kazi kwenu episode yanane itakua yamoto sana balaaa yajayo yanatishaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉KAZI HII INAENDELEA KILA BAADA YA SIKU TATU ILA MUKIWA WENGI TUTAKUA TUNATOA KILA SIKU HIVYO TUNAOMBA MUSHARE KILA SEHEMU ILI TUTOE KILA SIKU
❤❤❤ Unataka Commention jamn ww angalia ukiona tamu basi wape hongera wanatoa mv kufundisha watu Basi ina tosha usipo papenda waambie pia ila kuomba comment jamn nani akupe
Hongera sana kwa kuhekima zako na busara kwa kuskiliza maoni ya wafuatiliaj wa hemedy channel movies na umeongeza kasi ya kutoa epsod kwa wakati,endelea kutumiminia mafuraha....
kazi kwenu episode yanane itakua yamoto sana balaaa yajayo yanatishaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉KAZI HII INAENDELEA KILA BAADA YA SIKU TATU ILA MUKIWA WENGI TUTAKUA TUNATOA KILA SIKU HIVYO TUNAOMBA MUSHARE KILA SEHEMU ILI TUTOE KILA SIKU
Hongera sana kaka kwa kazi nzuri much ❤ from🇰🇪
😂twasubiri Sana mpenzi😊
Ka moja moja unatubowa tuwekeee ha 2😂🎉🎉🎉❤❤❤
Nakubari San bro kaz nzur❤❤❤💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥✔
Sawa sawa kaka ila ww na mzee wa tattoo mnajipendelea sana 😂😂😂 act zenu🙌🙌🙌🙌😂
Movie nzur❤❤❤ sana ila chande mashabiki zako tunaomba uwe unatuwekea walau hata ep 2 wanaokubaliana na mimi tusonge kwa like ❤❤❤❤
Mim nme furahishwa Na Melisa kumpenda chande wetu
Yaani tangia nianze kuangalia hii sijawahi onà like ata moja
❤❤❤ Unataka Commention jamn ww angalia ukiona tamu basi wape hongera wanatoa mv kufundisha watu Basi ina tosha usipo papenda waambie pia ila kuomba comment jamn nani akupe
Naikubaliiii Melissa ileee Mbayaaaa😂❤❤❤❤,,,,, hemedy chandeee tukoo pamojaaaa🎉🎉❤🎉🎉
Sijawah kupewa like Leo nimewahi nipeni hata kumi tu😅😅
Kwakweli kali sana iyi mmepatia kabisa napenda sana melisa mjitaidi mnatowa hata mbili mbili kwa mkupuo kwakweli
Yaani leo ndo move tamu kabisaa 👌❤❤
Angalau Leo Melisa katuponeshea Mgonjwa wetu😂😂
Aiseeee😂❤
@@Zidan-q7j mwanzoni nilidhani Yule Rasta atampata Melisa Akiwa Bado anamuwaza 😂😂
@@MarianNdunde weeeeh unachezea mapenzi wewe 😂😂😂😂
😂😂😂
Hi movie kali kinoma
Unafanya kazi vizuri movi zako zote nazifatilia upewe mauwa yako🎉🎉🎉
Jamani msieka ivi vi tailer vinatuharibia mda wetu ama muongeze mda nani anakubaliana na mm😂😂😂
Nishapata mwenzangu😂 Kaka @Hemedy Fanya intro kias uanze moviee hii introo ni ndefuu Inapunguza utam!🎉
Wavitoe bhn
Hongera sana kwa kuhekima zako na busara kwa kuskiliza maoni ya wafuatiliaj wa hemedy channel movies na umeongeza kasi ya kutoa epsod kwa wakati,endelea kutumiminia mafuraha....
Safariii hii Melisa Kaelewa ..ni wakatii wa kula matunda sasa❤
Hemedy chande nakukubali balaaa tupe vitu babaaa❤❤
Nakubali sana master movie 😂😊😂😊😂😊🎉😊😊😊❤😊❤😊❤😊❤😊❤❤😊❤❤❤❤❤❤
Oya we nyumbani kwanza hapa muvi hipo good
Hemedy movie zako ukiigiza na rahma mnaendana sana
Nawaombea Mack na Melisa mwisho mwema wa hay mahusiano Yao isiwe kama bongo movie zingine😂😂
Kilsiku mimi wakwanza nipe zawadi bro wasiigusi kwa like nataka yako tu
Nice
Nimekupea hadi comment 😂😂
❤❤❤❤❤❤❤
Melisa,i admire to be you🤦♀️🤦♀️😢😢with a polite heart
Leo Melisa kampenda kijanaa😂
Manshallah me njo nakua wakwanza ❤❤❤🔥🔥
Mwisho wa siku melisa kautaka😂
Hahahaah😂
Faa masiala nn ww melisa nae kiumbe 😂
Famchezoo😂😂😂
Haki naipenda hiii Melisa nataman daily iwe inaachiliwa enyewe hongereni kazi nzuri sanaaa aiseee❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tim chande tusha mkamata melisa tayari
jaman napenda sana hi move usichelewe kutoa mwendelezo 🌹🌹🌹🌹
mnaendana sana ongereni san naona melisa ameanza kuonesha upendo kwa hemedy chand nawapend sana
Niliisubr sana mda wote naangalia you tube😂😂
Hata mimi 😂
Wa 1 nilikuw naisubiriiiiii muda wote niko utube
Kazi nzuri sana Mr. Hemedy Chande🇹🇿🤛
Nimekua wa kwanza please naombeni like zangu ata 10 tu🎉
Safi sana hapa ndio umenifurahisha melisa kwa kumkubali Mackey ❤
Nawakubali Sana wote mloshiriki katika movie hii big up ❤❤ila mctucheleweshee sana jmn..
JAMANI musi nisahau katika ufalme wa like
Woyoooooo nilikuwa naisubir jmniiiiiiii🎉🎉🎉
Ongezeni urefu wa vipande Waleed vifupi sanh
Ww hemedy utatuacha tunyoge gulf❤ story 😂😂
Hongera sana kwa kazi nzuri ila munachelewa sana🎉🎉🎉
kuweni waangalifu wakati munasoma comenty ya mwandishi
Karibu ashikwe Leo though hipo siku tu😢
wallae😂
@@Moh...4 😂😂mashemeji wanatisha
@@memoterry Ndio watu walivyo😂
Ya Arubaini haijafika ikifka ataumbuka😂😂
@@LoiceKatana-ci1tx watatuambia vizuri shemeji kafanyaje😅
Wowo nimefrahi san mak kuwa na furaha kwajir ya. Melissa ❤
Naomba laik zangu leo nimewahi mtu wa kwanza kutoka tazania
Tuko pamoja brother ❤❤ Kaz nzur
Kazi safi nawapenda nyote
ILA HEMED UNAFAIDI HIZO ACTION😂😂
Daaaah😂😂😂
Afu hachaguagi pis mbovu mpuuzi huyu
Hii ngoma inavoenda naic Tony na shemeji ake wanaenda kufumwa😂😂
Jaman Da Reey nilipenda ilo jina la Reehema ata ilo la Melissa' sijui limetokea wap😂😂❤❤❤❤❤emedi na da Reey wangu moto wakuotea mbali 🎉🎉🎉
Ahsante Kwa muendelezo bro hemedy 🙏🙏
Yan Leo nimefrah sana kumuona mellisa ametabasamu na kumpenda mack wetu jmn nawapenda sana
Mwenyezi mungu akubariki kwa kazi yako❤❤❤❤❤❤
Yani kaka unajua sana unatisha kinoma nakukubali sana et 🎉🎉🎉
Gonga like kumi 2 za melisa kama shabiki kweli from Mozambique 🇲🇿🇲🇿 🎉🎉🎉🎉❤
Aweee nimewahi leo nipe like zangu jamenii
Tamu sana kabisa, Angola 🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴 tunaendeleya!!
❤❤ nakubali sana hemed na gang yake mzim...yaan Tz hii wanafanya vizur sana kwenye action za Love and deep feeling❤❤......🎉🎉🎉 ..
Wauuuu mellisa kamupnda kijana wetu chande
Tony unavyomfanyia brother yako sio vizr daah
Mambo ni moto kaka hemedy na wifi ytu melisa mmependezana ndani ya mahaba moto moto jmn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
kabisa❤❤❤
Kazi ni ya 🔥🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
me nimkumbk uhusia wa bibi sio kila mt alie olewa alimpenda skuhihiyo mme wake kumbe kunaupendo wa ketegeneza mt lida anaekujali ❤ nimbele ya safali
Napenda sana kufatila hii melisa
Ongera sana na kazi. ni Riva toujours 🇨🇩🇨🇩
Watatu jaman lake
Great job big up nlisubiria qwa hamu hatimaye❤❤
Wao very good melisa
Iwe inatoka kila siku itakua unyama sana
Hadi natoka kufikiria sas ivi naipenda Sana hii ❤❤
Antony Hujawah Acha mashemejiiii Bure Bure Lazima upite nao tuu😂😂😂 itakugharim
Umalaya Tu kuoga aaaaaaaaah 😅
😂😂😂
😂😂😂
Kka noma San movie kali San now mtt katulia mwenyeww.
𝑁𝐴 𝑀𝑀 𝑁𝐼𝑀𝐸𝑊𝐴𝐻𝐼 leo
𝐿𝐾𝑁 𝑀𝐵𝑂𝑁𝐴 𝐾𝐼𝑀𝑂𝐽𝐴 𝑁𝐷𝑂 𝑁𝑁 𝑆𝐴𝑆𝐴 𝐴𝐴𝐴𝐴𝐴𝐻
Kazi ni moto 💥💥💥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nikiwa Lubumbashi congo nawafwata big pu 💪👍👍
❤❤❤angalau mgonjwa wa mapenz hemedy chande kapona🔥🔥🔥🔥
Safi sana nakukubali.
Kila mtu anasema wa kwanza yy😂
ok bro kazi nzuri
Kaka Hemed Hujawal feli katika kazi yk hongera
I appreciate❤❤ you ❤❤hemedy and Melissa ❤❤😂 kazi nzuri sana kaka
❤❤❤❤❤ fanywen mutowe musikae san mnatubowa ivo ❤❤❤❤
Walio subiri kama mimi tujuawane kwa like 😅😅
ya nane unatoa lin naisubir kwa hamu sanaa❤
Kukosa kuangalia melisa ni dhambi kubwa❤
jamni hli n bonge la move tufnyie ziwe znatoka episode 2
mahaba time ...iyo ndo I like
wakwnz leo😂🎉
Yeah tupo pamoja jamani si ndio? Naomba like for me na iyi story nzuli sana❤🎉
Piga kaz bro tunakukubali❤
Sana broo noma sana🎉
Haya makiss yote haya mnajisikije tem strong 😂😂😂
😂😂😂 hatar kwel kwel
😂😂😂
Mtakufa na upwilu team hammamu nawaambia.
Kwa kwel mm na hisia zangu hizi haziruhusu kabsaa katka hii movie😂😂😂
😂😂😂😂😂noma sana
Hongereni sana ❤️❤️
Umetisha
Nakukubali sana bro umekomaa San katka Sanaa
Aki movie zako zinafunza kupenda ata kama umekua heart broken..... keep it up....❤❤❤❤❤
J'ameni Mélissa Leo amekufurahish
Mimi hapa ukitak niweke like mara miyabniko tayar kbx
Chande mi bado nadai ako ka wimbo ka melisa please😢
Mim nimefuraishwa na melisa kukupenda hemedy
Jmn taratibun ngaz izo ohoooo! 😂😂
Afadhali leo Melisa kaonyesha upendo
Kudadadeki leo nimewai kinoma😅 like bas guys
Tattoo man anakunywa Dem wa bro yake deadly