Ni haki gan wanaogombania kama wakongomani...FDLR inawaziwiya nini wao kama sio wanyarwanda....Nima gaidi na hakuna amani yoyote wanaiba Mali ya raiya ovyo
Kwanini Antoine Tshisekedi baba wa Felix Tshisekedi pia na Tshisekedi Tshilombo waliungana na hawo M23 miaka iliopita kabla ya Félix Tshisekedi kuwa Raisi?!!
Am jambo RF? Mimi nlitaka niulize Willy Ngoma: Amesema yeye anapigana ili ku teteya haki za binadamu ambao wananyanyasika je! Hawo binadam ambao wananyanyasika nchini D r Congo wame liliya M23 eti wame nyanyasika? Tunajuwa kama m23 ni askari wa Kagame Paul ktoka Rwanda 😢
M23 HAINA SABABU YAKUPIGANA NA WATU WA SHABA AO BANDUNDU HAO NI WANDUGU ZETU,LAKINI INA HAKI YA KUISHI KATIKA INCHI YAO RDC BILA MAOMBI.KWA UBAYO AO KWA UZURI
Tatizo kongo ukabila na uchu wa madaraka ndio chanzo kikubwa cha machafuko nchini kongo vita ya kongo siwezi kwisha ady ukabila na uchu wa madaraka vitu ivyo vife
Joe eleza vizuri demokrasia ya congo ambayo ndani yake kuna wizi wa rasilimali za nchi, Jeshi la UN lilishindwa nini na wamesababisha upotevu kiasi gani cha fedha
Wagaidi hawa Wanyarwanda wa M23, wana Pata musaada ya Rwanda, ya USA, ya UK na wa France. Lakini wajuwe yakwamba hawata weza lolote ndani ya Inchi yetu DRC.
Willy ni mazimu mumuulize kama Hao kesho wa Rwanda wanaokuafa katika arzi ya Congo huyu Willy Ana kichaa. n'a muda simurefu huyu ni marehemu Sisi raiya ya Congo hatu yako M23 ni ma gaidi.
Acheni uelewa finyu. Hao waasi na Rais huyo ana mkono wake ndo maana hataki kuwasikiliza na ni ishara ya Viongozi wa hovyo sana ambao hawafai kuongoza Africa. Sema Congo kiuelewa bado anawahadahaaa wacondo tu huyo
Tatizo wakongomani hawaelewi cha hiyovita na anayewapigasha ndio maana vita haitaisha,fungeni migodi yote mtamuona adui kamili anawashambulia hao wanaochimba madini wajuen acheni kuuana ninyi kwa ninyi kwa michuki yenu.yupo kinshasa na nje ya Drc ninyi mnaua wamama wasio na silaha eti n wanyarwanda pumbavu zenu kwenye mipaka miingiliano ya lugha na sura ni kawaida acheni chuki,fungeni migodi
Nivizuri kutokuongra nao maana hawana lolote hao...kazi kuiba2 Mali ya drc inchi za magharib ndio zinazo wasapoti maana Rwanda kama Rwanda haina nguvu yoyote yakukabiliana na drc
Weye Willy ngoma weye uko mkongomani gani wakuuwa wezako wakongomani akuna Siku utakuwa mkongomani kabisaa Akuna mkongomani mwenye iko naishi jua mkataba weye ulishauzwa Na wanyarwanda kabisa tuna jua Na ujue akuna mkongomani mwenye ataitika munyarwanda atutawale kabisaa Tuko tayari kungombanisha tu
kwa nini boss wa M23, hafanya mazungumzo na FRLR? tunafaham sana mipango ya kagame ananjama za kutafuta tena apate tena vibaraka wake ndani ya serekali ya congo. maana kwasasa ameshapoteza watu wengi aliokua akiwategemea ndani ya serekali ya congo. mheshimiwa rais tshisekedi asiwape kamwe mazungumzo na ao vibaraka wa kagame.
Rwanda na Uganda ndio wafadhili Yule willy ngoma ni muongo saana wako kwa faida ya Rwanda na hawana nguvu hata kidogo wanapata usaidiz hata kwa wazungu
Mnakamata vijana wa nyarwanda kwanguvu mna waleta Congo kufatu, wewe Willy endeleya kupotosha tu ipo siku Yako, Msione wanya Rwanda hawasemi mioyo zime toboka zamani, M23 mtabaki Ku jisifu ya Ujinga Na mna kufa kama wanyama. FRDC & WAZALENDO protège la terre promise 🇨🇩🦾🦾🔥🔥
Sasa 23 ni wakongomani Gani wenye wako natupa ma mbombe mu rahiya APA saké ? Vrmnt miye ninge kuwa raïs kama hamuko ata dju wazu'gu njo bako n'a bapatiya ma arme pa moya n'a Rwanda n'a Uganda tunadjuwa vyote
Unaweza kutoa ushahidi? Mbona msemaji wa M23 amesema hawafadhili na mtu? Adui wa Africa hayuko nje, yuko ndani. Africa usimtafute mchawi. Mchawi ni wewe mwafrica…
Inaonekana haujuwe kile unacyo sema; Rucyuru na Masisi kuna muungano ya wacongamani kutoka kabila la wahutu,na serkali yenyewe inajuwa huyo mukutano;na wenyewe wanajijua kuwa wa congomani,na katika m23 kuna majeshi mengi kutoka kabila la Wahutu.Ndungu yangu shida kubwa ni ukabila,hawa wapiganaji wa m23 na serkali ya congo inafahamu vizuri yakuwa ni wa congomani.Serkali hijawayi kusema yakuwa jeshi la 23 siyo wa congomani.Na waliyo kata mipaka wakati wa ukoloni wanajuwa vizuri ya kuwa rucyura Masisi na Mulenge kuna wacongomani ambao wananena kinyarwana.
Willy ngoma uta hazibiwa namungu weye na kagame ku isumbuwa rahiya ya Rdc, uko mujinga sana wewe na kagame munasumbua wazungu wanawashawishi ilimu mu uwe weusi wenzenu
kama ni hivio basi honesha hiyo mikataba ambayo mulisahini na rahisi wa congo, na kwa nini rwanda ikataye maana jeshi la rwanda njo limeteketezwa kwenye shamba la vita? na bahadhi ya macomando mahiti zawo simepatikana kwenye mapambano wakiwa na sare la jeshi la rwanda? kagame haja wayi kuku bali chocho te.
Kama uyo ni mu Congomani kwanini washihishi kama wa Congomani?, kitakuwa aje mu Congomani ata ongeya na mucongomani mwenziye, munyarwanda Acha kuongeya uongo
Tu es un menteur. Tu finiras très mal. Si tu dis que le Rwanda ne soutient pas le M23 et pourquoi il bcp de deuils au Rwanda des officiers? Il y a des entrées massives des ougandais, viennent-ils aider qui?
kongo ina tatizo ina ukabila sana mtu amezaliwa kongo hao viongozi m23 walikuwa ndani jeshi la kongo wakatoka hiyo vita ya kongo haitoisha leo
Hao wa marekani wakatiye Kambi zao kwao alafu wanaita watu magaidi
Ni haki gan wanaogombania kama wakongomani...FDLR inawaziwiya nini wao kama sio wanyarwanda....Nima gaidi na hakuna amani yoyote wanaiba Mali ya raiya ovyo
haki ya kuishi ,na haki ya usalama
Rwanda ndiyo tatizo
Mbona hamuja sema kama America ni inchi yenu ao zingine inchi mulizo kimbiliya emo. MUNA ONEYA TU CONGO
Ongera sana rais wetu, usiongei nao kwasababu tunajuwa kama ni wazungu njo biko nyuma ya hao wa M23.
Ni wanyarwanda hawa M23 ,msiwasingizie wazungu wa watu
wily ngoma ulingi kufa ndeko mobali oza na motema mabee ukufe leo njo leo ukufe bhote m23
Nibongo mtupu
Magaidi hawa wanafaziliwa nawatu wamagalibi
Munataka Mugawe Congo. Hamuna Akili kabisa..muko kama nyoka kabisa
kuita watu nyoka ni moja ya mafikiriyo ya wa genocidaire
Very soon balkanization itakuwa suluhu
M23 sio waasi ni wavamizi toka rwanda ni bora DRC tutangaze vita rwanda kabisa ili kuleta amani ya kweli drc
Mejar Willy ngoma
M23 sio wakongomani ni magaidi kutoka lwanda haki yako hiko wapi
Kwanini Antoine Tshisekedi baba wa Felix Tshisekedi pia na Tshisekedi Tshilombo waliungana na hawo M23 miaka iliopita kabla ya Félix Tshisekedi kuwa Raisi?!!
Kwani uongozi wa baiden yeye nivita kwadunia nzima very bad
Am jambo RF?
Mimi nlitaka niulize Willy Ngoma:
Amesema yeye anapigana ili ku teteya haki za binadamu ambao wananyanyasika je!
Hawo binadam ambao wananyanyasika nchini D r Congo wame liliya M23 eti wame nyanyasika?
Tunajuwa kama m23 ni askari wa Kagame Paul ktoka Rwanda 😢
Sisi wa kongomani tuko na M23 tuko na Amani serikali ya kongo hatusaidiyaki barabara hôpital hamuna masomo njala mingi vive M23
Dawa yenu iko ku Moto.
Tatizo hapo ni ulaya, hakuna haja ya mazungumzo, weka dili na urusi vita viishe sikumoja.
Hawa majama dah kwa kweli congo kazi wanyo m23 inaonekana wanajiamini sana
Willi ngoma cku moja itakufa
Acha uongo
Ngoma acha ongo muuwaji utarudia kwenu rwada Siku mja
Muko wanyarwanda
Willy Ngoma ana zarau
Will ngoma utarudi kwenu burundi
M23 ni Magaidi wanafadhiliwa na wazungu wenyewe kupitia Lwanda!!!!waendelee kupora Mali za Wakongomani ..pole sana Afrika kitovu changu!!!!!
Ufaziri ni Congo.
Mungu atukomboe
wanaendeleo kudumu M23 nijuu ni inchi jirani uwa ambie waingie shaba ao Bandundu hawana dakika ya kuishi kwamwisho Congo ita ichukuwa ushindi
M23 HAINA SABABU YAKUPIGANA NA WATU WA SHABA AO BANDUNDU HAO NI WANDUGU ZETU,LAKINI INA HAKI YA KUISHI KATIKA INCHI YAO RDC BILA MAOMBI.KWA UBAYO AO KWA UZURI
Kagame ana wasanganya siku moja mutajuta.
Kagame tuta mnyuka asije gusa Tanzania
Anawaonea Kongo
Hadisi za upuuzi. Acha Wale wakaidi watazikwa wote mwaka juu.
Tatizo ni monusco siku monusco itaondoka huo mdomo utaisha
Tatizo kongo ukabila na uchu wa madaraka ndio chanzo kikubwa cha machafuko nchini kongo vita ya kongo siwezi kwisha ady ukabila na uchu wa madaraka vitu ivyo vife
Wea are together
Uyu ni Munyarwanda!iyo Kiswahili yake ni ya wa Rwandese
Niuzuni kabisa sisi radical ndoo tunasumbuka hatuko manyama
Willy ngoma ni kinywa cha kagema hawezi kukiri kwa wanafadhiliwa na Rwanda ...mshenzi kabisa
Joe eleza vizuri demokrasia ya congo ambayo ndani yake kuna wizi wa rasilimali za nchi, Jeshi la UN lilishindwa nini na wamesababisha upotevu kiasi gani cha fedha
Wagaidi hawa Wanyarwanda wa M23, wana Pata musaada ya Rwanda, ya USA, ya UK na wa France. Lakini wajuwe yakwamba hawata weza lolote ndani ya Inchi yetu DRC.
Daah hao waasi watawasumbua sana wa Congo
Waliua wanajeshi wetu wa Tanzania magufuli alisema nendeni mkawapige walipigwa mpka walikimbilia rwanda
Wazungu wanyama sana wanatugombanisha waafrica tuuwane wenyewe
Wewe siomkongo ww nimnyarwanda
M23 nyinyi sio wa congo kwasababu wa,asi wote walirudi kwa serikali wazalendo
Majungumuzo na majambazi
Hiyo ni dharau kwa wanajeshi wasaliti
Willy ni mazimu mumuulize kama Hao kesho wa Rwanda wanaokuafa katika arzi ya Congo huyu Willy Ana kichaa. n'a muda simurefu huyu ni marehemu Sisi raiya ya Congo hatu yako M23 ni ma gaidi.
Congo kuweni wazalendo m23 inatakiwa wamalizwe nasiyo kuwasaidia
Huyu ni mpambavu sana ...Willy ngoma ni mbwa ya kagame
Mutaangaika mwa iyi Dunia muko na laana
Acheni uelewa finyu. Hao waasi na Rais huyo ana mkono wake ndo maana hataki kuwasikiliza na ni ishara ya Viongozi wa hovyo sana ambao hawafai kuongoza Africa. Sema Congo kiuelewa bado anawahadahaaa wacondo tu huyo
Tatizo wakongomani hawaelewi cha hiyovita na anayewapigasha ndio maana vita haitaisha,fungeni migodi yote mtamuona adui kamili anawashambulia hao wanaochimba madini wajuen acheni kuuana ninyi kwa ninyi kwa michuki yenu.yupo kinshasa na nje ya Drc ninyi mnaua wamama wasio na silaha eti n wanyarwanda pumbavu zenu kwenye mipaka miingiliano ya lugha na sura ni kawaida acheni chuki,fungeni migodi
Nivizuri kutokuongra nao maana hawana lolote hao...kazi kuiba2 Mali ya drc inchi za magharib ndio zinazo wasapoti maana Rwanda kama Rwanda haina nguvu yoyote yakukabiliana na drc
Akuna mazungumzo yatakayo fanyika na wanyarwanda mukomae ivyohivyo mutaisha wanyarwanda
very soon balkanization itakuwa suluhu
Marekan mkimgusa tu Iran mmeisha watu wanawasubir kwa hamu mtakufa kama sisimiz huk russia, korea kaskazin wanawasubir hap ndio mtaelew
M23❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Weye Willy ngoma weye uko mkongomani gani wakuuwa wezako wakongomani akuna Siku utakuwa mkongomani kabisaa
Akuna mkongomani mwenye iko naishi jua mkataba weye ulishauzwa Na wanyarwanda kabisa tuna jua Na ujue akuna mkongomani mwenye ataitika munyarwanda atutawale kabisaa
Tuko tayari kungombanisha tu
Ninyi ni wavamizi hamna wacongomani hapo
Hawa Jama wasenge wanaua watu eti wanataka amani acha mda wao unahesabia
Swaitans
Vraiment tshisekedi n'est pas mon président il est à la base de tous ces qui nous arrivent
kwa nini boss wa M23, hafanya mazungumzo na FRLR? tunafaham sana mipango ya kagame ananjama za kutafuta tena apate tena vibaraka wake ndani ya serekali ya congo. maana kwasasa ameshapoteza watu wengi aliokua akiwategemea ndani ya serekali ya congo. mheshimiwa rais tshisekedi asiwape kamwe mazungumzo na ao vibaraka wa kagame.
Ule ni njinga mkubwa atakimbia
Nyiye iko siku tutawabiga mpaka Rwanda
Kwani hio siku hai fiki ?😂😂😂 Wazairwa mbule kbx.
Sisi tunawagoja mujarimbu tu kuja kwetu Rwanda mutaona majambu mujawai ona .
Rwanda na Uganda ndio wafadhili
Yule willy ngoma ni muongo saana wako kwa faida ya Rwanda na hawana nguvu hata kidogo wanapata usaidiz hata kwa wazungu
Ni wakati sasa ma Rais wa Afrika kuacha uoga na unafiki, kumpiga kibaraka wa wakoloni KAGAME
Mnakamata vijana wa nyarwanda kwanguvu mna waleta Congo kufatu, wewe Willy endeleya kupotosha tu ipo siku Yako, Msione wanya Rwanda hawasemi mioyo zime toboka zamani, M23 mtabaki Ku jisifu ya Ujinga Na mna kufa kama wanyama. FRDC & WAZALENDO protège la terre promise 🇨🇩🦾🦾🔥🔥
Willy wewe na wenzako ni wanyarwanda .ulikuja kama mkimbizi
Sasa 23 ni wakongomani Gani wenye wako natupa ma mbombe mu rahiya APA saké ? Vrmnt miye ninge kuwa raïs kama hamuko ata dju wazu'gu njo bako n'a bapatiya ma arme pa moya n'a Rwanda n'a Uganda tunadjuwa vyote
Don't allow someone to paying with your family or your country
rais akatale kabisa kuongeya namagaidi
Willy ngoma nimutu wa bongo
Iposiku tuta wa wakibize ata rwanda. Muta ipoteza rwanda yote
Rwanda unafikilia ninyama unaweka kwamundomo unakura hivyo hivyo
Marekani si muondoke katika Nchi za watu wavinja Amani wakubwa nyinyi
Sasa nyie Marekani huko munafata nn si mtulie na inchi yenu
Sasa kama ni wa Congo mbona wanahuwa wa Congo simbongo hiyo.
Mm naona bora drc ijiunge na urusi ili wapate uwafueni maana wale ma beberu ndio wanasaidia wale magaidi kuendelea kuiba mali ya drc
Unaweza kutoa ushahidi? Mbona msemaji wa M23 amesema hawafadhili na mtu? Adui wa Africa hayuko nje, yuko ndani. Africa usimtafute mchawi. Mchawi ni wewe mwafrica…
Wataisha wote M23 na Kagame kibaraka wa wazungu.
Maliza M23 hao
We are not negotiating with Terrorists…
Hawa wazungu ndo mashetani wa kubwa
Tena wily Ngoma wewe una kanusha Kagame siyo anaye wasapoti. Unataka kumudanganya nani aside kuwa na Akili?
Maimai itawamaliza
M23 nyinyi ni wahuni tu hamna lolote.
Wongo mpupu, siku moja utalipa weye ngoma
Majo William Ngoma anajiamin sana na tena wanajiita wao n professional hawaogopi chochote
M23 songa mbele endeleen kudai haki zenu bhana.!?
Kwa nini wa hutu wa Nyarwanda hawasemi kama Congo ni yao
Inaonekana haujuwe kile unacyo sema; Rucyuru na Masisi kuna muungano ya wacongamani kutoka kabila la wahutu,na serkali yenyewe inajuwa huyo mukutano;na wenyewe wanajijua kuwa wa congomani,na katika m23 kuna majeshi mengi kutoka kabila la Wahutu.Ndungu yangu shida kubwa ni ukabila,hawa wapiganaji wa m23 na serkali ya congo inafahamu vizuri yakuwa ni wa congomani.Serkali hijawayi kusema yakuwa jeshi la 23 siyo wa congomani.Na waliyo kata mipaka wakati wa ukoloni wanajuwa vizuri ya kuwa rucyura Masisi na Mulenge kuna wacongomani ambao wananena kinyarwana.
Willy ngoma uta hazibiwa namungu weye na kagame ku isumbuwa rahiya ya Rdc, uko mujinga sana wewe na kagame munasumbua wazungu wanawashawishi ilimu mu uwe weusi wenzenu
willy ngoma ni mucongo hakuna mnyarwanda anaitwa ngoma😅
❤
Wewe mujinga, subiri kabisa saha yako iko mfupi
Huyo bwana anafkiri wakongo ni wajinga wasiokuwa na akili, hao ni wauwaji wasiokuwa na imani ya wakongo.
Kama nyie ni wakongomani kwa nini kupigana na jeshi la Kongo? Mazungumzo gani mnapenda nyie raia gani mnaotetea kama sio wanyarwanda
Unashangaa nini sasa wewe unaye pigana unaitaji nini wewe kibaraka utatafuta sehemu ya kujificha umekuwa kama telecomande utasikia aibu wewe mujinga weeee
M23 itarekebisha kisekedi tu
kama ni hivio basi honesha hiyo mikataba ambayo mulisahini na rahisi wa congo, na kwa nini rwanda ikataye maana jeshi la rwanda njo limeteketezwa kwenye shamba la vita? na bahadhi ya macomando mahiti zawo simepatikana kwenye mapambano wakiwa na sare la jeshi la rwanda? kagame haja wayi kuku bali chocho te.
Kama uyo ni mu Congomani kwanini washihishi kama wa Congomani?, kitakuwa aje mu Congomani ata ongeya na mucongomani mwenziye, munyarwanda Acha kuongeya uongo
Mume uwa wa kongomani wengi saaana na kubaka wa Mama na wa dada wa kongomani. Na kupora Mali za Congo. Nyinyi ni watoto wa shetani kabisa
Bamwizi auna muko,gomani nyama
Hacheni fujo zenu nyinyi. Yote muyasemayo ni propaganda za Rwanda na Uganda .
Na bado mtokwisha nyooote
Kumanyoko zenu
Wily utakimbia haujaona vita wewe nigaidi
Hajuwi Jama watakaangwa naskia fununu kua Wagner wanataka kulamba diri
Tu es un menteur. Tu finiras très mal. Si tu dis que le Rwanda ne soutient pas le M23 et pourquoi il bcp de deuils au Rwanda des officiers? Il y a des entrées massives des ougandais, viennent-ils aider qui?