WAKTI BONGO MOVIE PART 1 ( JACOB STEVEN)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2020
- Cast
Steven sandhu, Regina joseph, Jacob steven
has its appropriate time. Vanesa falls in love with a young man Samuel while at the time her father doesn't agree to such relationship and seeing her mixing love and education at the sametime.
Nakubali Jacob Stephen kazi mzuri ya u con man mpaka ukawa professional ukaona wacha tu sai nideal na white people Safi Sana
Katika ma actors wate wa bongo movie kwa kiume, Huyu number I, I really like his movies.
Mbona wengine wanasema eti num 1 ni Madebe ? Lakini mimi napenda sana jb na Ray
M..
.
Hizi ni aina ya movie ambazo zilikuwa zina nyanyua SOKO LA BONGO movie ktk nchi yetu, Kwa sababu ya vitu 2 (Script imebeba uhalisia na pia language mix approach ni nzuri)
🤣🤣🤣Am so proud with my tribe.........Mama vekuosha kirundu........vana vakaa kindu ani🤣🤣
❤❤ Nice 👍 job
Nakubarigi kazi zako nikiwa mocambiq
Very good movie America I'm from Burundi
iko vizur sanaaaa
Big up unajitahida sana jaman mnarudi ezi ya kanumba
we uko dunia gani
Jaman movie ina enda na uhalisia familia zenye pesa bongo wanaongea sana kingeleza so waachen bwana wavunje yaiii😂 ao awaja toka buzaa kuleee
kweri kabisa
Movie nzuri Mashaallah
Mchezo mzuti sana hengere Jakubu
Vathu jamani haya tonga mboha yeto.
Ni nzuri kweli au
Inaonekana ya kitambo sanaa maana hp jb kijana na hy bibi kijana kiufup yakitambo sanaaa haya wacha niendelee kuangalia mpk mwisho
This movie has alot of eating 😋
Amazing love mzuuri safi.
JB jmn anaweza uwa mtu💪💪💪🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂
Wabongo bhan kingereza kintoka wapi au mnafikiri wote tumesoma au mjitambue bas
Shinda ata sio kusoma twajua wote sio wasomi ila kingereza yenye mbaya kingereza kiswahili lugha ya mama kwa movies za kibongo. Uwa mwauthi sana
Nameza tu mate hapa peke yangu na hizo samaki na ugali it looks nice
Sio mbay wala sio nzur,manake ni ya kawaida
Kwel yan nisi itizam🙄🙄
Jakobo napenda sana kazizako❤❤
Nice one! Mko vizuri sana wahusika wote hasaa the father, doughter and the boss😁Jacob 🤣🤣🤣🤣kazi ipo utaangalia ya mwanao ama kazi? Na ujue umepiga your boss🤭🤭
😂😂😂😂😂
Waooo ruki
Movie Kali san
I like bongo movie
Nakuona Rani wa devi hapa ulikua Mtoto😍
Huyo ni ruki.my
Super
Tumieni lugha yenu wabongo 2nafeli hapo kumbukeni kuwa mkataa chake mtumwa"
Tulia ww kama kingeleza ujui tukutafsilie bana w2 wa buza mna tabu sanaaa ninyii
Pole Mr Jacob ndo shuhuri ya wababa ama Wazaz uwezi zuia Wakati but good job
Jaman majini ndio kama movie aiiisee
Kijana amezubahaa kwa office kuona msichana wa mwenzake mkubwa eeee
good Vanessa
Majina ni mengi.kama move
Duh movie nzur but hii stage ya kuvuliwa cheo alf unakuta aliyeshika cheo ni mtot wako kbs inauma san jmn duh
Nmesoma comment naona kuvunjwa moyo ngoja nione kwanza mwenyew
Very broken English ilaa movie ni nzuri 😊
Waooh!!Ruki uyooo
Ni Rani huyo
@@bbykiss6365 ni ruki huyo
Kiingereza chenyewe
Msiwe mnatuchanganyia rugha wengine atujasoma jamani
Nice
Punguzeni utambulisho tyu unakala dk 7 jaribuni kufupisha jaman badilikeni
Ongelen san move nzul
Wamezingua kwenye luga asee tunatakiwa turinge na luga yetu bwana
Rasta wa kitambo sn
Matangazo yanachosha
Na mwona Rani apo😋😋
Nyie kweli wazembe majina tu dakika kumi kazi zenu kumalizia mb zawatu nyie cjuwi mutajirekebisha lini
Watayarishaji bana,,,dakika nane movie haijaanza
Mi napenda suruali pana kiasi ila ya huyu rasta ni kiboko!. Hii inaitwa two in one!.
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂eti vekuosha kirundu
Ina maana gani bro
Move nzuri
Duh Dakika 10 mzima mijina tuu
Kumbe na wew umeona
Muvi mzr
kujifunza English sio dhambi inasaidia sana hasa ukitoka nje yanchi so upaswi kuichukia
Duuuh apo inapoita cm patamu
Yani wabongo bhn majina yanachukua dk 6 nzima duhu hizi move zenu ndio mana azina mvuto mtu anasoma majina mpaka anakata tamaa anaona bora aachane na move yenyewe,
😂😂😂😂ume on heee at mm kbs
English ni kulenga soka la nje tliyoishia kayumba tuwe wavumilivu kidogo
Mnazinguw kwenye rugha bwan wengine hatujaenda shule
Tukitaka movie za kingereza zimejaa kibao tu,muvi zetu za kiswahili kingereza cha nn alafu hii muvie ya mapishi au dakika tano nzima scene ya kupika,dada anasomea law hesabu wapi na wapi muwe mnafanya research Kabla ya kuigiza
Utambulisho unaboa
Kawaida ya wabongo lugha km zote kwann hamtumii lugha 1 tyuu
Limbukeni tyu hawana lolote
wajinga kwer hawaa wanajifany machno sanaa
No problem sisi wengine huku tunafurahia muchanganyo wa Lugha Kama hivyo
Jb umeniuwa nacheko eee ati actually sikutaka kuja naye eeeee
😂😂😂😂😂😂
Nimefrahh
Jb 😅😅😅😅
Hamjiulizagi mbona wazungu hawajawahi changanya kiswahili kwenye move zao washamba nyie mnajivunia vya watu mfyuuuuu....!!
Pili ni lugha ya biashara (imetuteka hakuna namna)
English ni lugha nzuri sana inasaidia hasa ukitoka nje ya nchi ndio utajua umuhimu wake pia mfanya biashara mkubwa inafaa ujue english
@@salumnassor9425 sawa jamani atukatai lkn hi flam muda wote adi nyumbani mie ata cjawaelewa tujivunie vyakwetu muda mwingine jamani tuachane na wazungu
@@salumnassor9425 nje ya nchi tunapambana uko uko bongo kiswahili Kama kawa Kama hajui nayeye ajifunze kiswahili.. tufanye kazi ctaki utani mie tunafanywa matoi na wazungu dadek
@@albeleenalberto158 inawezekana sema bas tu bongo movie wanamadhaifu.. Makubwa bhana..
Wengine tulikimbia umande ongeeni kiswahili
Be nson omwenga
Part 2 ipo wapi jamani mbona imeishia kati
Are serious 22 years mtu anaweza kua na masters Tanzania 🥺🥺🥺
❤❤❤❤❤❤❤❤🇧🇮
Sasa mnasema bong mov afumnaongea kingeleza mnazingua
Iko njema blood pia wanafanya kuuza na nje
Uyo ni ruki au rani
Huyo mshikaji anaboa kw nn asiongee kiswahili..
Nc
Kuchanganya lugha inakubalika bt hii imekua too much ad imeharbu ubora kwa kias fulan
Kuchanganya lugha
Ongeheeni kiswahili
❤❤❤🤣💪
Kabla sijaangalia ina sauti ??
Hahahah kweli lakini mana wanazinguaga
@Zuheor Salim true kabisa
😂😂😂😂
Asante sana washiriki
Ok
Ruki ❤❤❤
Ona hizo samaki mikeke masikia urohoo
Ila hii movies washiriki wanakula
Huyo mtu mwenye miaka 22 afu ana masters hayupo Tanzania, pengine hata duniani kote!.
😂😂😂😂😂😂😂😂
Yawezekana wapo kwa sababu Kuna watu wana maliza form four na miaka 15
Are you serious 22 years mtu anaweza kua na masters Tanzania 🥺🥺🥺
Raster ongea to kiswahili iyo kingereza yako mbovu
😂😂😂😂😂😂
Hii ni movie?au mwatangaza majina?mnatumalizia m,b kwa matangazo
Mijina lundo mnazngua bhn
Et my goddess hv kuna mungu wa kike?
😂😂😂 AFU LINAMTOKA TU
Wanasemaga Eti mkono wa Mungu ukushike sasa mie uwa nashangaa Mungu Ni mwanadam mpaka awe na mikono
Suti nyeusi haibadilishwi tu
Xx m
pya
Munazinguwa bhana nyie ungeeni kiswahili sisi wengine hatujuwa English
Hivi kirefu cha JB n nn?
Jacob
Mm nlidhan JACOB BONGE
@@mubussnestv5057 😂😂😂
@@mubussnestv5057 hapan mkuu
@@mubussnestv5057 😂😂😂