana sijui ht mnaendeleaje na utumishi, Mungu awatunze
Amani ya Bwana iwe na watu hawa. Nyimbo hii ilinibariki sana.
Hakika nafarijika
Inawezekana Hosanna Chetani a lichindwa ku Mu salaba ku Golgotha Amen Shalom Shalom Amen Amen Hallelujah Mubarikiwe kamwe
Hallelujah hallelujah Hallelujah Hosanna Hosanna Ndio Inawezakana N’a Yesu Mu barikiwe DAIMA Amen Amen And Amen
Mungu awenanyi daima waimbaji hii nyimbo niinjili tosha mungu awappe uzima
Hakika lipo jibu kwa Mungu, kwake hakuna gumu.
Sitakata tamaa. Najua jibu lipo
Hakka huuuu wimbo ni umesheheni maneno ya hekima balikiwa sana kwaya hiii❤
Hakika hakuna gumu kwa Mungu
Kikosi kazi nakimisi sana
wimbo mtamu sana
Nyie mungu ni mwema mbarikiwe sana
Lipo jibu lamaisha yangu 🥰
Amen hallelujah Dadaaaaaaa mupendua Shalom Shalom Amen
Nakumbuka mbali huu kwakweli Mungu ni mwema.
Miaka 16 imepita sasa,,,
Iliwezekana kwangu na hakika sikukata tamaa! Mubarikiwe sana!
Hakika yaliwezekana Mungu ni mwema
Wimbo mzuri! Napenda kuusikiliza sana! Mbarikiwe sana!
Amen ahsante kwa kubarikiwa endelea kutuombeaa
Natoka machoz nisikiapo wimbo uu akuna rinaloshindikana kwa mungu
Kwerikabisa mungu yupo
lipo jibu la maisha yako,usikate tamaa love too much Bethel
Amina waimbaji wote mko vizuri
Kaka ndoshi mwendo umeumaliza kaz yako inaishi
Hii kwaya Bado ipo jamani ! Nawapenda Sana hii ni albam bora kweli kweli ! Lipo jibu kwa MUNGU hakuna linaloshindikana kwa MUNGU popote mlipo waimbaji mbarikiwe Sana na MUNGU awape nguvu muendelee kutuletea ujumbe wa MUNGU kupitia uiambaji wenu
Tupo Salama na tunaendelea vizuriii sanaa
@@johncharlessingano8551 hakika hiki kilikuwa ni kikosi kazi hatari sana ! Albam vipi ?
Naomba utuombee na usubiri kwa hamu mwaka huu hauishi baba karibu pia kanisani kwetu BETHEL CHURCH KIWALANI..
@@johncharlessingano8551 naam tuombeane uzima mungu atupe uzima tu ! Nawaombea mfanikishe kutoa albam naamini itakuwa Bora kama lipo jibu japo tutamkosa soloist matata sana !
Kila siku natamani kuusikiliza unanibariki sana
wooow unataka nn Bwana akutendee? sichoki kuwatazama Mungu awabariki saana
Hakika Bwana awabariki sana, 2006 niliwaona,pale yombo vituka, mliwasha moto hatar, nawaombea, sijui kama,bado wapo?
bado wapo
@@tunuazizi8348 wapo wap siku hizi, au ni huko yombo
ndio wapo Yombo.ila huyo Kaka ,(Sololist wao)Amefariki kwa ajari mwezi wa 4 akiwa anaenda Sumbawanga.
@@tunuazizi8348 ooh pole sana, so pole sana, we uko wap,, hebu nitafute kwa namba hii
@@tunuazizi8348 mwezi wa nne mwaka huu wa 2019 ?
Wimbo huu unanibariki sana
jamani hawa jamaa wapo kweli, daah nakumbuka cku moja jangwani waliwasha moto 2004 kwenye mkutano wa injili,aisee wapo kweli hawa jamaa
norves Kapombe ndiyo wapo, isipokuwa mwalimu wao amefariki kwa ajali ya Gari.
Wapo
Yes the BIG NOEMBER walkuwa hataree sanaaa hawa,Mungu awaweke saanaa....R.I.P MWALIMU
Unahitaji Nini kwabwana jibu lipo
najipa moyo lipo jibu xiku moja nitanyeshewa baraka ya ajabu maanake mwanadamu hawezi nitendea kama maulana wangu.
wapendwa watu Wa Mungu tunaomba albam yenu mpia .
Wako wap waimbaji wenye kujistili kama wazaman
Kwa kweli kwa mungu yawezekana
Jamniii congratulations
Nawakubali Sana mungu awabarikini
Acsenti. Ba pendwa Choirs y’a Nguvu na Powers tena na Impact
Good song.
Always gives me power to move ahead
Gallary
ndugu naomba jibu huyu dada anaitwa Ann Annie
Sara mwangende
Asanteni sana, mumenibariki sana kwa wimbo huu
Wadau Jamani hii kwaya bado ipo ? Maana walikuwa wanatisha balaaa nakumbuka kwenye mkutano mmoja wa injili dar waliwasha moto kwelikweli !
Bado wapo
What part of Africa are they from
@@Graceabondante470 from Tanzania dar es salaam city
@@Graceabondante470 Tanzania 🇹🇿 we are from Tanzania Dar es Salaam..BETHEL CHURCH YOMBO KIWALANI
Nikisikilizaga huu wimbi napata faraja kubwa sana moyoni kwamba ipo siku nami nitafanikiwa
Lipo jibu la shidaaa yaaakoo amen
Choirs muzuri y’a Chewo
Lipo jibu betheri
Chachafrommigori
Kazi muzuri sana y’a Mungu mu n’a tumika Nyimbo muzuri za ma fundisho mu n’a vala manguwo za Mbingu Amen Mungu a mibariki wote Asenti sana wapendwa
O my God 2005 memories still fresh....can anyone tell what lipo jibu mean? We just used to listen to this music so much
"Lipo Jibu" There is an anwer to God, ask and pray anything He shall provide....
Waooooooooh nice to see u Bethel again, ubarikiwe ulie upload hii kitu so blessing
Maendeleo kusikiliza ngomahii 2022
Lipo jibu la maisha Yako
th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NIh/w-d-xo.htmlttps://th-cam.com/video/d-3kQOSW-NI/w-d-xo.html
Aminaaaaa.
Mungu awabariki sana,💪
Kweli lipo jibu kwangu mwezi huu wa 4 _2024
inawezekana
supplies to you 5:09
Liko jibu
Alafu Na Iyi Wimbo Amen
I like this songs so much l wish to now where this choir is in Tanzania
God bless you all and just now you make me happy for your songs
Hakika MUNGU wetu ashindwi na kitu yote yawezekana kwake.Tazama ww ni bwana,MUNGU wa wote wenye mwili Je kuna jambo gumu lolote asiloljweza.
Wapo Wapi jamani walikua vizuri
Asante bethel kwa nyimbo zenu zinanifariji sana .Mungu awainue ktk Huduma yenu .
Nawamisi sana hawa watu
Congratulations God Blesses you guys Beautiful song
These songs have living power...
I love this choir 2004 they done very well i like this sir how was singing
Aise wimbo huu wanikumbusha .mwaka 2004 dar=essalam wapo radio na praise power radio ilihiti sana mbarikiwe sana ongezen nyimbo zingine
Yes
Endelea kutuombea tutaachia Ngoma mpyaa
mic u bethel
Wapo kweli hawa
Tupo mpendwa
Kuriagospel
Kwa yeyote yule anaowafaham vizuri waimbaji wa kwaya hii anipe taarifa sahihi kuhusu huyu soloist wa kiume kuna siku niliona mdau mmoja ameandika eti alishafariki kwa ajali ya gari ! Je hizo taarifa ni kweli ? Please inform me
Damian Makala Ni kweli alifariki mwaka jana mwezi wa nne
@@tumainimgaya633 aise dah
@@tumainimgaya633 bado wanaimba na je wana albam mpya tofauti na hii ? yaan hii kwaya naipenda sana
Yaani imeniuma kweli nakumbuka niliwahi kwenda kanisani kwao siku nyingi Sana nilikuwa bado sijamjua Yesu
Amina
❤❤❤❤
Very nice!
Lameck Silinu0762197519 mzuri sana mbarikiwe sana
NIMEUSAKA WIMBO HUU ALL OVER!!!
Amina! nimebarikiwa sana na wimbo huu
❤
Nice song
Munguawabalik
Liko Jibu hakika 2022
Soloist umetuachia kumbukumbu ya milele kamwe haitafutika brother ! Hivi ni kweli hizi taarifa ni za kweli au ni porojo huyo soloist alishafariki kweli ?
Kama amekufa kweli huyu sololist nimeumia sana maana nilitamani siku moja nimwone ,lakini ashukuliwe mungu kama amekufa akiwa bado anamtumikia
@@mbakimwakilema2043 sina uhakika maana hata mie nimeona mtandaoni , kama kuna mwanakwaya au mtu anaemfahamu huyo soloist atuambie ukweli ni upi maana mi huyo huwa namkubali sana tena
Nashukuru kwahilo ndugu maana nimeshituka dada namkubali sauti yake ilfikisha ujumbe mungu sawsawa moyoni mwangu
@@mbakimwakilema2043 ila kuna mtu humu mtandaoni alithibitisha kuwaalifariki kwa ajali ya gari
Jamani mbarikiwe sana
❤❤❤❤