POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024
- POLEPOLE - "MAGUFULI ALISEMA UMEME USIKATIKE, TUFUKUE MAKABURI?, NAPE ANGEHOJI ENZI ZA JPM"...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#Polepole #MsumariWaMoto #AfricaIsWatching
hongereni sana wasafi hakika haya mahojiano ni mazuri sana polepole amekuwa mtu sahihi sana jinsi anavyo jibu maswali kwa hoja nzito narudia mara kwa mara haya mahojiano.
We are very blessed to have a person like H. Polepole. He is rich in love Quotient (LQ), emotional Quotient (EQ), Social Quotient (SQ) and intelligent Quotient (IQ). He knows what to speak and how, we need you in near future to be in executive.
Real true
ñ
@@sambbarua9813 ww,
@A1 thanks brother be blessed in advance.
Unda chama chako pole pole, kura mingi saaaaana kwako, Tena ukiite jina JPM, 🗽🗽🗽
NITAKATA KADI KESHO.. CHAMA JPM NDIO FUTURE A TANZANIA.. !
@@josephgomalo41 kabisa
safi sanaaaaa, 👍umemjibu vizuri sana kwenye hoja ya umeme, "hoja ya kipuuzi kweli kweli" Nepi anatufanya sisi watanzania mazuzu !!!
Hpolepole Akili nyingi Sana Mungu akupandishe siku uwe rais wetu tz
Akili nyingi ipi kaka
Kitambulisho kimoja kinaweza tumiwa na wafanyabiashara wote
@@Boaz22 unateseka sana mbona
@@afrohomeofsuccess2359 kwasababu anaipenda nchi yake. Watu kama hawa wanahitajika Tanzania. Mungu hafungi milango yote. Katufungia MAGUFULI katufungulia PolePole
@@rickyaruzi1983 q22
Comrade Polepole uko vizuri sana. Unaweza kujenga hoja. Na uelewa mkubwa sana. Wengine wale.... Wanapenda kujipendekeza wazushi nk. Endelea kuelewesha umma !
Hamna kitu hapa,utawala wa uongozi sio kusema jambo la uamuzi uliopo madarakani.give solutions...we are youth let's gain enough knowledge.sio kuchukua kila unachosikia
@@Boaz22 Ni wewe unaona hakuna kitu. Wenye akiri zawo na wapenda haki kwa wote Tunaunga mukono.
Ni maoni yako acha mwenye kuona yupo sahihi mpe uhuru. Hata Mungu hakubaliki na wote.
Mwambie aache stress kila zama na watu wake,, atulie tu
huyu mtu ana uelewa mkubwa xn ila Kwa wale watu wny akili ndogo ni ngumu xn kumuelewa..
Kongole polepole you have a great vision to our nation....i always appreciate on you since 2011 in a young age of 12 years myself
Anaongea anachokiishi salute sana kwako
Siku ukifa ndio tutakuana wasamani na kukupa majina Mazuri mapya ambayo huta sikia MUNGU AKUPATIE SAWABU YA KAZI
Akili kubwa sana Huyu Polepole.
Lakn nimeridhika na hosts kwa maswali na namna wanavyoijua kazi ya kusaili👍
Jamaa Ana AKILI Sana,NAMKUBALI polepole toka TYC Tanzania youth Coalition,Ana UELEWA wa Mambo mengi
Sasa haya ndio mambo. Wasafi hongereni kwa kipindi kama hiki..safi kabisa
huyu jamaa anajua mpk basi hpolepole on fire🔥
Nakupenda baba Yangu pole pole, wasaliti wabaya Sana mwisho wake ni kujinyonga Kama yuda aliyemsaliti Bwana Yesu
Hamfely mngu akuongoze kaka naona moyo wako ulivyo saf juu ya nchi yetu hao mafisadi acha wakupinge tu,,, mda ukifika maneno yako yatakumbukwa,,, Amin nasema na mngu atawafunulia haya cku ya tukio tuombe uzima
Yuko smart kuongea, smart kuchanganua, smart sana Polepole
Bless bless #polepole #wcb
Wasafi ❤❤mko smarti sana 😍
Polepole jipangeni tumechoka na mgao wa umeme tunalala bila kuoga maji hakuna upigaji umerudi kwa kasi miradi ya kimkakati yote imesimama tunataka bwawa la nyerere liishe reli iishe
Kweli kabisaa
Pole pole Watanzania wapenda haki kwa wote tunakupenda. You give us hope. May God protect you my son.
Hongereni sana Wasafi TV na Comrade Polepole kwa kutuelimisha Umma wa Watanzania mambo muhimu ya nchi kwa jina.
Mb polepole Mungu akulinde tuzidi kujifunza kupitia wewe
Wasafi mmepevuka Sana nawapeni congratulations 😂😂😂
Congratulation🔥🔥😜😀😀
Tunakukubali Polepole piga kazi tu,,,ila umenifurahisha Sana eti Maharamia walipelekewa Moto wa Kutosha
Akili nyingi sana
We ndo baba yetu na ndo kakayetu mzalendo wa kweli hekima na busara zako hakuna mwenye akili na uono wa kesho kutwa katika taifa letu mungu akulinde mungu ibariki Tanzania
Baba yako ww. Tena ukome
Baba yako huyu we pimbi
@@digital-d2t Koma wewe. Baba yetu sisi wapenda haki kwa wote. Sio wewe fisadi papasi mkubwa munyonya damu za Watanzania wenzio.
@@Boaz22 pimbi ni wewe, usiyependa haki kwa wote. Mubinafi mkubwa wewe. Tanzania ni ya kila Mtanzania
@@digital-d2t michael aloyce mbona unatoa matusi tena
Michael Schofield 👊you are very truthful, logical, fear no body but God🙏
HAMPHREY uko vzr saaaaana kaka , Mungu azidi kukupa Uhai na uisimamie serikali ya awamu ya tano
Polepole MZALENDO kati ya wazalendo waliobaki na wasiokuwa wanafiki,,NAMPENDA sana Polepole na tunahitaji vijana wa ainahii, baadhi yavijana tunawasomesha kwakodizetu lakini wakitokahuko wanakuwa mafisadi nawezi wa rasilimali za umma
Humble, brilliant and blessed man. Thanks comrade
Kazi nzuri polepole
NIMEPENDA SANA HIKI KIPINDI HUYU JAMAA KWELI NIKIONGOZI TUNAOMBA MUMWITE TENA HUYU JAMAA
ANAMAONO NA LEADERSHIP MIND KUBWA SANA HII NI SILAAA MUNGU AMPE MAISHA MAREFU SANA MR POLEPOLE
WE PRAY FOR HIM
Pole pole Mtu bwana mapungufu niya kila mwanadam lakini anajitahidi kwakwel
Acha umavi wewe ,,unasikiliza flow sio?
@@Boaz22 umavi unao wewe usiojuwa utu ni nini.
Polepole unajua mambo mengi sana saidia taifa
Dah!!!!!!!!!!! Nawahuni wangeisha kweliiiiii Ila yote tumshukuru Mungu kwa kila jamboo atuna namna
Usije ukachukua kasentensi kamoja usije ukazama nako baharini🗣 . Polepole Nakukubali sana Mungu akupe maisha marefu .
Asante Sana polepole
ndio pole pole upinzani wa ubwege hauna faida sisi raia inabidi tuwe makini na hawa wampinzani wafrica from drc🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇰🇪🇺🇬
Polepole🇹🇿🇹🇿 wakati muhimu na sahihi unakuja kwako ili Tz uitumikie kwa nafasi ya juu
Amen.
Polepole wewe ni very intelligent 👌
Natamani siku moja uje kuongoza taifa letu kaka
Pole pole you are blessings to our country. May continue to flourish you; fear not my brother. One day, our people will understand your wisdoms.
Not really
Tzd tatizo kubwa sana wapigaji kila kikona na tabu sana kuwaponya mola amlaze pahali pema Magu kwa kweli
Wana ccm 2025 tuleteeni polepole anafaa kufata nyayo za magufuli
Mungu akubariki sana!
Una utu na uzalendo kwenye damu yako wa hali ya juu sana. Nadhani kwenye utoto wako ulikuwa unawagawia wadogo zako mkate kwa upendo na wewe unashiba kiroho.
Unaumwa ww
Comrade polepole nimtu yupo street sn hanaga konakona ukimuuliza swali anakujibu swali lako mpaka unashiba na anatengeneze hoja zenye mashiko kwa faida ya wananchi hongera kwake kwa kazi nzuri.
Safi sana
Huyu jamaa ana akili mingi sanaaa...God bless you comrade
Inaonekana ww una akili ndogo
kwa kawaida binadamu akili huwa tunatofautiana kn watu wana akili xn, wengine kdg so ndio iko hvo
Polepole pamoja sana
Uko vizuri polepole
SAFI SANA MH.POLEPOLE.
Interview nzuri sana, both Mhojiwa na wanaohoji 👊🏾
Huyu ndio Mwanafunzi bora baada ya JPM KUFA Naamini Atashika hatam one day
Asante naiona nuru ya Taifa inainuka Taratibuuu!!
Pole pole ni kiongozi mwema Sana
Kaka were una hekima sana naomba uendelee kutuelimisha kwani wewe in kiongozi kweli
Mpe salaam sana rafiki yangu huyo mola amjaalie kila la kheiry
Huyu jamaa anauwezo mkubwa sana wa kuwa kiongozi
Kaka upo vizuri. Ninaingia kitandani kulala na Amani. Unajua unaongea nini na unajua kubaransi na kujibu hoja bila kupindisha swali lolote.
Upinzani wa tz mara nyingi hujitetea wao wenyewe Sio kutetea umma! Ndio maana hawa kupata kura. Matatizo yao wana tegemea taasisi za nje! Badala ya kutegemea ummma. Hawaja tambua kama kuishi kwao ni lazima kutegemea umma!!!! Ndio wapiga kura.
Ubongo mdogo Sana huwezi kufikili
Nashukuru kulifahamu jambo la bandari ya bagamoyo huyu waziri mwambe hajielewi kweli kama jewellery la msingi liliwekwa mkataba utakosekanaje ajabu kubwa na ni aibu kwa mwAmbe tena ni muongo mzandiki mkubwa hata mkataba atatudanganya ttu
Dah mtihan
Allah akupe umri mrefu kaka polepole
This Guy is a Genius I live in the Uk and my guy will be a MP here in a Parliament for sure very intelligent… I’m so impressed listening to you Pole pole .. very articulate and knowledgeable in analysing matters . Incredible stuff 🇬🇧🇬🇧❤️❤️🔥🔥
Ccm ikipata vichwa kama hivi kumiitadumu milele bro big up sana
Nakupenda Sana ww jamaaa
Kwangu mm maoni yangu ningependa kuja kukuona huko mbeleni ukiwa raisi wainchi hii unauzarendo wakweli moyoni mwako kwa inchi yako tanzania nakikumbuka kile kipindi chako cha papo kwa hapo kilitatua kero nyingi sana kwa wanainchi mungu akusimamie msemakweli
Mh Mungu awe mlinzi wako daimaa unafanya makubwa , ila Sasa tukuombee tu watz
Kweli kabisa. Yaaaan sasa hv wanatumia nguvu sana
Nakupenda sana m2 wa mungu una mcmamo na imani kweli usigeuke nyuma ukawa nguzo ya chumvi
Perfect! Thumb up comred
Humphrey you're the GREAT. Nimekuelewa sana mkuu.
Polepole sauti safi kabisa umeongea vizuri sana kiongozi mzalendo uliebaki Tunakupenda sana
Kiongoz wetu polepole allah akulinde
Kwa mbali polepole utakuwa kiongozi mkubwa sana
Why wasikupatie Nchi ndg
Mungu akusaidie ndugu dah! Akulinde sana uje kutumikia Watz kwa ngazi ya juu sana
Polepole we una akili sana 👏👏
Waziri mwamba ni miongoni mwa wahuni watakaokuja kuighsrimu CCM na Tanzania kwa ujumla 😕
Polepole mtu Makin Sana hongeren wasafi kwa kipindi kizuri
Kweli sema ukweli nguli WA Tanzania Kwa sasa
Just imagine mtu anatokea sjui wap anaanza kusema mradi wetu ni hasara sjui katumwa na nani , kwanza bwawa lile sio uharibifu wa mazingira kwa sababu maji pia huleta mvua by evaporations process . I wish haya maoni yangu ayasome rais wetu ili atunusuru maana mipango ya nchi zilizoendelea hawataki tuwe na umeme ili tujiokoe na umaskni.
Good
Huyu polepole muwekeni karibu na viongozi wakuu awashauri jamani,wekeni watu ambao jamii inawaamini
Humphrey Polepole 💪💪💯💯 kuna wasaliti humo CCM wasio na HAYA. Umewajibu vizuri sana sana. Huyo mwambe Mwambe anapaswa kujihudhuru.
Kujihudhulu sio kujihudhuru🚮
Asante mzalendo wa afrika
Daaah sitamani kuandika sana ila polepole tuonyeshe unachokizungumza tunaimani na ww
Jamaa yangu kweli shule ya uongozi unaiweza na majibu mubashara hongera sana no any one can stop you.big up for your answers.
Polepole uko vizuri sana . Interview ilinoga saana
"Tuko pamoja kiongozi #polepole
Nakufuatilia sana na kujifunza mengi mazuri kutoka kwako Mh. Polepole
Kweli pole pole,🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
Akilini nyingi bro mungu awe nawe
Maoni yangu: tukiwa na umeme wa kutosha tutaweza kutunza mazingira maana watu wataacha kutumia kuni na mkaa. Pia tutavutia watu wengi kuwa na viwanda hapo ndo nchi yetu itakuwa kiuchumi. Tunaambiwa mazingira huku kwenye nchi zao wao hawatunzi mazingira nadhani lengo ni kutufanya tusiwe na umeme ili tuwe masoko yao ya bidhaa. Tafadhali viongozi wetu Mungu awaidia usiuze nchi yetu tunaipenda sana
Pitia nyumba kumi hapo kwenu alaf unipe wangapi wanatumia umeme kupikia . Labda gesi !! Toa mapungufu ili kujenga hoja yenye nguvu! Watu wameumbwa kuona kasoro kwa wingi., Sipingi hoja fuata .
Ni kweli ila kupata umeme wa uhakika nilazima uharibu mazingira
Daa natamani km ungekua Raisi wetu,upo vizuri
Duuuuh kwel huu n msumari wa Moto mpo fire 🔥 naangalia huku nikiwa naogopa
Hongera sana comredi kutusomesha,kuhusu bandari yabagamoyo,si rahisi hivyo rais akaweka jiwe la msingi wewe ukasema hakuna mkataba, ! Kusema ukweli jambo jema tusilewe madaraka tukafitinisha watu!
maswali safi....
majibu safi sana....
hongereni wasafi
What a speech HONGERA sana
Nimekupenda Sana Polepole hakika wewe ni taa ya mamilion ya watanzania
Mh. Polepole uko sahihi sana, Mungu akupe hekima ili darasa lieleweke na kila mtu
Mhe. Pole pole We ni mtu kwelikweli nakukubali, waswahili walaji wa Nchi achana nao....
Polepole namkubali sana...Mama ampe majukumu ya ku deal na raia moja kwa moja
Hongereni kaka Zungu na mwenzio kwa maswali (mmetulia sana) pamoja na Mh. Polepole kwa majibu mazuri bila skip. God bless you all
Akil ipo mahali panapo sitahil